Kwa hili, Rostam Aziz hutasameheka

Misahau Mzee John S. Malecela alishasema wakati fulani akiwa Arusha kwamba 'wafanya biashara mkitaka mambo yenu yawanyookee jiungeni CCM'. Kama sikosei kuanzia wakati ule, msururu wa wafanyabiashara ndo wakaanza kumiminika CCM. Rejea Askofu (mzee wa tanzanite) alipojitoa NCCR Mageuzi na kuhamia CCM. Kifupi ccm iliasisi ushenzi huu wa businessmen kutumia siasa kama kivuli cha wao kuwaibia wananchi na taifa letu la tanganyika.
 
Dada yote unayosema hapa ni kweli kabisa lakini mbona hamkuyasema wakati mkiwa Igunga?

Umeshaenda kwenye uchama tena! Wewe ulikuwepo Igunga? Ni kweli haya hayakusemwa? Penye ukweli tuseme ndugu zangu!
 
Kati ya mambo ambayo siwezi kuisamehe, wala siwezi kusikia excuses zozote kutoka kwa serikali ya CCm ni hilli hapa.
Kweli, darasa na madawati Serikali inashindwa???
Where are our priorities???

2wqy4jl.jpg
 
wajemeni shida hizo ziko kila mahali hata kule karatu. Rostam alikuwa mbunge tu, kazi ya kuondoa kero hizo ni ya serikali.... aghh!

Hivi ukiwa ccm lazima uwe unafikiria kidogo? Unaringanisha Karatu na Igunga?! Hebu jitahidi kuwa muwazi kidogo!
 
Nimeamua kuandika habari hii baada ya kujishauri tangu nikiwa Igunga!

Rostam Aziz amekuwa Mbunge wa Igunga tangu mwaka 1994 ambapo mpaka sasa ni takribani miaka 17 chini ya uongozi wake. Nilikuwa sijawahi kufika Igunga kabla hivyo sikuifahamu ilivyo.Siku Rostam anajiuzulu alieleza mafanikio mengi aliyoyafanya Igunga nikadhani Igunga hali ni shwari na watu wanamaendeleo mazuri,nilivyofika sikuamini nilichokiona. Rostam alitudanganya. Katika tembea yangu yote hapa nchini sijawahi kuona Wananchi wanashida kama wa Igunga.

Mambo yafuatayo nimeyagundua katika jimbo la Igunga;

1. Wananchi wengi wa Jimbo la Igunga hawajui kusoma na kuandika mpaka vijana wadogo

2. Wananchi wengi wa Igunga wanatembea hadi Kilomita 13 kufuata maji kwenye Makomero tena maji yenyewe sio safi wala salama

3. Wananchi wengi wa Igunga wanatembea hadi Kilomita 10 kufuata shule,wengine wanaenda hadi 20

4. Kwenye kata nilizopita hawaelewi wala kuzijua shule za awali.

5. Wananchi wengi wanatembea umbalimrefu kufuata Zahanati na hayo majengo yenyewe ya Zahanati unaweza kulia.

6. Hakuna barabara za kuunganisha kijiji kimoja na kingine,njia zilizopo ni mapitio ya ng'ombe.

7. Wananchi wengi hawana vyoo wala hawana mpango wa Kujenga vyoo,wao wajenga mabafu tu yanayotumika kuogea na kujisadia haja ndogo,haja kubwa utajua mwenyewe.

8. Zipo Kata ambazo hazing mawasiliano ya simu

9. Lipo Kabila mpaka leo wanatembea uchi kama kwa King Muswati.

10. Wapo wanaotembea karibu Kilomita 13 kufuata TV waone taarifa ya habari na mambo mengine. Hii ni Kata anayotoka Dr. Kafumu

