RUGAHIMBILA E R
Member
- Mar 5, 2009
- 95
- 32
Wapendwa mwaka 2011 umekwisha,tumefanya mengi mema na mabaya, tutafakari kwa makini wapi tumekosea tufanye marekekebisho na ambapo tumefanya vizuri tuombe baraka za mwenyezi mungu tufanye vizuri zaidi. Kila la kheri ktk mwaka mpya.