Thanksgiving
Member
- Dec 16, 2011
- 7
- 1
Kama ulikuwa unamwamini kikwete ulitumia kigezo gani? Mbona huyo jamaa hakuwa na rekodi yoyote iliyotukuka.
Mkuu, wengi mnashindwa kumuelewa vema JK, ni kawaida yake kujinukuu vibaya yeye mwenyewe, sembuse watu wengine?