11. Na mengine mengi madogo madogo.

Rostam alikuwa na uwezo wa kupunguza hayo niliyoyataja kwasababu zifuatazo

1. Alikuwa ni Mbunge hivyo alikuwa na fursa ya kupiga kelele ndani na nje ya Bunge na akasililizwa.
2. Alikuwa Mbunge mwenye ushawishi ndani ya chama chake hivyo angeweza kushawishi Mawaziri ili miradi iende Jimboni kwake.
3. Alikuwa Mbunge tajiri sana,kama aliweza kuipa CCM,Mabilioni ya shillingi,Kama aliweza kuhonga watu mbalimbali mamilioni ya shilingi alishindwaje kusaidia Jimboni kwake? aliishia kuwanunulia tu simu Mabalozi wa Nyumba Kumi ili wamfanyie Kampeni.
4. Alikuwa anafahamiana na wafadhili wengi tu wa Maendeleo wa ndani na nje ya nchi alishindwaje kuwashawishi wawekeze kwake?

Rostam aliyaweza haya yote lakini hakujali kwakuwa hakuwa na lengo la kuwatumikia Wananchi wa Igunga. Kwasababu hizo basi nashawishika kusema kuwa Rostam ni zaidi ya DUBWANA ni mtu anayeongoza kwa roho mbaya hapa nchini. Hana huruma hata kidogo, anajali maslahi yake tu.. Bora ulivyojiuzulu, ungejiuzulu na utanzania kabisa, ukaombe uraia wa nchi nyingine huko ughaibuni sio Afrika!

Nawasilisha!
Uliyoyasema ni kweli kabisa, tatizo hilo haliko Igunga tu ni sehemu nyingi sana hapa nchini. CCM wana msemo wao unaosema " MP's are not an ATM machine "
 
Mkuu kuna thread niliianzisha kuhusu jambo hilo hii hapa, maana nilishtushwa kweli na picha za huko nilizoziona. Unajua sikuzote tulikwa tunaaminishwa kwamba Igunga ni kama paradise. Kiasi kwamba naamini kuna watanzania walikuwa na hamu na wao wapate fisadi kutoka sehemu zao afanye makubwa kama ya rostam hahaha ahahaha ahahahah!!!!!!!!!!! Huyu jamaa ni tapeli la kimataifa.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/174772-igunga-makubwa-yaliyofanywa-na-rostam-ni-yepi.html#post2526520



1.

2.

3.

4.

5.

6.

7.

Na kama kwenye makubwa ndiyo kuko namna hii basi kazi tunayo!!!!






Eh Mwenyezi Mungu, uwape MOYO WA KIASI NA HURUMA watu woote wenye mamalaka ya kuweza kuondoa umasikini uliotukuka kwa watanzania walio wengi, badala ya manufaa yao wachache
 
Inatia hasira, na kama nchi yetu ingekuwa na morali ya Kichina basi ninge anza kuwatambulisha Rostam na Ridiwani kama watu wa kuondolewa katika system hata kwa kukatwa vichwa
 
sema seam dada maana nshawachoka mafisadi wanaoweka azina zao duniani wakasahaau kesho mbinguni
 
Nimeamua kuandika habari hii baada ya kujishauri tangu nikiwa Igunga!

Rostam Aziz amekuwa Mbunge wa Igunga tangu mwaka 1994 ambapo mpaka sasa ni takribani miaka 17 chini ya uongozi wake. Nilikuwa sijawahi kufika Igunga kabla hivyo sikuifahamu ilivyo.Siku Rostam anajiuzulu alieleza mafanikio mengi aliyoyafanya Igunga nikadhani Igunga hali ni shwari na watu wanamaendeleo mazuri,nilivyofika sikuamini nilichokiona. Rostam alitudanganya. Katika tembea yangu yote hapa nchini sijawahi kuona Wananchi wanashida kama wa Igunga.

Mambo yafuatayo nimeyagundua katika jimbo la Igunga;

1. Wananchi wengi wa Jimbo la Igunga hawajui kusoma na kuandika mpaka vijana wadogo

2. Wananchi wengi wa Igunga wanatembea hadi Kilomita 13 kufuata maji kwenye Makomero tena maji yenyewe sio safi wala salama

3. Wananchi wengi wa Igunga wanatembea hadi Kilomita 10 kufuata shule,wengine wanaenda hadi 20

4. Kwenye kata nilizopita hawaelewi wala kuzijua shule za awali.

5. Wananchi wengi wanatembea umbalimrefu kufuata Zahanati na hayo majengo yenyewe ya Zahanati unaweza kulia.

6. Hakuna barabara za kuunganisha kijiji kimoja na kingine,njia zilizopo ni mapitio ya ng'ombe.

7. Wananchi wengi hawana vyoo wala hawana mpango wa Kujenga vyoo,wao wajenga mabafu tu yanayotumika kuogea na kujisadia haja ndogo,haja kubwa utajua mwenyewe.

