Kwa hii tabia ya wanawake ku pretend b4 marriagge tufanyaje?

feeeeez

Member
Jun 20, 2012
8
5
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.
 
Hii iko pande zote ila ukweli unabaki kwamba binadamu wote hatujakamilika..

Ni lazima mwanamke(hata mwanaume of course hata wewe) ujitahidi kuweka viwango kadhaa Kwa my-your wafe/husband to be ili kumentain gredi nzuri ya mahusiano

Hali hiyo Mara nyingi hubadirika mnapoingia ndoani.. Vijitabia vilivyofichika Kati ya Mume au Mke huanza taratibu kufichuka..

Jukumu la Kuvilea au kuviondoa analo monita wa House ambaye ni Mume.. Mume lazima awe ngangari Na kuhakikisha anavizima vimotomoto vyote vinavyozuka ndani ya ndoa yake manake @ the end lawama zote zitamjia yeye..

Kwa uzoefu wangu mwanaume kama dereva Wa ndoa lazima ajitahidi kuhakikisha anaviondoa viujingajinga vyote kabla familia haijaanza kupata watoto.. Akichelewa tu ku-act within mwaka mmoja Wa ndoa AMEKWISHA..

Familia ikishapata watoto ni ngumu sana, nasema sana kurekebishana kitabia
 
Dawa we ishi nae kihawara kwa muda mrefu tu. Kama atakuwa mtu wa ku-pretend utajua tu. Sio umeona leo 'singida dom sio ya kawaida' au sura utadhani cleopatra ukadhani ndo umefika.
 
Tatizo pia tunataka kuwafanya shemeji zetu ama kama wake zetu au mahausegirl fulani hivi.... Ushauri wa bure kama si lazima sana mtu akeshaoa muacheni aishi na mkewe na kama ni msaada sio lazima ukaenda kulala sebuleni kwake kaa uliko atakusaidia kama ndg yako.... sometimes inakera kwani inachangia sana kuvuruga ndoa za watu ...oa wako acha kutoa maksi kwa wake za wenzako....
 
ndiyo binadamu wote hatujakamika watu wengi sana wanawake kwa wanaume Wengine wana pretend yaani wanaficha baadhi ya tabia ili waolewe/waoe baada ya nia yao kukamilika tuu na kuichoka hyo ndoa ndio hutoa makucha ya tabia ambazo zilijificha
 
Kisosholojia kipindi cha uchumba kinatakiwa kiwe kirefu hata zaidi ya mwaka bila ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi,hii itasaidia kujua tabia halisi za mtu,pia kwakua utakua huja duu nae itakuwarahisishia kuachananae ukiwa na tabia mbaya kwa sasabu hutakuwa na upofu unaotokana na ku duu,tatizo sisi hatuwezi kuvumilia ndo mana tunaigiziwa
 
Hii iko pande zote ila ukweli unabaki kwamba binadamu wote hatujakamilika..

Ni lazima mwanamke(hata mwanaume of course hata wewe) ujitahidi kuweka viwango kadhaa Kwa my-your wafe/husband to be ili kumentain gredi nzuri ya mahusiano

Hali hiyo Mara nyingi hubadirika mnapoingia ndoani.. Vijitabia vilivyofichika Kati ya Mume au Mke huanza taratibu kufichuka..

Jukumu la Kuvilea au kuviondoa analo monita wa House ambaye ni Mume.. Mume lazima awe ngangari Na kuhakikisha anavizima vimotomoto vyote vinavyozuka ndani ya ndoa yake manake @ the end lawama zote zitamjia yeye..

Kwa uzoefu wangu mwanaume kama dereva Wa ndoa lazima ajitahidi kuhakikisha anaviondoa viujingajinga vyote kabla familia haijaanza kupata watoto.. Akichelewa tu ku-act within mwaka mmoja Wa ndoa AMEKWISHA..

Familia ikishapata watoto ni ngumu sana, nasema sana kurekebishana kitabia
kweli mkuu matatizo mengi ya wanawake kwenye ndoa yanasababishwa na wanaume kukubali kufanywa mabwege..
unakuta mwanaume amekorofishana hadi na mama yake mzazi kisa tabia chafu za mkewe.... ukiangalia upande wa mwanamke yeye uhusiano na kwao upo okee..
kuna wanaume wanapelekeshwa hata kwa majirani mkewe ndo anaongea kila decision ni mwanamke..shame on them...
 
Kisosholojia kipindi cha uchumba kinatakiwa kiwe kirefu hata zaidi ya mwaka bila ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi,hii itasaidia kujua tabia halisi za mtu,pia kwakua utakua huja duu nae itakuwarahisishia kuachananae ukiwa na tabia mbaya kwa sasabu hutakuwa na upofu unaotokana na ku duu,tatizo sisi hatuwezi kuvumilia ndo mana tunaigiziwa

Sasa hamu za ku do mtakuwa mnazimalizia wapi bila ya ku do?
 
