Wewe una wananchi wangapi jimboni kwako wanaokupigia simu kila siku kutaka kutatuliwa matatizo yao? wewe una wasiliana na wizara na idara ngapi kwa siku kufatilia matatuzi ya wananchi wa jimbo lako? wewe una safari ngapi kwa mwaka kwenda majimboni kusikiliza wananchi wako?
Nyie ndi mnaona kuwa kuwapa madereva ni "luxury", haujui maana ya productivity, mawazo kama yako ndio yalikuwa ya Nyerere na matokeo katuwacha maskini wa mwisho duniani.
Productivity? what productivity? Let me tell ugonjwa unatumaliza Tanzania - ni kitu kinaitwa 'structural unemployment' meaning tuna wafanyakazi wengi kwa kazi chache hivyo muda mwingi watu hawana kitu cha kufanya. Dereva wa Viky Kamata anafanya nini? Dereva wa Lucinde, au Christine Magige wanafanya nini? ni lini tutajifunza 'kufanya kazi kwa bidii' na kuondokana na huu mkundikano wa 'wasaidizi?
Mbona tunaona wabunge wa nchi nyingine wakijiendesha? Au hawa watanzania wana upungufu fulani - maybe? Still, anayeona hawezi aandae utaratibu wake binafsi. Narudia Tanzania bado tuna kasumba mbaya sana, hapo bungeni wana wahudumu mpaka wa kuwawekea maji kwenye glass! Nenda kwenye maofisi, kuna msururu wa wahudumu utafikiri ni ofisi ya wafalme.