8. Zipo Kata ambazo hazing mawasiliano ya simu

9. Lipo Kabila mpaka leo wanatembea uchi kama kwa King Muswati.

10. Wapo wanaotembea karibu Kilomita 13 kufuata TV waone taarifa ya habari na mambo mengine. Hii ni Kata anayotoka Dr. Kafumu

11. Na mengine mengi madogo madogo.

Rostam alikuwa na uwezo wa kupunguza hayo niliyoyataja kwasababu zifuatazo

1. Alikuwa ni Mbunge hivyo alikuwa na fursa ya kupiga kelele ndani na nje ya Bunge na akasililizwa.
2. Alikuwa Mbunge mwenye ushawishi ndani ya chama chake hivyo angeweza kushawishi Mawaziri ili miradi iende Jimboni kwake.
3. Alikuwa Mbunge tajiri sana,kama aliweza kuipa CCM,Mabilioni ya shillingi,Kama aliweza kuhonga watu mbalimbali mamilioni ya shilingi alishindwaje kusaidia Jimboni kwake? aliishia kuwanunulia tu simu Mabalozi wa Nyumba Kumi ili wamfanyie Kampeni.
4. Alikuwa anafahamiana na wafadhili wengi tu wa Maendeleo wa ndani na nje ya nchi alishindwaje kuwashawishi wawekeze kwake?

Rostam aliyaweza haya yote lakini hakujali kwakuwa hakuwa na lengo la kuwatumikia Wananchi wa Igunga. Kwasababu hizo basi nashawishika kusema kuwa Rostam ni zaidi ya DUBWANA ni mtu anayeongoza kwa roho mbaya hapa nchini. Hana huruma hata kidogo, anajali maslahi yake tu.. Bora ulivyojiuzulu, ungejiuzulu na utanzania kabisa, ukaombe uraia wa nchi nyingine huko ughaibuni sio Afrika!

Nawasilisha!

Hayo unayoyasema ni kweli, tena meyazungumza sana wakati wa kampeni na bado watu wa Igunga hawakuelewa? Bila shaka wao wanajua Rostam sio sababo ya hali hiyo.
 
Rostam alikuwa na uwezo wa kupunguza hayo niliyoyataja kwasababu zifuatazo

1. Alikuwa ni Mbunge hivyo alikuwa na fursa ya kupiga kelele ndani na nje ya Bunge na akasililizwa.
2. Alikuwa Mbunge mwenye ushawishi ndani ya chama chake hivyo angeweza kushawishi Mawaziri ili miradi iende Jimboni kwake.
3. Alikuwa Mbunge tajiri sana,kama aliweza kuipa CCM,Mabilioni ya shillingi,Kama aliweza kuhonga watu mbalimbali mamilioni ya shilingi alishindwaje kusaidia Jimboni kwake? aliishia kuwanunulia tu simu Mabalozi wa Nyumba Kumi ili wamfanyie Kampeni.
4. Alikuwa anafahamiana na wafadhili wengi tu wa Maendeleo wa ndani na nje ya nchi alishindwaje kuwashawishi wawekeze kwake?

Rostam aliyaweza haya yote lakini hakujali kwakuwa hakuwa na lengo la kuwatumikia Wananchi wa Igunga. Kwasababu hizo basi nashawishika kusema kuwa Rostam ni zaidi ya DUBWANA ni mtu anayeongoza kwa roho mbaya hapa nchini. Hana huruma hata kidogo, anajali maslahi yake tu.. Bora ulivyojiuzulu, ungejiuzulu na utanzania kabisa, ukaombe uraia wa nchi nyingine huko ughaibuni sio Afrika!

