Kwa Hili, Clouds FM Inastahili Pongezi!.

Humu ndani kuna watu wengi wapumbavu sana! Mlio wengi yaani hamna tofauti magenge ya wahuni huko mitaani, mnaongea pumba tupu! Kwasisi tunaofuatilia Clouds Fm kamwe hata mzungumze pumba gani wala hamtatubadilisha....
 
Wanabodi,
Nawaombeni sana tuwe more realistic kwa kuwa wakweli ndani ya nafsi zetu kunapofanyika jambo zuli tutoe pongezi na wanapo chemsha tuwape kichapo.

Mimi ni miongoni wa wasikilizaji wa kipindi cha Jahazi na kule nyuma nimeshawahi kutoa mawazo yangu kuhusu kipindi hiki tangu enzi zile. na nikatoa mawazo jinsi baadhi ya watangazaji wao walivyo wapuuzi puuzi na kuongea lugha zisizo na staha!.

Kusema ukweli leo nimesikiliza mahojiano ya Zitto kwenye kipindi cha Jahazi nakiri wazi sasa Kibonde has grown up into a mature young guy. Ule ujinga ujinga wake na ****** ****** ameacha kabisa kwa leo!. Big Up kwa Clouds FM for that!.

Kwa wengine ambao hamkubahatika kusikiliza kipindi cha leo, nawasihi kesho zikilizeni mahojiano na January Makamba, mtakubaliana nami kuwa kwa hili Clouds FM wastahili pongezi!.

Angalizo: Najua pia humu jukwaani tuna lots of hate preachers wa kumwaga, kwao wao hakuna jema, kwao wao kila jambo kwao ni baya na kuvurumisha hate preaching pekee. I beg them, wabadilike!. Kwenye kustahili sifa watoe na kwenye kustahili kubonda ndio wabonde, isiwe basi ni kubonda tuu kila kukicha as if hakuna hata jema moja!.

Kibonde hawezi badilika,alicho kifanya anongea na wenye kuweza kureason,akiwa na wajinga wenzake kichwa kinapata moto.
usidanganyike na analofanya kwa Zitto na atakalofanya kwa J.Makamba.
Pia kwa chombo chenyewe(Clouds) hawana tatizo shida ni watendaji tena baadhi clouds ni lazima waweke condition za kazi kwa watangazaji wake na kama zipo ndio zinatoa nafasi za wachache kukifanya chombo hiki kama chombo cha chama fulani au kinaegemea mlengo fulani,kwa chombo cha habari binafsi kama Clouds ni mbaya hasa pale upepo wa kisiasa unapogeuka.
Mifano hai ipo angalia watangazaji waliopata matatizo Rwanda na Kenya hii ndio hali halisi kama kibonde na wenzake hawajui lazima wawe neutral bila kuonyesha wapi wamelalia.
 
Some people bana hii Nayo ni thread! My footy ....it is simply a c rap hivi promo wekeni kwa twitter na FB...huo ni mtazamo wako eti clowns radio inastahili pongezi lol! This goes below the belt
Mchungaji mi nilijua Lowasa kapewa air time kwenye kipindi
 
Kusema ukweli leo nimesikiliza mahojiano ya Zitto kwenye kipindi cha Jahazi nakiri wazi sasa Kibonde has grown up into a mature young guy. Ule ujinga ujinga wake na ****** ****** ameacha kabisa kwa leo!. Big Up kwa Clouds FM for that!.

Wabongo bwana. Yahisi sana kudanganywa. Kipindi kimoja tuu tayari umeshalainika. Kesho kutwa atamhoji mtu mwingine completely the opposite sijui utarudia ugumu?
 
Wanabodi,
Nawaombeni sana tuwe more realistic kwa kuwa wakweli ndani ya nafsi zetu kunapofanyika jambo zuli tutoe pongezi na wanapo chemsha tuwape kichapo.

Mimi ni miongoni wa wasikilizaji wa kipindi cha Jahazi na kule nyuma nimeshawahi kutoa mawazo yangu kuhusu kipindi hiki tangu enzi zile. na nikatoa mawazo jinsi baadhi ya watangazaji wao walivyo wapuuzi puuzi na kuongea lugha zisizo na staha!.

Kusema ukweli leo nimesikiliza mahojiano ya Zitto kwenye kipindi cha Jahazi nakiri wazi sasa Kibonde has grown up into a mature young guy. Ule ujinga ujinga wake na ****** ****** ameacha kabisa kwa leo!. Big Up kwa Clouds FM for that!.

Kwa wengine ambao hamkubahatika kusikiliza kipindi cha leo, nawasihi kesho zikilizeni mahojiano na January Makamba, mtakubaliana nami kuwa kwa hili Clouds FM wastahili pongezi!.

Angalizo: Najua pia humu jukwaani tuna lots of hate preachers wa kumwaga, kwao wao hakuna jema, kwao wao kila jambo kwao ni baya na kuvurumisha hate preaching pekee. I beg them, wabadilike!. Kwenye kustahili sifa watoe na kwenye kustahili kubonda ndio wabonde, isiwe basi ni kubonda tuu kila kukicha as if hakuna hata jema moja!.

