Kwa hili dada zetu mnatudanganya.. au mmetuzidi maujanja!

Hiyo picha inajieleza vizuri. Hahhahah kujiremba kwetu pia kunaashiria mambo mengi mojawapo ni hilo la mtego mzuri kwa wanaume na wanaume mnapenda maua yanayochanua mwanzo mwisho matokeo yake ni kunasa kwa huo mtego hahahahha. Jibu ni tunadanganyana lakini wanawake wamezidi maujanja.... tuna mitego ya kila aina wanaume kazi yenu ni kutegua na matokeo yake mnateguka kirahiiiiiiiiiiisiiiiiiiii.
 
very true, utaona kuwa tunachozungumza hapa tunaelewana tunazungumzia a typical man or woman ambao tuna uzoefu nao - yaani Mtanzania. Hatuhitaji kudefine na kuelezea kwa kila kundi la Wamongo, wahindi, waarabu, wachina, wafilipino au wamexican! Kujaribu kudefine kila mjadala katika vipande vyake vidogo vidogo ni kupoteza kabisa mjadala mzima na kujaribu kutafsiri kila neno ili kila mtu aelewe itakuwa tena ni academic endeavor. Mjadala huu si wa kitaalamu, na wala siyo wa kisomi ni mazungumzo tu ya watu wanapiga soga na hauna lengo lolote la kuandika thesis juu ya "kucheat" au "kudanganyana".

Kujaribu kuusoma hivyo ni kuupa uzito usiostahili. Siyo mjadala wenye lengo la kudiagnose na kutibu a social malady.

You did not specify.

I may go as far as saying "the typical Tanzanian" is a mythical construct of the mind, fuelled by a lack of coherent expression and a malignant manipulation on the part of politicians, this "typical Tanzanian"t does not exist just as the typical (a.k.a average) number of children in a household in a certain country can be 2.2.

Have you seen a household with 2.2 children?

Typical may not be that typical.

Come again.
 
I may go as far as saying "the typical Tanzanian" is a mythical construct of the mind, fuelled by a lack of coherent expression and a malignant manipulation on the part of politicians, this "typical Tanzanian"t does not exist just as the typical (a.k.a average) number of children in a household in a certain country can be 2.2.

Have you seen a household with 2.2 children?

Typical may not be that typical.

Come again.

Well, if its not typical it can't be typical now could it?
 
Tunaamini kuwa mwanamke anahitaji kuwa na 'hisia' na mtu kumbe wapo wanawake ambao nao tendo hilo ni kama mazoezi ya viungo tu au kama kashata! wanakula wakiwa na hamu na wakimaliza hata hawakumbuki!

wapo wanawake hata hawakumbuki kabisa wanaume waliolala nao;


hivi Mwanakijiji ina maana ulikuwa hujui hili.....?......basi nataka nikuhakikishie.....hilo ni kweli kabisa.......
 
Kila mara mimi huwa nasema ikija kwenye mambo ya 'nani zaidi' kwenye ku cheat kati ya wanawake na wanaume - it's a horse race.

Tatizo ni kuwa watu wengi kwenye haya mambo wanasukumwa na imani. Lakini mtu ukiamua kuyamulika na kuyaangalia kwa uhalisia utagundua kuwa hakuna tofauti kubwa sana kati ya wanawake na wanaume katika kucheat.

Mimi ni member kule Ashley Madison (Ashley Madison - Married Dating & Discreet encounters - Have An Affair). Kila siku napata 'matches' wa kike ambao ni wake za watu na ambao wanatafuta discreet affairs.

So go figure....

Asee NN nakushukuru bana acha na mimi nitafute umember huko!!
 
Lol! Mie nicheke pia kwa bold!
Seriously speaking, with my very evil mind nilishawahi kujaribu ku-speculate mtu/watu ambao mama yangu mzazi angaliweza kuwa na affair nao wakati dingi yuko kwenye safari zake za muda mrefu. Niliishia bila clue! Ila dingi kumuhisi ni rahisi sana (kama vile nishaona na kijana aliefanana na mie kidogo,mweh!)
Women ar smarter than men, ndo maana Bible inasema 'wanaume kaeni na wake zenu kwa akili' if we were not that smart msingehitaji akili ya kukaa na sie, sio?
 
Kuna kipindi huwa nawaz why kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanamke na mwanamme.
Wakati wanaume wanatake easy mambo madogo madogo mwanamke anakomaa nayo mpaka kiwango cha kununa siku nzima kisa haujamwambia kapendeza
 
Kuna kipindi huwa nawaz why kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanamke na mwanamme.
Wakati wanaume wanatake easy mambo madogo madogo mwanamke anakomaa nayo mpaka kiwango cha kununa siku nzima kisa haujamwambia kapendeza

ulinotice kapendeza au anataka kusikia tu kapendeza?
 
Tunaamini kuwa mwanamke anahitaji kuwa na 'hisia' na mtu kumbe wapo wanawake ambao nao tendo hilo ni kama mazoezi ya viungo tu au kama kashata! wanakula wakiwa na hamu na wakimaliza hata hawakumbuki!

....mmmmh....NSA and one night stand...just saying!
 
wanawake pasua kichwa....the moment ukijifanya 'unawajua' tu
imekula kwako

Mambo ya usawa siku hizi, kama nyie mnacheat kwa nini sie tuendelee kufa kwa pressure? Uzuri wetu tunafanya mambo kwa akili sio kama nyie mkishaogeshewa maji ya karafuu basi yale ya hiriki hamkumbuki tena. Chezeya wanawake weye!
 
Back
Top Bottom