mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Mwaka huu mmeshikwa pabaya! Umekazania Dar kuna Wenyewe, sasa wenyewe ndo kina nani?!
Acha kuwa na mawazo magando wewe, nijuavyo mimi Dar ya sasa sio ya kipindi kile Taifa linapata uhuru kutoka kwa mkoloni, ambapo asilimia kubwa walikuwa Wazaramo and the likes. Dar ya sasa ina-mchanganyiko wa watu (makabila) kila aina na kutoka kila pembe ya nchi kuanzia Wazaramo, Wasukuma, wadengereko, waha, wachaga etc. Single yenu mliyotoa ya u-Kaskazini imeanza kuchuja nini?! mmekuja na Single nyingne ya 'Dar kuna Wenyewe'?!. Baada ya hii single ya sasa, mtakuja na single gani?! Mbona kipindi hiki tutasikia mengi.
Hii ni dalili ya kushikwa sehemu mbaya na magamba yamepata moto.
Huyu GAMBA bila shaka anaposema DSM in wenyewe anamaanisha WALE WAZEE WA DSM AMBAO raisi KIKWETE ANAKWENDAGA KUWAPAGA UDAKU, NA KUOMBA USHAURI WA KUONGOZA NCHI.
Sasa CDM wameamua kuiita Jangwani kuwa ni CDM SQUARE
Ikiwezekana kwa kujibu mapigo CCM nao waitishe mkutano kama ule wa juzi tuone watafika wangapi!!!!!!
ili wabadilishe paitwe CCM SQUARE;
Juzi hakukuwa na FUSO lililowabeba wana CDM, bali kila mtu alijitegemea kwa uchungu wa nchi na mapenzi kwa CDM.
Ingelikuwa ni mkutano wa CCM, pale wangeletwa na MAFUSO kutoka Lindi na Mtwara ili uwanja ujae.
WANA-CCM JUZI WALITAMANI KUZIMIA, WENGINE WALIKATAA KUFUATILIA HATA ITV eti wamekunywa maji ya Bendera!!!
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!