Nawasilisha!

Aksante sana, lakini je uliwaambia haya wananchi wa Igunga?
 
nipo hapa gonja maore kwenye jimbo la mama malecela nimeshangaa ni kijiji cha kwanza kuona tanzania kuwa na lami.
yaani ukitoka same ukiachana na lami ya same unaenda kwa vumbi mpaka unapita kisiwani jimbo la devid matayo lakini ukiingia gonja tu unakutana na lami heko mama.
ndio mfano wa wabunge tunaowataka.
 
Si huko igunga pekee ndo unadhani raia ni masikini. Ni maeneo mengi tuu na ni kama asilimia kama 40 ya watanzania wanaishi katika mazingira kama hayo.
Cha ajabu ni kwamba, unaweza sema wao wana shida wakati wao wanaona kawaida tuu. Kwa sababu hali kama hiyo anaikuta tangu akiwa mtoto, anakuwa nayo hadi kuwa mtu mzima, hivyo haoni kama ni shida.
Cdm na wana harakati mbalimbali tuna budi kuwaelimisha wananchi ili watambue haki zao. Hiyo ndo itakuwa suluhisho la matatizo. Lakini ni jambo lisilo rahisi kubadili fikra za watu.
Nimeamua kuandika habari hii baada ya kujishauri tangu nikiwa Igunga!

Rostam Aziz amekuwa Mbunge wa Igunga tangu mwaka 1994 ambapo mpaka sasa ni takribani miaka 17 chini ya uongozi wake. Nilikuwa sijawahi kufika Igunga kabla hivyo sikuifahamu ilivyo.Siku Rostam anajiuzulu alieleza mafanikio mengi aliyoyafanya Igunga nikadhani Igunga hali ni shwari na watu wanamaendeleo mazuri,nilivyofika sikuamini nilichokiona. Rostam alitudanganya. Katika tembea yangu yote hapa nchini sijawahi kuona Wananchi wanashida kama wa Igunga.

Mambo yafuatayo nimeyagundua katika jimbo la Igunga;

1. Wananchi wengi wa Jimbo la Igunga hawajui kusoma na kuandika mpaka vijana wadogo

2. Wananchi wengi wa Igunga wanatembea hadi Kilomita 13 kufuata maji kwenye Makomero tena maji yenyewe sio safi wala salama

3. Wananchi wengi wa Igunga wanatembea hadi Kilomita 10 kufuata shule,wengine wanaenda hadi 20

4. Kwenye kata nilizopita hawaelewi wala kuzijua shule za awali.

5. Wananchi wengi wanatembea umbalimrefu kufuata Zahanati na hayo majengo yenyewe ya Zahanati unaweza kulia.

6. Hakuna barabara za kuunganisha kijiji kimoja na kingine,njia zilizopo ni mapitio ya ng'ombe.

7. Wananchi wengi hawana vyoo wala hawana mpango wa Kujenga vyoo,wao wajenga mabafu tu yanayotumika kuogea na kujisadia haja ndogo,haja kubwa utajua mwenyewe.

8. Zipo Kata ambazo hazing mawasiliano ya simu

9. Lipo Kabila mpaka leo wanatembea uchi kama kwa King Muswati.

10. Wapo wanaotembea karibu Kilomita 13 kufuata TV waone taarifa ya habari na mambo mengine. Hii ni Kata anayotoka Dr. Kafumu

11. Na mengine mengi madogo madogo.

Rostam alikuwa na uwezo wa kupunguza hayo niliyoyataja kwasababu zifuatazo

1. Alikuwa ni Mbunge hivyo alikuwa na fursa ya kupiga kelele ndani na nje ya Bunge na akasililizwa.
2. Alikuwa Mbunge mwenye ushawishi ndani ya chama chake hivyo angeweza kushawishi Mawaziri ili miradi iende Jimboni kwake.
3. Alikuwa Mbunge tajiri sana,kama aliweza kuipa CCM,Mabilioni ya shillingi,Kama aliweza kuhonga watu mbalimbali mamilioni ya shilingi alishindwaje kusaidia Jimboni kwake? aliishia kuwanunulia tu simu Mabalozi wa Nyumba Kumi ili wamfanyie Kampeni.
4. Alikuwa anafahamiana na wafadhili wengi tu wa Maendeleo wa ndani na nje ya nchi alishindwaje kuwashawishi wawekeze kwake?

