only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Baada ya Babu wa Loliondo aliyekuwa Mchungaji mstaafu wa KKKT Mch.Mwasapile kuanza kutoa tiba kupitia dawa aliyodai ameoteshwa na Mungu...Kanisa lilimrudisha kazini haraka...Je?
- Kwanini kanisa limemrudisha kazini huyu Mchungaji baada ya kuanza kutoa hiyo dawa na si kabla ya hapo?
- Kanisa lina maslahi gani na hii dawa?