Kwa hili la Mbowe ni utashi wa Jeshi la Polisi au Nimaagizo kutoka CCM Makao makuu??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Nashindwa kuambatanisha hivi vitu kwa wakati mmoja na kwa mda mfupi kama ni uwajibikaji wa polisi,Nasema hivyo kwa Sababu tangu kutolewa agizo la kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,na Mhe Mbunge hayakupita masaa 48!!Lakini nashindwa kuelewa niyupi kuanzia mahakama hadi polisi hadi Wizara ya Ulinzi na Jeshi lakujenga Taifa hadi Kikosi cha Anga(Airwing command force)
Nakuweza kupatikana ndege kubwaaa yakubebea mizigo au wanajeshi walioko Field na vifaa vyao!Ikaja kumbeba Mbunge wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA!Isitoshe hayo hayajafanyika mchana ni usiku kwa usiku!
Najiuliza nini haswa lengo la polisi??Je ninani alifanya hii logistic ya usiku na kuweza kupatikana ndege?Je tuseme serikali inahofia CHADEMA??Je ni Muhasi Tunahitaji majibu yakuweza kujua nivipi JWTZ imehusishwa na usalama wa raia baadala ya Ulinzi wa wananchi na Mipaka yao!JESHI MSIKUBALI KUTUMIKA KATIKA MASWALA YA KISIASA MTAJISHUSHIA HESHIMA MLIYO NAYO KATIKA JAMII JESHI LETU SIYO JESHI LILOANZIA MSITUNI KUDAI NCHI NI JESHI LA WANANCHI LILOPO KWA MJIBU WAKATIBA.
 
Unakuwa kama huijui nchi hii bhana, kila kitu kinaendeshwa kutokana na utashi
wa mtu mmoja tu, ambaye katiba ya nchi yetu inampa mamlaka makubwa ya
kufanya anachotaka na wala hawezi kushtakiwa.

Lakini hata hivyo, hakuna marefu yasiyo na ncha
 
hayo ndo maisha ya kimjinimjini bana hukumsikia hata mtoto wake(riz1) alisema hivyo?pia ni matunda ya semina elekezi au hukuona top security ilikuwa dom? (Igp,mwamunyange)
 
Nimemsikia Kova leo akidai eti hajui Mbowe amepelekwa Arusha kwa usafiri gani!

Naona hawa watu wameamua kudanganya kwa kila kitu wanachoulizwa kwa sababu wameshajijua kwamba huwa wanayofanya ni Madudu.

Lakini natoa Angalizo; Wakiendelea hivi itafika siku atawezwa kuulizwa jina lake nalo Atalikana akidhani kwamba Anategwa.

Kweli Serikalini tuna Mitutusa!
 
Nashindwa kuambatanisha hivi vitu kwa wakati mmoja na kwa mda mfupi kama ni uwajibikaji wa polisi,Nasema hivyo kwa Sababu tangu kutolewa agizo la kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,na Mhe Mbunge hayakupita masaa 48!!Lakini nashindwa kuelewa niyupi kuanzia mahakama hadi polisi hadi Wizara ya Ulinzi na Jeshi lakujenga Taifa hadi Kikosi cha Anga(Airwing command force)
Nakuweza kupatikana ndege kubwaaa yakubebea mizigo au wanajeshi walioko Field na vifaa vyao!Ikaja kumbeba Mbunge wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA!Isitoshe hayo hayajafanyika mchana ni usiku kwa usiku!
Najiuliza nini haswa lengo la polisi??Je ninani alifanya hii logistic ya usiku na kuweza kupatikana ndege?Je tuseme serikali inahofia CHADEMA??Je ni Muhasi Tunahitaji majibu yakuweza kujua nivipi JWTZ imehusishwa na usalama wa raia baadala ya Ulinzi wa wananchi na Mipaka yao!JESHI MSIKUBALI KUTUMIKA KATIKA MASWALA YA KISIASA MTAJISHUSHIA HESHIMA MLIYO NAYO KATIKA JAMII JESHI LETU SIYO JESHI LILOANZIA MSITUNI KUDAI NCHI NI JESHI LA WANANCHI LILOPO KWA MJIBU WAKATIBA.

Ulitaka iweje?
 
Ukisoma Mwananchi la leo, Juni 7, na hasa ukisoma between lines, na baadaye kufanya uchambuzi kidogo kuhusiana na masuala 'hit squard straregies', utagundua kuwa ni muda mrefu serikali imekuwa ikisubiri fursa hii (opportunity) ya kuwa na Mbowe katika reasonable distance. Bila shaka kulikuwa na lengo maalumu ili kukamilisha shughuli maalum.
Serikali si wajinga kiasi hicho kwamba wasijue kuwa mahakamani Arusha hakukuwa na kesi yoyote.
Wala tusidhani kuwa matumizi ya ndege ya jeshi, tena kwa siri kubwa, na usiku (na tayari jeshi lenyewe sasa linakanusha), yalikuwa ni out of oblivion.
Tunaofahamu, bado hatujayasahau yaliyowapata akina:
Kanali Shija,
Mousa Memba,
Horace Kolimba,
Nyerere (poleni msiojua),
Waziri Mkuu wa Israel, Ariel Sharon, na wengineo.
CDM waanze succession plan mapema. Aidha waanzishe na ku-train intelligence ya chama, vinginevyo wataona 2015 pamekuwa karibu sana.:majani7:
 
Ukisoma Mwananchi la leo, Juni 7, na hasa ukisoma between lines, na baadaye kufanya uchambuzi kidogo kuhusiana na masuala 'hit squard straregies', utagundua kuwa ni muda mrefu serikali imekuwa ikisubiri fursa hii (opportunity) ya kuwa na Mbowe katika reasonable distance. Bila shaka kulikuwa na lengo maalumu ili kukamilisha shughuli maalum.
Serikali si wajinga kiasi hicho kwamba wasijue kuwa mahakamani Arusha hakukuwa na kesi yoyote.
Wala tusidhani kuwa matumizi ya ndege ya jeshi, tena kwa siri kubwa, na usiku (na tayari jeshi lenyewe sasa linakanusha), yalikuwa ni out of oblivion.
Tunaofahamu, bado hatujayasahau yaliyowapata akina:
Kanali Shija,
Mousa Memba,
Horace Kolimba,
Nyerere (poleni msiojua),
Waziri Mkuu wa Israel, Ariel Sharon, na wengineo.
CDM waanze succession plan mapema. Aidha waanzishe na ku-train intelligence ya chama, vinginevyo wataona 2015 pamekuwa karibu sana.:majani7:

Uandishi wa namna hii unavutia hisia na kuwaacha wengi wakiwa na maswali na vuilizo! Kama unajua basi sema na wenzio wajue. Na ikizingatiwa jina unalotumia ni la kufikirika tu. Hata hapo bado huna UHURU?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom