watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa jamii forum ahaa naondoka nimechoka
watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa jamii forum ahaa naondoka nimechoka
tumuulize kwanza yeye jinsia gani maana wote siku hizi wanasumbuliwa sana
Kabisaaa! Hujambo BADILI TABIA? Mi miss u sana
Bishanga sielewielewi,what is the issue here?
Huyu anaonekana demu kwa maudhui yake!
Na alipoteza roadmap kuitifaki kabati yake ni nani nani amsaulie!
Mwisho wa siku kajikuta wamemdunga imevunjikia! Kwa vile Mwl mkuu kalamba , mkuu msaidizi kalamba, ticha wa nizamu kalamba!
Ticha wa klass kalamba, kiranja mkuu kalamba, madenti kadhaa wamemlamba!
Mlinzi wa skuli kamlamba !
Kashindwa jua aliyemdunga nani? Jhat's y kaamua kiivo, msepo kwake ndo solusheni .
wasalimie chigoma, wambie nshaolewa!