kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Sipendi kuingia kwa undani ili nifahamu kama hazina aina pesa. Kitu ambacho naamini serikali kwa wafanya kazi ni tabaka la mwisho kwao. Napenda kuamini pia kura za wafanyakazi azina umuhimu kwa taifa.
Hili la Mifuko ya jamii ni pigo kubwa sana hasa kwa vijana wakosao fursa za kuwa wajasiriamali. Kuna baadhi ya vijana kuajiriwa ni swala la kujiwekezea mitaji ili wakichanganya na NSSF ambazo kimsingi ni pesa zao, upata fursa ya kujiajiri.
Sitopenda kufahamu kama ni chadema au vyama vyote vimeshiriki kwa pamoja kupitisha sheria hii na kufanya kusainiwa na Rais. Ila ni maumivu tupatayo vijana ambayo tunanyanyaswa na serikali pamoja na waajiri wetu. Wafanyakazi tutasulubika miaka nenda rudi. Sioni mikakati yeyote ya kumsaidia mfanyakazi wa Tanzania
Nawawakilisha watu wote waliopata maumivu ndani ya mioyo yao, nikiwa moja wapo.
Poleni sana.
Mungu ibariki Tanzania, ibariki Africa.
Ameeni
Hili la Mifuko ya jamii ni pigo kubwa sana hasa kwa vijana wakosao fursa za kuwa wajasiriamali. Kuna baadhi ya vijana kuajiriwa ni swala la kujiwekezea mitaji ili wakichanganya na NSSF ambazo kimsingi ni pesa zao, upata fursa ya kujiajiri.
Sitopenda kufahamu kama ni chadema au vyama vyote vimeshiriki kwa pamoja kupitisha sheria hii na kufanya kusainiwa na Rais. Ila ni maumivu tupatayo vijana ambayo tunanyanyaswa na serikali pamoja na waajiri wetu. Wafanyakazi tutasulubika miaka nenda rudi. Sioni mikakati yeyote ya kumsaidia mfanyakazi wa Tanzania
Nawawakilisha watu wote waliopata maumivu ndani ya mioyo yao, nikiwa moja wapo.
Poleni sana.
Mungu ibariki Tanzania, ibariki Africa.
Ameeni