Rostam aliyaweza haya yote lakini hakujali kwakuwa hakuwa na lengo la kuwatumikia Wananchi wa Igunga. Kwasababu hizo basi nashawishika kusema kuwa Rostam ni zaidi ya DUBWANA ni mtu anayeongoza kwa roho mbaya hapa nchini. Hana huruma hata kidogo, anajali maslahi yake tu.. Bora ulivyojiuzulu, ungejiuzulu na utanzania kabisa, ukaombe uraia wa nchi nyingine huko ughaibuni sio Afrika!

Nawasilisha!
 
Nimeamua kuandika habari hii baada ya kujishauri tangu nikiwa Igunga!

Rostam Aziz amekuwa Mbunge wa Igunga tangu mwaka 1994 ambapo mpaka sasa ni takribani miaka 17 chini ya uongozi wake. Nilikuwa sijawahi kufika Igunga kabla hivyo sikuifahamu ilivyo.Siku Rostam anajiuzulu alieleza mafanikio mengi aliyoyafanya Igunga nikadhani Igunga hali ni shwari na watu wanamaendeleo mazuri,nilivyofika sikuamini nilichokiona. Rostam alitudanganya. Katika tembea yangu yote hapa nchini sijawahi kuona Wananchi wanashida kama wa Igunga.

Mambo yafuatayo nimeyagundua katika jimbo la Igunga;

1. Wananchi wengi wa Jimbo la Igunga hawajui kusoma na kuandika mpaka vijana wadogo

2. Wananchi wengi wa Igunga wanatembea hadi Kilomita 13 kufuata maji kwenye Makomero tena maji yenyewe sio safi wala salama

3. Wananchi wengi wa Igunga wanatembea hadi Kilomita 10 kufuata shule,wengine wanaenda hadi 20

4. Kwenye kata nilizopita hawaelewi wala kuzijua shule za awali.

5. Wananchi wengi wanatembea umbalimrefu kufuata Zahanati na hayo majengo yenyewe ya Zahanati unaweza kulia.

6. Hakuna barabara za kuunganisha kijiji kimoja na kingine,njia zilizopo ni mapitio ya ng'ombe.

7. Wananchi wengi hawana vyoo wala hawana mpango wa Kujenga vyoo,wao wajenga mabafu tu yanayotumika kuogea na kujisadia haja ndogo,haja kubwa utajua mwenyewe.

8. Zipo Kata ambazo hazing mawasiliano ya simu

9. Lipo Kabila mpaka leo wanatembea uchi kama kwa King Muswati.

10. Wapo wanaotembea karibu Kilomita 13 kufuata TV waone taarifa ya habari na mambo mengine. Hii ni Kata anayotoka Dr. Kafumu

11. Na mengine mengi madogo madogo.

Rostam alikuwa na uwezo wa kupunguza hayo niliyoyataja kwasababu zifuatazo

1. Alikuwa ni Mbunge hivyo alikuwa na fursa ya kupiga kelele ndani na nje ya Bunge na akasililizwa.
2. Alikuwa Mbunge mwenye ushawishi ndani ya chama chake hivyo angeweza kushawishi Mawaziri ili miradi iende Jimboni kwake.
3. Alikuwa Mbunge tajiri sana,kama aliweza kuipa CCM,Mabilioni ya shillingi,Kama aliweza kuhonga watu mbalimbali mamilioni ya shilingi alishindwaje kusaidia Jimboni kwake? aliishia kuwanunulia tu simu Mabalozi wa Nyumba Kumi ili wamfanyie Kampeni.
4. Alikuwa anafahamiana na wafadhili wengi tu wa Maendeleo wa ndani na nje ya nchi alishindwaje kuwashawishi wawekeze kwake?

