wewe na Mzee Akilimali wa Yanga inaonekana mawazo yenu na akili vinafanana, asante kwa kututuknana. Ndio maana wengine tueamua kubakia huku kwetu na M4C mkiikataa itashika kasi kutokea huku huku!
Maneno yako twayyyib! kale kajiumati wengi wao ni mafundi gereji waliobebwa na malori ya wachaga kutoka kigogo dampo, tabata, mabaamedi wa Sinza, wauza kitimoto wa kimara, mbezi, na ubungo.
Hawa Chadema kweli wageni mjini hawajawahi kuona jangwa linavyojazwa? ule ulikuwa mkutano wa Injili tu ndio maana kulikuwa na makapu ya sadaka Lema anakusanya, mkutano wa siasa sadaka za nini?
shule ki2 cha muhimu sana, hujui kusoma angalia hata picha huenda ukaelewa kidogo, watu kma nyie mpaka mpondwe na nyumba ndo mtaamini nyumba yenu hainabudi kuanguka!
akaulize na TFF kama walipata mapato ya kiingilio kiasi gani dhidi ya taifa stars na malawi then atapata jibu na sababu.Nimefurahi kuona kuwa na wewe ulifuatilia yaliyojiri pale CDM SQUARE.
Kumbukumbu ya umati kama ule uliona lini hapo jangwani ya ZAMANI (CDM SQUARE) kama si enzi za Papa John wa II.
Sijui lakini kama unalijua hili maana unaonekana huna lolote unalojua.
Wewe waonyesha ni wale wale wakuja wa dar, km kin a Mbowe, Slaa, Mnyika nk asili yao ni kaskazini si Dar, na ww umo kwenye kundi hilo. Wote wa kuja mnajulikana tu, inawauma sana kusikia Dar in a wenyewe na ndicho mlicho kipata pale jangwani
wale wa kufunga kampeni walibebwa na malori hawa wa chadema hakuna hata mmoja aliyebebwa na malori,hata sisimizi wenyewe hakuna hata mmoja aliye kanyagwa kutokana na ule umati kutulia na kusikiliza mambo ya msingi wa taifa letu
akaulize na TFF kama walipata mapato ya kiingilio kiasi gani dhidi ya taifa stars na malawi then atapata jibu na sababu.
Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
- Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati' japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
- Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square'. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
- Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu
Samahani, wewe ni mzaramo??
Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
- Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati' japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
- Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square'. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
- Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu
Mtaendelea kuliwa na kauli ya dar ina wenyewe.ccm mpaka wajaze uwanja huo wa chadema square mpaka wamlete 50cent,mmezoea kuupotosha ukweli na magamba yenu
Kampeni za ccm zakufunga wakati wa uchaguzi wa 2010 watu uwanja ule walijaa kuliko haw a wa cdm , nilishangaa kuona jangwani uwanja una gap kubwa sana japokuwa matangazo mliyafanya kwa nguvu sana. Duh kweli cdm Dar hamna lenu, napendekeza makao makuu ya cdm yahamie arusha
Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
- Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile kijiumati japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
- Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni cdm square. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
- Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu
Analysis nyingine nafikiri hua zinafanyikiaga chooni wakati mtu anajihudumia haja kubwa!!
Possibly hata zinatumika kupunguza msongo wa mawazo na katika kujiweka bize chooni ndio mtu anaamua apost kitu chochote kimjiacho kichwani!!
Hii ni dhahiri kua kadiri tuendeleako huko mbele, basi majalala yaliyopo yatakua hayatoshi kwa vichaa waliopo na wanaotegemewa kutokea.
Nachelea kusema kua ni dhahiri asilimia kubwa ya wengi wetu ni "misukule" na hatulijui kama hilo
Katika watu bongo lala we kiongozi wao,hukuna cha wenye mji wala nini.hili wimbi la mageuzi wakubwa zako wa chama wenyewe wanatetemeka halizuiliki wa kaa hivyo hivyo , kalagabaho.........
haya majina yangekuwa yanauwezo nadna anayelitumia hili jina angepelekwa mahakamani kwani matendo yake no kinyume na jina lenyewe!vilza wengi sana dunia na hili likilaza linaweza kuwa miongoni mwa wanaoshikilia ubingwa wa ukilaza Tanzania.
Mimi nadhani unakosea kufikiri hivyo kwasababu sio wafuasi wote alihudhuria pale, waliokuja pale ni wachache. Pia kumbuka CCM huwa mna kawaida ya kubeba watu kwa magari tofauti na vyama vingine ambapo wafuasi wao huja wenyeweKampeni za ccm zakufunga wakati wa uchaguzi wa 2010 watu uwanja ule walijaa kuliko haw a wa cdm , nilishangaa kuona jangwani uwanja una gap kubwa sana japokuwa matangazo mliyafanya kwa nguvu sana. Duh kweli cdm Dar hamna lenu, napendekeza makao makuu ya cdm yahamie arusha