whistle blower! Endelea kutupa detail hata km watu watakuwa wagumu kuamini lakini kuna ukweli ktk baadhi ya mambo uliyosema. Me sio mara ya kwanza kusikia hizo habari. Ya jairo yanafanyika hata kwa magufuli kila idara inatenga 20 ml kusaidia kupitisha budget so hakuna msafi ccm wote wezi tu.
kama huoni kasi ya ujenzi/umaliziaji wa mandela road utakuwa muongotatizo letu watanzania kiongozi akiwa anatoa matamko makali makali basi huyo huhesabiwa kama kiongozi mchapa kazi. Hebu niambie kwa sasa hivi kuna tofauti gani kiutendaji (impact kwa wananchi wa tz) wakati kawambwa ni waziri na sasa magufuli. Sijaona tofauti yoyote, foleni ni ile ile, barabara ya mandela haijaisha, barabara ya kilwa vile vile. Ila magufuli kisha ongea mengi(kupiga mkwara) bila matokeo yoyote.
Naunga mkono hoja ya dr. Kitila
hakuna mkamilifu lakini serikali yetu ina madudu mengi japo kwa kiasi fulani magufuli anajitahidi
mtoa mada
moja: Article yako umeiandika kwa jazba.
Mbili: Maelezo yako yamekaa kimajungu pia.
Tatu: Tba haijawahi kuwa na mafanikio kama unavyoinadi!! Haiyumkini hata humu jamvini kuna wachache saana wanaofahamu kazi za tba!!!
Kwa hayo matatu:- si huyo lyatuu wala hao unaowasema wameisogeza tba!! Kwa jinsi ninavyofahamu kazi za tba nathubutu kusema kuwa utendaji wa taasisi hiyo ni mzigo kwa walipa kodi wa nchi hii!!!
Magufuli hana umakini wowote. hata alipokuwa Wizara ya Mifugo alitaka kufanya uteuzi wa mkuu mmoja wa kitengo cha idara ya samaki bila ya kufuata utaratibu ukapita mvutano mkubwa kweli keli.unaweza kufupisha mkuu? all in all Magufuli ni mtu makini sana
I dont think as you explained
anyway wakuu watasema
Magufuli mwenyewe mwizi tu, ndio maana aliweza kusimamia uuzwaji wa nyumba za serikali kwa bei poa na hivi sasa mawaziri wanalipiwa hoteli,Nimeshindwa kuhilight kila neno. Ila nilichogundua kuondoka kwa hao watu hata wewe kumekugusa. Huwenda hata wwe ulikuwa unafaidika na uwepo wa hao watu.
Uwakilishi wako umejaa majungu na fitina juu ya dk. Magufuli. Ninachojua mimi, magufuli ni mwiba kwa wezi na mafisadi.
Siku zote wezi na mafisadi huwa wanapenda kutumia maneno kama hakufauata sheria au utawala wa sheria pale wanaposhikwa pabaya.
Kwa mtu aliyewahi fanya kazi serikalini au anayefanya kazi serikalini, atakubaliana nami kwamba viongozi waandamizi huwa wanajichotea pesa kwa njia mbali mbali kama 10%, semina za kipumbavu, safari za kijinga, kufoji allowance mbali mbali.
Viongozi kama hawa wakishikwa pabaya, wanyewe au wapambe wao (wanaofaidika na uozo) wanajitokeza kuwatetea kwa njia mbali mbali hasa jamii forums(people's voice). Utasikia hakufuata sheria ,kawatoa wale viongozi lakini waliiletea taasisi miradi mingi( hata kama alikuwa mwizi),naye ni fisadi .
Tanzania ya leo kama dk. Magufuli ni fisadi tutamjua tu ila kama ni majungu. Ni sawa sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Kuna watu huwa wanasema dk. Magufuli aliuza nyumba za serikali, mimi huwa najiuliza , je ni waziri yupi aliyekuwa awamu ya tatu hakushiriki? Maamuzi mazito kama hayo, hufanywa na baraza la mawaziri chini ya uenyekiti wa raisi. Ni sawa sawa na ishu ya richmond nk.
Binafsi namkubali magufuli ukilinganisha na wana magamba wengine ambao kazi yao ni kupiga kelele kwenye majukwaa kwamba ni wanafunzi wa mwalimu wakati ikija kama posho za wabunge zipunguzwe, utasikia jinsi wanavyo zitetea.
Dk. Magufuli ni mtu wa kuthubutu kufanya mambo ambayo wana magamba wengine hawawezi fanya hata kidogo. Kama binadamu ana mapungufu yake.
Kwa jinsi ulivyo present mada yako,nakushauri uanzishe bendi ya taarabu. Utakuwa mwimbaji bora sana tanzania
nawasilisha
unaweza kufupisha mkuu? all in all Magufuli ni mtu makini sana
I dont think as you explained
anyway wakuu watasema