cc wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara tunawaomba msaada tunakwisha jamani....tumelala lakini nchi hii ni moja tupeni ushirikiano, tufungueni! elimu zetu duni jamani matatizo ya kila aina kuanzia uongozi..tuelimisheni...Mwenekiti Taifa na Vijana wako njooni huko tutawalinda, Peopleeeeeeeeeeeeeez Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!