Kwa hili la Mukama tunahitaji maelezo

Najijua

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
1,039
180
Wadau jana usiku nec - cc ya ccm wametangaza rasmi orodha viongozi wapya wa ccm

Shaka yangu ni kuhusu Mukama ambaye kachaguliwa kuwa katibu mkuu - kwa kawaida nafasi hii hupewa mtu ambaye ni kada kweli kweli na anayekijua chama ndani nje.

Ukipitia historia ya Mukama inaonyesha amekuwa mtumishi wa umma na kwa mujibu wa sheria ya nchi mtumishi wa umma hastahili kuwa na chama. Je, Mukama hakuwa mwanachama? Uzoefu unaonyesha mtumishi wa umma yeyote akijuhusiha na siasa huachishwa kazi mfano Prof. Baregu alipojihusisha na CHADEMA wakamwondoa .

Je, kuwa kada na mtumishi wa CCM sio kosa bali kosa kuwa mwanachama wa upinzani na kuwa mtumishi wa umma?
 
Mukama amewahi kufanya kazi CCM Makao Makuu kabla hajateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Vijijini.

Alikua Msaidizi wa Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi wakati huo Katibu wa Uenezi Akiwa Kingunge Ngombale Mwiru! Kwa elimu Mukama alipata Masters yake ya Public Administration Miaka ya 1980 Marekani!
 
Mukama amewahi kufanya kazi CCM Makao Makuu kabla hajateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Vijijini.

Alikua Msaidizi wa Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi wakati huo Katibu wa Uenezi Akiwa Kingunge Ngombale Mwiru! Kwa elimu Mukama alipata Masters yake ya Public Administration Miaka ya 1980 Marekani!

the Question is is he fit to leader - to becoming a chief strategist katika ulimwengu huu wa fikra pevu na tofauti? what is the different kati yake na Makamba katika utendaji?
 
the Question is is he fit to leader - to becoming a chief strategist katika ulimwengu huu wa fikra pevu na tofauti? what is the different kati yake na Makamba katika utendaji?

Wewe Tatizo lako ni nini? Wao CCM wamemuona anafaa na ni nje ya kundi lilozooleka au ulitegemea wapagawishe watu tena au ungependa kusikia hakina BENO MALISA, BASHE RIdhiwani? halafu useme mafisadi wale wale. Hivi kwa nini UVCCM walimwekea zengwe NAPE kila kona? Sasa kilio na aibu kwao.
 
Wewe Tatizo lako ni nini? Wao CCM wamemuona anafaa na ni nje ya kundi lilozooleka au ulitegemea wapagawishe watu tena au ungependa kusikia hakina BENO MALISA, BASHE RIdhiwani? halafu useme mafisadi wale wale. Hivi kwa nini UVCCM walimwekea zengwe NAPE kila kona? Sasa kilio na aibu kwao.

Kwa kawaida ya wachumia tumbo saa hizi wanajidai marafiki zake wakubwa!
 
Wadau jana usiku nec - cc ya ccm wametangaza rasmi orodha viongozi wapya wa ccm

Shaka yangu ni kuhusu Mukama ambaye kachaguliwa kuwa katibu mkuu - kwa kawaida nafasi hii hupewa mtu ambaye ni kada kweli kweli na anayekijua chama ndani nje.

Ukipitia historia ya Mukama inaonyesha amekuwa mtumishi wa umma na kwa mujibu wa sheria ya nchi mtumishi wa umma hastahili kuwa na chama. Je, Mukama hakuwa mwanachama? Uzoefu unaonyesha mtumishi wa umma yeyote akijuhusiha na siasa huachishwa kazi mfano Prof. Baregu alipojihusisha na CHADEMA wakamwondoa .

Je, kuwa kada na mtumishi wa CCM sio kosa bali kosa kuwa mwanachama wa upinzani na kuwa mtumishi wa umma?

Jamani tusimhukumu, tusubiri tuone!
 
Kenge acha ukenge wako, elewa mada na acha ku post ushabiki usio na maana
 
Sijui huko atakuwaje alipokuwa serkalini ni laiserfaire sana tu ,waulize wizara ya afya hasa wanapomlinganisha na blandina nyoni!
 
Wadau jana usiku nec - cc ya ccm wametangaza rasmi orodha viongozi wapya wa ccm

Shaka yangu ni kuhusu Mukama ambaye kachaguliwa kuwa katibu mkuu - kwa kawaida nafasi hii hupewa mtu ambaye ni kada kweli kweli na anayekijua chama ndani nje.

Ukipitia historia ya Mukama inaonyesha amekuwa mtumishi wa umma na kwa mujibu wa sheria ya nchi mtumishi wa umma hastahili kuwa na chama. Je, Mukama hakuwa mwanachama? Uzoefu unaonyesha mtumishi wa umma yeyote akijuhusiha na siasa huachishwa kazi mfano Prof. Baregu alipojihusisha na CHADEMA wakamwondoa .

Je, kuwa kada na mtumishi wa CCM sio kosa bali kosa kuwa mwanachama wa upinzani na kuwa mtumishi wa umma?

maafisa waandamizi wengi kwenye utmishi wa umma ni makada,posho kubwakubwa wanazopewa zinawatiaga upofu na kuangukia kwenye siasa,..kwenye corridor huwezi kuongea habari za cdm,..kwa ufupi kwenye ofisi za serikali ukijulikana kuwa mpinzani zengwe linaanza,..hujiulizi tibaigana walitumia mda gani kumfaham mpaka kugombea ubunge mda mdogo baada ya kustaafu???
 
Kimsingi, gamba likitoka nyoka anabaki kuwa nyoka tu si vinginevyo!!!kwani hapa kilichabadilika ni kuni tu lakini moto ni ule ule! Kwani mmesahau sakata la tenda ya uksanyaji ushuru pa UBUNGO terminal ? Wake-up plse nani alipewa tenda ile kifisadi!!!
......cjui nanihh......kinje...!!!!kama alifanya kazi na kingunge unategemea nini ? Ukistaajabu ya musa..........! Ni mapema sana kufanya tathmini.
sativva:drum:
 
Back
Top Bottom