Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Duuuh..roho imeniumaaaaa!
very true, utaona kuwa tunachozungumza hapa tunaelewana tunazungumzia a typical man or woman ambao tuna uzoefu nao - yaani Mtanzania. Hatuhitaji kudefine na kuelezea kwa kila kundi la Wamongo, wahindi, waarabu, wachina, wafilipino au wamexican! Kujaribu kudefine kila mjadala katika vipande vyake vidogo vidogo ni kupoteza kabisa mjadala mzima na kujaribu kutafsiri kila neno ili kila mtu aelewe itakuwa tena ni academic endeavor. Mjadala huu si wa kitaalamu, na wala siyo wa kisomi ni mazungumzo tu ya watu wanapiga soga na hauna lengo lolote la kuandika thesis juu ya "kucheat" au "kudanganyana".
Kujaribu kuusoma hivyo ni kuupa uzito usiostahili. Siyo mjadala wenye lengo la kudiagnose na kutibu a social malady.
I may go as far as saying "the typical Tanzanian" is a mythical construct of the mind, fuelled by a lack of coherent expression and a malignant manipulation on the part of politicians, this "typical Tanzanian"t does not exist just as the typical (a.k.a average) number of children in a household in a certain country can be 2.2.
Have you seen a household with 2.2 children?
Typical may not be that typical.
Come again.
Duniani wawili wawili yaani kama Mke wangu du watu kweli wanafananadada kwenye picha ana kimwili kizuri kweli!
Kaazi kweli kweli! Yaani hata soga tu nazo ziwe zinajadiliwa kwa kutumia sijui ma sample space na ma nini nini? Mweh!
Tunaamini kuwa mwanamke anahitaji kuwa na 'hisia' na mtu kumbe wapo wanawake ambao nao tendo hilo ni kama mazoezi ya viungo tu au kama kashata! wanakula wakiwa na hamu na wakimaliza hata hawakumbuki!
wapo wanawake hata hawakumbuki kabisa wanaume waliolala nao;
Kila mara mimi huwa nasema ikija kwenye mambo ya 'nani zaidi' kwenye ku cheat kati ya wanawake na wanaume - it's a horse race.
Tatizo ni kuwa watu wengi kwenye haya mambo wanasukumwa na imani. Lakini mtu ukiamua kuyamulika na kuyaangalia kwa uhalisia utagundua kuwa hakuna tofauti kubwa sana kati ya wanawake na wanaume katika kucheat.
Mimi ni member kule Ashley Madison (Ashley Madison - Married Dating & Discreet encounters - Have An Affair). Kila siku napata 'matches' wa kike ambao ni wake za watu na ambao wanatafuta discreet affairs.
So go figure....
Nimependa usafiri wa huyo mdada. Mwanakijiji itabidi tuongee.
Well, if its not typical it can't be typical now could it?
hivi Mwanakijiji ina maana ulikuwa hujui hili.....?......basi nataka nikuhakikishie.....hilo ni kweli kabisa.......
Kuna kipindi huwa nawaz why kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanamke na mwanamme.
Wakati wanaume wanatake easy mambo madogo madogo mwanamke anakomaa nayo mpaka kiwango cha kununa siku nzima kisa haujamwambia kapendeza
wanawake pasua kichwa....the moment ukijifanya 'unawajua' tu
imekula kwako
Shauri lako, utazeeka masikio wewe!