Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Hey... Saint Ivuga is back... :smile:
Last edited by a moderator:
im back.whats happening dearHey... Saint Ivuga is back... :smile:
Hahahahahaaaa maneno tu hayohah weeee!!!
1. Nina mbio kuliko unavyodhani
2. huwa nafanya mazoezi asubuhi tena ya nguvu sana
3. nikiwa darasa la pili niliwahi kupiga sana
4. Usinifanye nikutafutie mkia wa taa
5. Wezi ni marufuku kabisa kukaribia maana adhabu zao!! mh
6. Nitakuhesabia wewe na Mtei One wamoja
7. Ntakutafutia BAN ya miaka 7
Hahahahahaaaa maneno tu hayo
Mi siongei nafanya vitendo tu
Hahahahaaaa we baki tu na Vinywaji vyako kwanza sio vizuri.....vibayaaaaaa havina TBS
sijui ipi niiitumie!!! lazima uwe mpole tuuu
Anajua wapi?hahaha smilingunajua kuzitumia lakini?
View attachment 52362
asante sana mtu wangu mwali nipo naye tayari....si unajua mabusu motomoto
asante sana mtu wangu mwali nipo naye tayari....si unajua mabusu motomoto
Yapoze kidogo asije akababuka.
Tulikukumbuka kwa kweli hasa jukwaa la mapicha picha.
Hahahahaaaa we baki tu na Vinywaji vyako kwanza sio vizuri.....vibayaaaaaa havina TBS
hahaha smilingunajua kuzitumia lakini?
View attachment 52362
Anajua wapi?
Mkwara tu hana lolote
Yapoze kidogo asije akababuka.
Tulikukumbuka kwa kweli hasa jukwaa la mapicha picha.
sitaki hata yapoee...nayataka yakiwa hivi hivi...wewe mzima lakini??