Kwa herini wana JF wote

NItonye! Hata kwa waganga wa kienyeji waishio porini, bado network ipo! Nadhani mtoa mada alihitaji kutuaga zaidi kusudi tujjue anakwenda kuongeza shule na ugumu (uncertainity) uliopo kuwa na hakika kama anaweza kupata free time kuingia JF. Wadau wamemhamasisha kuwa hapa jamvini panaitwa MTAKUJA-east or west lazima ukishaonja JF utarudi hata kama upo cyberia huwezi kuikimbia JF milele.
Kuna vyuo vya uganga wa kienyeji viko porini huko network haipo
 
JF is everything dude! Just learn how to control yourself. Kama unaenda Msc au PhD au vyovyote, some answers are availlable in the forums. Hapa niko Ughaibuni, siku ya kwanza nilipotua tu cha kwanza ni JF. JF members are your close friends than anyone else, utakuwa huko ughaibuni utakutana na sagga la kufa mtu, you will need someone to share with!! tushirikishe, regardless how smart you are but you still need people for your life anyway.

Anyway, nenda kwanza ukajionee yaliyoko huko ughaibuni kama yataruhusu kukaa bila kuingia, its good for you. All the best!!

Thanks bro
 
kwa masomo yoyote kwa dunia ya leo bila kutembelea JF utakuwa na elimu ya makaratasi(vyeti) badala ya elimu ya ujuzi.

achana na makaratasi mkuu.

labda kama utakuja na ID mpya
 
Yaaani huko nje ndio utakuwa hutoki kwenye PC yako, JF utakuwa 24/7 humu!!
 
kwa masomo yoyote kwa dunia ya leo bila kutembelea JF utakuwa na elimu ya makaratasi(vyeti) badala ya elimu ya ujuzi.

achana na makaratasi mkuu.

labda kama utakuja na ID mpya

Wala siji na ID mpya na wala sina mpango wa kufanya hivyo kwa sababu sina sababu ya kunifanya mimi nifanye hivyo
 
ina maana hata ukipewa assignments hutajaribu hata ku-google japo upate ufafanuzi?
 
Wanpendwa wana JF wenzagu nimekuja rasmi ili kuwaaga kwani tarehe 6 mwezi wa pili nategemea kuondoka na kwenda masomoni. Kutokana na hali hiyo nasikitika kuwaambia kuwa sitoweza kuendelea kuwa nanyi tena katika forum tukichat, kuelimishana na kushauriana na kupeana habari za hapa na pale kama tulivyozoea hadi pale ntakapomaliza masomo yangu. Nitawamiss sana members wenzangu wa JF hasa wale wa jukwaa la Science and Tech na jukwaa la mapenzi. Ingawa nitakuwa mbali nanyi lakini kiroho tutaendelea kuwa pamoja kwa sababu mpo moyoni mwangu, mtaendelea kuwa moyoni mwangu na hakuna kiyu chochote kitachonifanya nitengane nanyi hata kama JF ikifa.

I know its so painful being apart from you guys cuz my heart knows only how to love you. Pls dont ever let me go, i will love you forever cuz you are my life. Nawatakia wana JF wote maisha mema na yenye baraka tele na Mungu akipenda tutaonana tena. Kwa herini

masomo mema mwaya. nitakuja kukutembelea hapo malimbe
 
Back
Top Bottom