Kwa hili clouds fm wanastahili pongezi

Jayfour_King

JF-Expert Member
Nov 15, 2009
1,135
128
Nimekuwa nikifuatilia habari kupitia redio baada ya umeme kutokuwepo muda mrefu na hivyo kushindwa kufuatilia matukio kupitia TV, redio clouds wamejitahidi sana kwani kuanzia kipindi chao kile cha asubuhi wamefanya coverage nzuri sana kuhusu yaliyojiri kufuatia mafuriko.
Sikuona uzuri wa media za serikali kuhusu hili, kulikoni?
 
Hii hii Clouds ambayo huwa mnaiponda kuwa imejaa wafanyakazi mashoga? Leo imekuwa redio ya kusifiwa na kupewa pongezi! Kweli ya Mungu mengi.

TRUE ! MWITA, mnyonge mnyongeni haki y... . Asemavyo mtoa thread ni sawa kabisa! Tena kwa mie nilie Mwanza Tbc ndiyo haikuepo kabisa!
 
Vp kuhusu TBC1? kwani tangu baada ya ile ajali ya Zanzibar, nilishaifuta kwenye channel list za TV yangu.
 
zipo radio nyingine pia zilikuwa zinachukua coverage sema kwa kuwa ulikuwa unasikiliza clouds fm. But tunashukuru vyombo vyote vya habari kwa kufuatilia matukio na kuwafahamisha wananchi!
 
Hii hii Clouds ambayo huwa mnaiponda kuwa imejaa wafanyakazi mashoga? Leo imekuwa redio ya kusifiwa na kupewa pongezi! Kweli ya Mungu mengi.

Mkuu hata Iddi Amini likuwa na mazuri yake pia, ingawa ubaya wake ndo ulikuwa mkubwa kuliko mema. Kwa mema lazima aongelewe
 
Big up EATV coverage yenu nimeikubali, mmetupa update za kutosha sana. Kwa mujibu wa Dr. Kijazi bado kesho tumuombe Mungu atuepushilie mbali yasitokee makubwa kama ya leo.
 
TBC taifa nao walikuwa live siku nzima wakijuza yaliyojiri kila kona akiwemo swedi mwinyi na wengineo
mm nipo uswazi nimewapata vema kupitia mtandao tuwape nao hongera sio clouds pekee na EATV kama mlivosema walitoa updates
 
Clouds in bomba sana. Tatizo imejikita zaidi pale magogoni na magamba yao. imeipiku mpaka Redio Uhuru ambayo ni Magamba kwa 1556%
 
Back
Top Bottom