Habari zenu wakuu,kwa kweli napenda kumshukuru Mungu kwa uzima
Binafsi napenda kumshukuru Mungu kupitia mtumishi wake KAKOBE kuhusu suala la TANESCO,wadau kusema kweli bila yeye haya madudu ya TANESCO na hadi iliyopelekea waumini kuomba na hatimaye MUNGU akamgusa mheshimiwa raisi kumtoa uwaziri Ngeleja na kina jairo,
Binafsi naona suala la Ngeleja kushindana na watumishi wa Mungu ndio kimemshusha hadhi na hivyo kuletewa waziri mwajibikaji Mh.MUHONGO na kufanya hata mwananchi wa kawaida sasa anaweza kupata nishati hii adimu ya umeme kwa viwango vya chini kabisa,
Hili ni jambo la kumshukuru sana M ungu.nawasilisha
Binafsi napenda kumshukuru Mungu kupitia mtumishi wake KAKOBE kuhusu suala la TANESCO,wadau kusema kweli bila yeye haya madudu ya TANESCO na hadi iliyopelekea waumini kuomba na hatimaye MUNGU akamgusa mheshimiwa raisi kumtoa uwaziri Ngeleja na kina jairo,
Binafsi naona suala la Ngeleja kushindana na watumishi wa Mungu ndio kimemshusha hadhi na hivyo kuletewa waziri mwajibikaji Mh.MUHONGO na kufanya hata mwananchi wa kawaida sasa anaweza kupata nishati hii adimu ya umeme kwa viwango vya chini kabisa,
Hili ni jambo la kumshukuru sana M ungu.nawasilisha