Rostam aliyaweza haya yote lakini hakujali kwakuwa hakuwa na lengo la kuwatumikia Wananchi wa Igunga. Kwasababu hizo basi nashawishika kusema kuwa Rostam ni zaidi ya DUBWANA ni mtu anayeongoza kwa roho mbaya hapa nchini. Hana huruma hata kidogo, anajali maslahi yake tu.. Bora ulivyojiuzulu, ungejiuzulu na utanzania kabisa, ukaombe uraia wa nchi nyingine huko ughaibuni sio Afrika!

Nawasilisha!

Mimi nawaombea hawa watu wapate pigo zaidi. Wana macho, hawaoni. Wana masikio, hawasikii. Wanamiguu lakini hawaendi.
Wale wote waliokuwa wanashinda kwenye mtandao sasa wanawacheka wanaigunga na kuwatimulia vumbi.
Nikiona watanzania wanavoumizwa kwa ujinga wao machozi hulenga lenga.
 
Yaonoesha ni jinsi gani Dada yetu Mh Regia alivyo na uchungu na kusikitishwa na dhiki na maendeleo duni ya wananchi wa Igunga. Rostam amepita alichokifanya kimeonekana kwa wakazi wa Igunga ukilinganisha na kipindi cha marehemu Charles Kabeho. Kwa changamoto ya Regia, tuone Dr Kafumu atawasaidiaje wananchi wa Igunga, nahisi naye ni member hapa JF anayasoma maoni ya wachangiaji.
 
nipo hapa gonja maore kwenye jimbo la mama malecela nimeshangaa ni kijiji cha kwanza kuona tanzania kuwa na lami.
yaani ukitoka same ukiachana na lami ya same unaenda kwa vumbi mpaka unapita kisiwani jimbo la devid matayo lakini ukiingia gonja tu unakutana na lami heko mama.
ndio mfano wa wabunge tunaowataka.

Acha uongo wewe!
Hapo Mahore hakuna cha lami wala nini. Hiyo barabara ni ya vumbi, ilichongwa mwaka jana wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu. Barabara hiyo inapita milimani kuanzia Gonja kisiwani halafu inakatiza kwenye hivyo vijiji vya Mamba, Bombo, Mtii, Mahore,Vushanje, Lugulu halafu inakuja kutokea Ndungu....ni vumbi tupu!
Tena hiyo barabara bado ina utata, inaonekana mkandarasi amekula hela nyingi halafu kazi aliyofanya ni hovyo kabisa, sasa hivi haipitiki licha ya kwamba ilichongwa mwaka jana.

Unafahamu kuwa huyo Ana Kilango almanusura ang'olewe na yule mama wa kule Bombo (chadema) aliyekuwa anafanya kazi UN kwenye uchaguzi wa mwaka jana...subiri 2015 uone kama atafika popote huyo Kilango.
Kuna baadhi ya vijiji huko Gonja unaweza ukatembea usione bendera ya ccm hata moja...ni chadema tu.

Kwa hiyo usidanganye watu humu jamvini ukidhani watu hawafahamu. Kuna watu wanatembea nchi hii.
 
nilikaa igunga miaka ya nyuma kidogo. Hii ni wilaya ya wafugaji na mifugo. Watu ambao kwa tanzania yetu wamekuwa wakithamini mifugo yao kuliko kitu chochote. Ufugaji wenyewe sio wa tija zaidi ya kuoa wake wengi na hivyo kuzaa watoto wengi basi. Ndio ufahari wenyewe. Vijiji vingi vya igunga vilikuwa na waarabu wengi na maduka yao. Ndio akina rostam pale mwisi. Hawa hawakujali mambo ya elimu zaidi ya dini yao ya kiislamu. Rostam kwa hulka yake aliwatumia wanaigunga kwa kutatua angalau kwa muda tu shida zao ndogondogo kama hela ya kula, karo, visima vichache vya maji,.....



hapo kwenye red umenigusa, huko ndo kwa kukaya, ili rosti ya hamu, ckuwahi mfahamu wala root yake igunga, pale palikuwa na mamlo ambaye alikuwa ana mmt ie mamlo motors transport!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom