naomba u edit post yako na uondoe maneno 'mature young guy'...yanafaa kwa anold kayanda siyo kibonde aliyekwisha kula chumvi nyingi.Wanabodi,
Nawaombeni sana tuwe more realistic kwa kuwa wakweli ndani ya nafsi zetu kunapofanyika jambo zuli tutoe pongezi na wanapo chemsha tuwape kichapo.
Mimi ni miongoni wa wasikilizaji wa kipindi cha Jahazi na kule nyuma nimeshawahi kutoa mawazo yangu kuhusu kipindi hiki tangu enzi zile. na nikatoa mawazo jinsi baadhi ya watangazaji wao walivyo wapuuzi puuzi na kuongea lugha zisizo na staha!.
Kusema ukweli leo nimesikiliza mahojiano ya Zitto kwenye kipindi cha Jahazi nakiri wazi sasa Kibonde has grown up into a mature young guy. Ule ujinga ujinga wake na ****** ****** ameacha kabisa kwa leo!. Big Up kwa Clouds FM for that!.
Kwa wengine ambao hamkubahatika kusikiliza kipindi cha leo, nawasihi kesho zikilizeni mahojiano na January Makamba, mtakubaliana nami kuwa kwa hili Clouds FM wastahili pongezi!.
Angalizo: Najua pia humu jukwaani tuna lots of hate preachers wa kumwaga, kwao wao hakuna jema, kwao wao kila jambo kwao ni baya na kuvurumisha hate preaching pekee. I beg them, wabadilike!. Kwenye kustahili sifa watoe na kwenye kustahili kubonda ndio wabonde, isiwe basi ni kubonda tuu kila kukicha as if hakuna hata jema moja!.
Wanabodi,
Nawaombeni sana tuwe more realistic kwa kuwa wakweli ndani ya nafsi zetu kunapofanyika jambo zuli tutoe pongezi na wanapo chemsha tuwape kichapo.
Mimi ni miongoni wa wasikilizaji wa kipindi cha Jahazi na kule nyuma nimeshawahi kutoa mawazo yangu kuhusu kipindi hiki tangu enzi zile. na nikatoa mawazo jinsi baadhi ya watangazaji wao walivyo wapuuzi puuzi na kuongea lugha zisizo na staha!.
Kusema ukweli leo nimesikiliza mahojiano ya Zitto kwenye kipindi cha Jahazi nakiri wazi sasa Kibonde has grown up into a mature young guy. Ule ujinga ujinga wake na ****** ****** ameacha kabisa kwa leo!. Big Up kwa Clouds FM for that!.
Kwa wengine ambao hamkubahatika kusikiliza kipindi cha leo, nawasihi kesho zikilizeni mahojiano na January Makamba, mtakubaliana nami kuwa kwa hili Clouds FM wastahili pongezi!.
Angalizo: Najua pia humu jukwaani tuna lots of hate preachers wa kumwaga, kwao wao hakuna jema, kwao wao kila jambo kwao ni baya na kuvurumisha hate preaching pekee. I beg them, wabadilike!. Kwenye kustahili sifa watoe na kwenye kustahili kubonda ndio wabonde, isiwe basi ni kubonda tuu kila kukicha as if hakuna hata jema moja!.
Nasikia harufu ya kibahasha. Unanchekesha! - courtesy FF
Mkuu tujadili nini? Zitto, clouds, kibonde, Jahazi hueleweki!!!
clouds fm radio inayosikilizwa na wengi hapa jijini dar,big up radio ya watu
mfu ndo kila siku anatajwa atajwa humu JFYap,
Radio ya Wafu!!
naomba urekebishe hii sentensi.......the guy is as old as my grandmother how comes you make him younger
Kwa elimu gani aliyonayo mpaka apewe ukuu wa wilaya?.Au ukuu wa wilaya siku hizi ni kazi kama ya u Dj ukijua kupangilia miziki basi wewe ni Dj?Nasikia ukuu wa wilaya ndio target yake...na hapati ng'o ! :nerd:
Kumbe Clouds ina wapenzi wengi eeeh.....tih tih tih
wanajikosha hai hata hivyo walikwishachelewa
Mkuu Waberoya, ni wana jf wachache sana wanao ukubali ukweli halisi na haswa unapokuwa ni ukweli mchungu!.huo ndio ukweli japo wengi huwa hawataki kuusikia
mchungaji huyu pasco ana njaa ya kufa mtu.....angalia post zake utajua nasema nini.....Mkuu tujadili nini? Zitto, clouds, kibonde, Jahazi hueleweki!!!