Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
kaka u have spoken the truth, it was a wrong timing for cdm to mention the names au unless cdm wanataka kuonekana wao ndio wameshinikiza watu fulani kuttimuliwa CCM,Ili baadae ionekanekane kana kwamba bila wao kutaja majina basi jamaa wasingefukuzwa! this is old tactic ni vizuri umeliona hili na umelizungumzia! ishu ya magufuli kuuza nyumba,si swala la leo kwanini leo ndio wanaona ndio ufisadi?? Slaa alipokuwa bungeni mbona hakuonekana kulivalia swala la uuzaji wa nyumba hizo wakati huo alikuwa mbunge mtu ambaye ana dhamana kubwa sana,hizi kelele anazopiga sasa hazina mashiko coz he is just a mere person( just a party secretary)
Muongo namba 1 kaangalie hansard lakini nakupongeza kung'ng'ania CCM inayozama kama inzi anavyofia kidondani.