by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
Na mkianzisha siasa za majimbo, itabidi mwende mliko tok a kwani hatutahitaji wakuja wa dar
dalili za mtu anaekata roho mkuu aga ndugu na marafiki.
Na mkianzisha siasa za majimbo, itabidi mwende mliko tok a kwani hatutahitaji wakuja wa dar
Mpaka mwaka 2000 Kariakoo ilikuwa ya wazaramu kweli na nyumba zao za udongo lakini sasa ni maghorofa ndugu Tena ya watu wa kuja.
Hata hivyo na wazaramo, wakwere na wengineo sio wote CCM wengi CUF na CDM pia sasa wewe unasema ina wenyewe kwa mantiki ipi?.
Ukaazi kwa bara hatuangalii umeishi miaka mingapi! ishu ni umejandikisha wapi kupiga kura.Kile kijiumati wengi wao ni mafundi garage, ma baamedi, wauza maduka ya mwenge pale kutoka kaskazini sasa haw a kweli na akili zako unaweza sema wakazi wa dar kweli? na ww ni mmoja wapo wa haw a sina shaka
Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu[/COLOR][/SIZE][/FONT]
aisee unatia huruma kijana.
mkuu Ellizumbemkuu kuna watu wanajifanya hawana macho ati, via ni matunutu
si mnawalisha watu pilau na kuwawekea taarabu na akina kapteni komba?? bongo fleva usiseme ...watoto wote wa mjini lazima waje..ha ha ha!
Maneno yako twayyyib! kale kajiumati wengi wao ni mafundi gereji waliobebwa na malori ya wachaga kutoka kigogo dampo, tabata, mabaamedi wa Sinza, wauza kitimoto wa kimara, mbezi, na ubungo.
Hawa Chadema kweli wageni mjini hawajawahi kuona jangwa linavyojazwa? ule ulikuwa mkutano wa Injili tu ndio maana kulikuwa na makapu ya sadaka Lema anakusanya, mkutano wa siasa sadaka za nini?
mkuu Elli
halafu yanafanana akili yote, haangi yajiie mbwai vyebana mitwi?
lakini ipo siku inakuja, nayo ipo karibu mno, na siku hiyo milango ya magereza itafunga kuwaachia huru wanyonge na walioonewa na wataingia majambazi kama huyu muanzisha thread.
Unaposema kijiumati nashindwa kukuelewa labda unamaanisha waliokuja wote walikuwa wavua magamba.Wangekuwa hivyo isingekuwa kile 'kijiumati' lingekuwa 'liumati la halaiki'. So, hoja zako hazing mashiko kajipange tena mkuu
View attachment 54804
Nadhani picha zinazungumza zaidi kuliko maneno.
nakwambia magereza yote utayajua tu, subiri siku yenu haipo mbali. kutia ndani wezi sio kulipiza kisasi ni sheria.Kwa maana hiyo manataka kuongoza nchi ili kulipiza visasi na si kuongoza watanzania ? km ni hivyo basi hamfai kushika dola ya nchi hii aisee. Cdm ni zaidi ya uijuavyo unafiki mioyoni umejaa balaa
Inaonekana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana!!!!!!
Huwezi kugundua tu haraka haraka kwamba maisha ya wakazi wa Dar kwa sasa ni magumu sana kiasi kwamba hata nauli yenyewe ya kutoka majumbani mwao kwenda kwenye mkutano hawana!!!!!
Na kwa taarifa yako binafsi nilifanya kautafiti kadogo tu nikagundua kwamba watu wengi sana sana walikuwa wanafuatilia yaliyokuwa yanajiri kwenye ule mkutano kupitia television ya ITV wakiwa majumbani mwao na sehemu zao za kazi
Ninyi CCM endeleeni kujidanganya tu kwamba CDM hawana nguvu dar na mikoa ya pwani lakini mtashangazwa na matokeo kwenye box la kura 2015
Wakazi wa Dar ni watu wa kufanya kwa vitendo kwa taarifa yako!!!!
nakwambia magereza yote utayajua tu, subiri siku yenu haipo mbali. kutia ndani wezi sio kulipiza kisasi ni sheria.
Hapa ndio mmedhihirisha mlivyotoka kwenye misingi ya chama,wauza maduka,mafundi garage na wauza kitimoto hawahesabiki kuwa wa Tz?Hawa ndio wapiga kura.Tumekusikia, endelea...........Kama huna kajifungie ndani up ewe ugali ule, ukajisaidie then ulale