Kwa hili CHADEMA mmekurupuka

Kwanza chama cha magamba, hakijatimua fisadi hata moja, hata kutoa list ya hao mafisadi tu, waliowapa siku 90, wameshindwa! na kwanini wawabembeleze mafisadi badala ya kuwatimua mara moja! huu usanii wao wa magamba hautudanganyi hata kidogo! hatudanganyiki!
 
CHADEMA wanaweza kuendelea kuhangaika na watu ndani ya CCM. Sio vibaya na hasa inapokuwa ni mwaka wa uchaguzi. Baadhi tulitaka watuambie sera mbadala wa hizi za CCM kwenye mambo yanayowagusa mojakwamoja Watanzania kwa mfano:
-Huduma za jamii.
-Ugharamiaji wa SIASA na WANASIASA.
-Uchumi, uwekezaji, uwezeshaji, uondoaji umasikini wa watu na nchi yetu.
-Mapato, matumizi ya fedha na rasilmali za NCHI.
Na mengine mengi.

Asilimia 90 ya haya yote hayawezekani hadi ufisadi uondolewe. Hivyo CDM wakija na sera zao juu ya hayo, kama hawaji na sera ya kuondoa ufisadi, sera zote zitakuwa bure.
Hivyo hatua ya CDM kuwataja mafisadi kwa lengo kuwa wachukuliwe hatua na serikali na wananchi, ni sahihi kabisa
 
kashaga hata wewe unajua timing! Mbona ulituletea thread ya uongo inayohusu karatu in a very poor timing! And how can you detect someone's timing while you cant manage yours! Poor guy!
filipo na karatu,naona ile post ya karatu mpaka leo inakuumiza! anyway kaa mkao wa kula namalizia ripoti yangu ya HAI
 
Hili mbona lishajadiliwa sana hata DR. Slaa mwenyewe alichangia....Mods unganisha hii na ile thread ya TaBora...!
 
Chama cha upinzani daima kazi yake ni kuki-piku chama tawala; kwa hivyo basi, daima hakiwezi kukisifu chama tawala kwa njia yeyote ile. However, kina weza kusifu kiongozi wa chama tawala. Lakini usije tetemea chadema au ccm kusifiana. It will never happend. Na kama ikitokea, basi vyama hivyo vitakuwa vimeugana kamavile CCM and CUF.
 
Back
Top Bottom