muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
Tanzania ndio nchii pekee ambapo mteja hathaminiwi. Shirika kubwa kama TANESCO wanaamka asubuhi wanaanzisha mgao kwa siku kadhaa bila kutoa taarifa na wako happy kabisa kama kila kitu kinaenda sawa kabisa...
Watu wote nao wako happy kwamba hata wakikatiwa umeme kwao sio issue kubwa sana kwani hawastaili huduma bora bali bora huduma.
Haya ni zaidi ya huduma mbovu sana za kuunganishiwa umeme ambapo pamoja na kulipa unaweza subiri miaka 2 mpaka mitatu na huna la kusema....
Kwa mtindo huo bado unauuziwa nguzo , waya , sijui braketi sijuii nini ..... ili mradi tu nenda rudi na kuombwa hela kusiko isha... na baada ya kununua vyote hivyo bado huwezi sema kwamba ni mali yako....
Du hii kweli ni kali na kwa hili nimewapenda TANESCO kampuni pekee inayoweza kufanya lolote itakalo na bado watu wakachekelea tu...
Muonamambo Arusha
Watu wote nao wako happy kwamba hata wakikatiwa umeme kwao sio issue kubwa sana kwani hawastaili huduma bora bali bora huduma.
Haya ni zaidi ya huduma mbovu sana za kuunganishiwa umeme ambapo pamoja na kulipa unaweza subiri miaka 2 mpaka mitatu na huna la kusema....
Kwa mtindo huo bado unauuziwa nguzo , waya , sijui braketi sijuii nini ..... ili mradi tu nenda rudi na kuombwa hela kusiko isha... na baada ya kununua vyote hivyo bado huwezi sema kwamba ni mali yako....
Du hii kweli ni kali na kwa hili nimewapenda TANESCO kampuni pekee inayoweza kufanya lolote itakalo na bado watu wakachekelea tu...
Muonamambo Arusha