Kwa hili la wanafunzi wa mchepuo wa ART kwa O-level kusoma Biology si sawa.........!!!!

TWALICIOUS

Member
May 26, 2011
42
0
ni kiwa kama mdau na mwanamapinduzi katika sekta ya elimu sioni sababu ya wanafunzi wa art kwa O-level kusoma biology kwani ukiangalia kwa kiasi kikubwa asilimia 75 ya wanafunzi Tanzania hawana hzo mnazoziita maabara,wala hvyo vifaa kwa ajili ya kufanyia hzo practical assume shule ni ya kati,waalimu wa somo husika ni mmoja na maabara hakuna sasa wanafunzi watawezaji kufanya hizo practical....sasa basi ni kiwa kama mdau wa elimu sioni sababu za somo hili kuendelea kuwepo kwa wanafunzi hao...its mental confusion tu.....assume mtu amefauli biology na alisoma art atawezaji kuapply kama arts masomo yajulikane na si kuchanganya mambo mara sayansi mara arts hizi ni athari za ukoloni tukiwa kama wana mabadiliko tuangalie juu ya hilo!!!!
 
Liachwe tu.Vijana wanafaidika katika kujijua kibaiolojia kama kubalehe,kuvuja damu kwa wasichana,magonjwa ya zinaa,kuepuka mimba zisizotarajiwa,kujitunza yaani usafi na elimu ya uzazi kwa ujumla nk
Sidhani kama biology ya o'level inahitaji saaana kwenda maabara
 
ni kiwa kama mdau na mwanamapinduzi katika sekta ya elimu sioni sababu ya wanafunzi wa art kwa O-level kusoma biology kwani ukiangalia kwa kiasi kikubwa asilimia 75 ya wanafunzi Tanzania hawana hzo mnazoziita maabara,wala hvyo vifaa kwa ajili ya kufanyia hzo practical assume shule ni ya kati,waalimu wa somo husika ni mmoja na maabara hakuna sasa wanafunzi watawezaji kufanya hizo practical....sasa basi ni kiwa kama mdau wa elimu sioni sababu za somo hili kuendelea kuwepo kwa wanafunzi hao...its mental confusion tu.....assume mtu amefauli biology na alisoma art atawezaji kuapply kama arts masomo yajulikane na si kuchanganya mambo mara sayansi mara arts hizi ni athari za ukoloni tukiwa kama wana mabadiliko tuangalie juu ya hilo!!!!

Usiangalie suala la mitihani tu. Somo la Biologia ni muhimu kwa kila binadamu kwa maisha yake mwenyewe. Tatizo si wabongo tumezoea kusomea mitihani.
 
Waache wenzako wasome kama wewe ilikushinda sio uwasemee wengine, kunatopiki nyingi za o level ambazo zinamanufaa ya moja kwa moja kwa wanafunzi. Kama kigezo ni maabala basi ni vema ukashauri zijengwe maabala, badala ya kutatua tatizo kwa kuzalisha tatizo jingine.

Thanks kwa wazo lako lakini
 
OKEY lakin biology liwe kama subsidual lakin si credit kama ilivyo kwa O LEVEL AU SIO JAMANI
 
Usiangalie suala la mitihani tu. Somo la Biologia ni muhimu kwa kila binadamu kwa maisha yake mwenyewe. Tatizo si wabongo tumezoea kusomea mitihani.
umeona eeh! Dogo anaona somo kama mzigo bila kufikiria umuhmu wake, tena biology topic ya reproduction inawafaa sana maana madogo wa sec kwa kukamata ujawepesi balaa!
 
Vipi kuhusu somo la sayansi ya viumbe(sayansi) shule ya msingi lina tija yoyote ?
Wewe kama biology imekushinda acha wenzako wasome!
 
biology linasaidia sana japokuwa halina combination arts, but inahelp student to understand himself,kama ndivyo bas na G.s itolewe kwa A-lev science,kwa O-lev arts biology nisawa na subsidual coz ata ukifel hilo auzuiwi kwenda advance
 
Back
Top Bottom