KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Nashindwa kuambatanisha hivi vitu kwa wakati mmoja na kwa mda mfupi kama ni uwajibikaji wa polisi,Nasema hivyo kwa Sababu tangu kutolewa agizo la kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,na Mhe Mbunge hayakupita masaa 48!!Lakini nashindwa kuelewa niyupi kuanzia mahakama hadi polisi hadi Wizara ya Ulinzi na Jeshi lakujenga Taifa hadi Kikosi cha Anga(Airwing command force)
Nakuweza kupatikana ndege kubwaaa yakubebea mizigo au wanajeshi walioko Field na vifaa vyao!Ikaja kumbeba Mbunge wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA!Isitoshe hayo hayajafanyika mchana ni usiku kwa usiku!
Najiuliza nini haswa lengo la polisi??Je ninani alifanya hii logistic ya usiku na kuweza kupatikana ndege?Je tuseme serikali inahofia CHADEMA??Je ni Muhasi Tunahitaji majibu yakuweza kujua nivipi JWTZ imehusishwa na usalama wa raia baadala ya Ulinzi wa wananchi na Mipaka yao!JESHI MSIKUBALI KUTUMIKA KATIKA MASWALA YA KISIASA MTAJISHUSHIA HESHIMA MLIYO NAYO KATIKA JAMII JESHI LETU SIYO JESHI LILOANZIA MSITUNI KUDAI NCHI NI JESHI LA WANANCHI LILOPO KWA MJIBU WAKATIBA.
Nakuweza kupatikana ndege kubwaaa yakubebea mizigo au wanajeshi walioko Field na vifaa vyao!Ikaja kumbeba Mbunge wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA!Isitoshe hayo hayajafanyika mchana ni usiku kwa usiku!
Najiuliza nini haswa lengo la polisi??Je ninani alifanya hii logistic ya usiku na kuweza kupatikana ndege?Je tuseme serikali inahofia CHADEMA??Je ni Muhasi Tunahitaji majibu yakuweza kujua nivipi JWTZ imehusishwa na usalama wa raia baadala ya Ulinzi wa wananchi na Mipaka yao!JESHI MSIKUBALI KUTUMIKA KATIKA MASWALA YA KISIASA MTAJISHUSHIA HESHIMA MLIYO NAYO KATIKA JAMII JESHI LETU SIYO JESHI LILOANZIA MSITUNI KUDAI NCHI NI JESHI LA WANANCHI LILOPO KWA MJIBU WAKATIBA.