We hata sikuelewi hata uongee nini.
 
Wanabodi,
Nawaombeni sana tuwe more realistic kwa kuwa wakweli ndani ya nafsi zetu kunapofanyika jambo zuli tutoe pongezi na wanapo chemsha tuwape kichapo.

Mimi ni miongoni wa wasikilizaji wa kipindi cha Jahazi na kule nyuma nimeshawahi kutoa mawazo yangu kuhusu kipindi hiki tangu enzi zile. na nikatoa mawazo jinsi baadhi ya watangazaji wao walivyo wapuuzi puuzi na kuongea lugha zisizo na staha!.

Kusema ukweli leo nimesikiliza mahojiano ya Zitto kwenye kipindi cha Jahazi nakiri wazi sasa Kibonde has grown up into a mature young guy. Ule ujinga ujinga wake na ****** ****** ameacha kabisa kwa leo!. Big Up kwa Clouds FM for that!.

Kwa wengine ambao hamkubahatika kusikiliza kipindi cha leo, nawasihi kesho zikilizeni mahojiano na January Makamba, mtakubaliana nami kuwa kwa hili Clouds FM wastahili pongezi!.

Angalizo: Najua pia humu jukwaani tuna lots of hate preachers wa kumwaga, kwao wao hakuna jema, kwao wao kila jambo kwao ni baya na kuvurumisha hate preaching pekee. I beg them, wabadilike!. Kwenye kustahili sifa watoe na kwenye kustahili kubonda ndio wabonde, isiwe basi ni kubonda tuu kila kukicha as if hakuna hata jema moja!.

'jambo zuli','zikilizeni' 'kubonda'????
 
Wabongo bwana. Yahisi sana kudanganywa. Kipindi kimoja tuu tayari umeshalainika. Kesho kutwa atamhoji mtu mwingine completely the opposite sijui utarudia ugumu?
Mkuu MTM, ili kustahili kupongezwa kwa kufanya vema, ni lazima ufanye mara ngapi ndipo wastahili kupongezwa?.
Nimesema wakifanya vema wapongezwe na wakiboronga, wabalaswe!.
 
Nimesema wakifanya vema wapongezwe na wakiboronga, wabalaswe!.

Personally nawakubali Clouds kwenye vipindi vya muziki, kila nikipata nafasi nasikiliza oldies Jumamosi saa moja mpaka saa tatu. Sijaona radio station inayokaribia hawa jamaa kwa vipindi vinavyoendeshwa na maDJ.
 
Kuna haters with justified reason to hate. This is ok. Lakini humu jf tuna haters ambao they just hate with no any justified reason, they just hate!.

Haters wa aina hii wanaugonjwa bila wao kujijua. its a psychological problem caused by deep rooted neurosis, na wata end up suffering chronic deseases bila kujua chanzo cha magonjwa yao!.

I beg them to change, please be appreciatives kwenye madogo, Mungu atawafanyia makubwa!.
 
mchungaji huyu pasco ana njaa ya kufa mtu.....angalia post zake utajua nasema nini.....
Mkuu Yoyo ni kweli kabisa!. The fact is Pasco anaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea na mara nyingi hushindia maji na kulala njaa. Hivyo ni kweli kabisa siku zote ni mtu mwenye njaa ya kufa mtu, hata huu utetezi wa Clouds ameuleta ili alipwe na Jo, Zitto na January ili angalau asishindie maji na kulala njaa!.

Hata ule utetezi wa EL zilikuwa ni njaa zake!.
 
kimtindo lakini siwezi kutetea ufisadi kwa bahasha za jero kama anavyofanya PASCO
Mkuu Yoyo hizo bahasha sio za jero ni za buku buku tuu mimi zinanitosha kumtetea yoyote, kwasababu hata shetani mwanzo alikuwa ni malaika!.
 
Mti wenye matunda daima hupopolewa mawe! Na hilo wanazi wa JF ndiyo wanazidi kulidhihirisha kwa kila mara kuwasema vibaya Clouds na watumishi wake.
 
Kuna haters with justified reason to hate. This is ok. Lakini humu jf tuna haters ambao they just hate with no any justified reason, they just hate!.

Haters wa aina hii wanaugonjwa bila wao kujijua. its a psychological problem caused by deep rooted neurosis, na wata end up suffering chronic deseases bila kujua chanzo cha magonjwa yao!.

I beg them to change, please be appreciatives kwenye madogo, Mungu atawafanyia makubwa!.

Mkuu,

Kupingana na wewe au mtu mwingine does not mean that we hate you or other person. Najua unajua first impression ndiyo inayo matter zaidi. Once you mess on your first impression it will take time to convince others that you are the real deal. It will take time.

Nakumbuka ulishawahi kuuliza huku kama Roma ilijengwa kwa siku moja. Si tunaweza kuanza kidogo kidogo? Na kama unabomoa ili ujenge upya it could take even more time. This was just a single programme and certainly people can not use one event to definitely say that things has changed or improved. Give both sides time. Ningependa nikuone unakuja hapa kuikana thread yako. Give both parties time.

By the way, you do not need to have justified reasons to hate someone because no tool has been invented to justify hate in the first place.
 
Back
Top Bottom