Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wadau jana usiku nec - cc ya ccm wametangaza rasmi orodha viongozi wapya wa ccm
Shaka yangu ni kuhusu Mukama ambaye kachaguliwa kuwa katibu mkuu - kwa kawaida nafasi hii hupewa mtu ambaye ni kada kweli kweli na anayekijua chama ndani nje.
Ukipitia historia ya Mukama inaonyesha amekuwa mtumishi wa umma na kwa mujibu wa sheria ya nchi mtumishi wa umma hastahili kuwa na chama. Je, Mukama hakuwa mwanachama? Uzoefu unaonyesha mtumishi wa umma yeyote akijuhusiha na siasa huachishwa kazi mfano Prof. Baregu alipojihusisha na CHADEMA wakamwondoa .
Je, kuwa kada na mtumishi wa CCM sio kosa bali kosa kuwa mwanachama wa upinzani na kuwa mtumishi wa umma?
Shaka yangu ni kuhusu Mukama ambaye kachaguliwa kuwa katibu mkuu - kwa kawaida nafasi hii hupewa mtu ambaye ni kada kweli kweli na anayekijua chama ndani nje.
Ukipitia historia ya Mukama inaonyesha amekuwa mtumishi wa umma na kwa mujibu wa sheria ya nchi mtumishi wa umma hastahili kuwa na chama. Je, Mukama hakuwa mwanachama? Uzoefu unaonyesha mtumishi wa umma yeyote akijuhusiha na siasa huachishwa kazi mfano Prof. Baregu alipojihusisha na CHADEMA wakamwondoa .
Je, kuwa kada na mtumishi wa CCM sio kosa bali kosa kuwa mwanachama wa upinzani na kuwa mtumishi wa umma?