Tatizo pia tunataka kuwafanya shemeji zetu ama kama wake zetu au mahausegirl fulani hivi.... Ushauri wa bure kama si lazima sana mtu akeshaoa muacheni aishi na mkewe na kama ni msaada sio lazima ukaenda kulala sebuleni kwake kaa uliko atakusaidia kama ndg yako.... sometimes inakera kwani inachangia sana kuvuruga ndoa za watu ...oa wako acha kutoa maksi kwa wake za wenzako....
sio hivo mkuu mimi ni mwanamke lakini asilimia kubwa ya wanawake waliiolewa hawana ukarimu kabisa.... shemeji akija hapewi hata maji ya kisima anywe ...uchoyo uchoyo ...lakini ndugu zake juice tena za maaple...upuuuzi mtupu...
 
Hapo ni kumuomba mungu maana wanawake wanapenda kupretend sana! Ata wapenda nduguzo kabla ya ndoa lakini ndoa ikisha fungwa hawakanyagi kama si hivyo ataanza visa!

Kweli mke mwema ana toka kwa bwana!
 
Mwanadamu ni fumbo. Wakati mwingine hata sisi wenyewe hatujui mapungufu yetu. Cha maana ni kuwa mabingwa na majasiri wa kuvumiliana. No body is perfect.
 
Tatizo pia tunataka kuwafanya shemeji zetu ama kama wake zetu au mahausegirl fulani hivi.... Ushauri wa bure kama si lazima sana mtu akeshaoa muacheni aishi na mkewe na kama ni msaada sio lazima ukaenda kulala sebuleni kwake kaa uliko atakusaidia kama ndg yako.... sometimes inakera kwani inachangia sana kuvuruga ndoa za watu ...oa wako acha kutoa maksi kwa wake za wenzako....

Right on mkuu..!!!pia naamini siku zote ndoa inahitaji kufanyiwa kazi....shida ni kuwa mara nyingi we take marriage for granted...kila bunadamu ana kasoro zake,sasa kwa mfano wa mtoa mada kwa kuwa yeye ni shemeji ameweza kuanika kasoro za mke,wakati huo za kaka yake unaweza kukuta hazijui au anazi-ignore kuwa sio kubwa..na mara nyingi ktk ndoa zetu nyingi za kiafrika uhusiano wa ndoa unaingiliwa sana na ndugu,mfano ni huo wa mtoa mada...hii inafanya wanandoa kuwa vigumu kukaa na kutatua matatizo yao wenyewe.....kwani kila mmoja ana-focus kwa support anayoipata kwa ndugu badala ya ku-focus kwa pamoja kama wananndoa kutatua tofauti zao...
 
Ku pretend kupo kwa wanawake na wanaume pia, sasa hivi maisha na watu wamekuw so fake! hivo sio wanawake tu, hata wanaume mkuu..
 
Dahhh funga kibwebwe ingia ngomani kama uko tayari ..

Kujua tabia ya mtu kwa asilimia mia hiyo ni ngumu sana. Hope for the best prepare for the worse.

Na kuna wanaume wengine wenye tabia kama ya hiyo shemejiyo. ...
 
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.

yaani mkuu hii ndio post ya kwanza ninayoisoma pasi hata kupitia comments za wachangiaji wengine naanza kuchangia.

kwanza kabisa umewakilisha lile kundi dogo sana la ndugu wa mume ambalo ni ile mizigo mitatu isiyobebeka nayo ni kiroba cha mavi ya binadamu, gunia la misumari ama debe lilitazwa mkaa wa moto.

jirekebishe
 
kwani kaka yako unajuaje kuwa ye hakupretend kwa mkewe kabla, unakuta mtu alikuwa hanywi mpaka usiku wa mannane na washkaji, afta mariage ni balaa, kila mtu awe muwazi kwa mwenzie na wanandoa waache kunyosheana vidole.
 
Ila tuongee ukweli jamani, mwanamke akiamua 'kukuwashia moto', mwanaume hata uweje unaweza ukaishia kuwa 'mento' huku unajiona. Na wanaume pia, mke anaweza 'akasinyaa' utadhani labda kapata haka kaugonjwa ketu haka!
 
sio hivo mkuu mimi ni mwanamke lakini asilimia kubwa ya wanawake waliiolewa hawana ukarimu kabisa.... shemeji akija hapewi hata maji ya kisima anywe ...uchoyo uchoyo ...lakini ndugu zake juice tena za maaple...upuuuzi mtupu...
.

Humo kwenye blue and bolded: Nimebaki nacheka kweli........., toto penda epo sana weweee!
 
Nimeshuhudia mara nyingi sana kwa ndugu ana marafiki zangu wanapoamua kuoa,vile ambavyo tabia halisi ya mwanamke inakuwa imefichwa anapretend kuwa ni mnyenykevu sana,mwenye upendo ila akishaolewa na kuingia ndani ni noma. Nina nduguyangu ambaye baada ya kuoa ndipo tulipotambua kuwa shemeji yetu ni mchoyo ana ubinafsi, m2 wa maneno mengi wafanyakazi wanakimbia -hebu tusaidiane wataalamu wa saikolojia ya tabia je? kuna namna unaweza kutambua kuwa hapa m2 (mtalajiwa) anapretend tu .vilevile wawezaje kujua mwanamke mbinfsi anayepretend kuwa mwema.
sisi wanaume tupretend after marriage.
 
Back
Top Bottom