LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,216
Leo nimeenda Benki kumlipia mdogo wangu ada ya mwaka wa kwnz ktk Benki ya NMB niliingia mle ndani majira ya saa tatu dakika 35 hivi nikatoka saa 6 na robo mchana,yani imeniboa kweli kweli.
MTAZAMO WANGU:
Kwanini hizi shule za kata zisiwe na M-pesa,Tigo Pesa na hata Airtel Money?
Mbaya zaidi wanataka hz ada ziwekwe kwenye hii benki ya wafanyabiashara na inafolen asubuhi mpaka jioni.
Mimi nafsi yangu foleni hizi kwa malipo ya ada inanitouch sana!
Nawasilisha hili Wajamen!
MTAZAMO WANGU:
Kwanini hizi shule za kata zisiwe na M-pesa,Tigo Pesa na hata Airtel Money?
Mbaya zaidi wanataka hz ada ziwekwe kwenye hii benki ya wafanyabiashara na inafolen asubuhi mpaka jioni.
Mimi nafsi yangu foleni hizi kwa malipo ya ada inanitouch sana!
Nawasilisha hili Wajamen!