okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,737
Wapendwa katika Bwana hamjambo?
Nawasilisha hoja yangu kwenu nikitafuta msaada,
Hawa Bodi ya Mikopo wamekuwa wakifanya makato kwenye mshahara wangu kwa muda mrefu sasa wakati sikuwahi kusoma kwa kutumia pesa zao.
Mwezi wa Agosti niliwatumia vyeti vyangu pamoja na barua ya mwajiri wangu ikiwataka waache mara moja kukata mshahara wangu lakini wamekaidi kwani mpaka sasa bado wanaendelea.
Nimetumia pesa nyingi sana kufuatilia jambo hili, kwani kutoka kituoni kwangu hadi mjini ni mbali, kwa jambo hili uchumi wangu umeyumba sana, hivyo kwayeyote mwenye ushauri namkaribisha, hata kama kuna wakili yeyote
naomba tuwasiliane.
Nawasilisha hoja yangu kwenu nikitafuta msaada,
Hawa Bodi ya Mikopo wamekuwa wakifanya makato kwenye mshahara wangu kwa muda mrefu sasa wakati sikuwahi kusoma kwa kutumia pesa zao.
Mwezi wa Agosti niliwatumia vyeti vyangu pamoja na barua ya mwajiri wangu ikiwataka waache mara moja kukata mshahara wangu lakini wamekaidi kwani mpaka sasa bado wanaendelea.
Nimetumia pesa nyingi sana kufuatilia jambo hili, kwani kutoka kituoni kwangu hadi mjini ni mbali, kwa jambo hili uchumi wangu umeyumba sana, hivyo kwayeyote mwenye ushauri namkaribisha, hata kama kuna wakili yeyote
naomba tuwasiliane.