Kwa haya, Utaifa wa chadema una walakini...!

Muungano kitu gani, huyu jamaaa wa CCM hapo juu asikiri hii ni Tanzania ya zamani ambayo CCm wakisema tu jambo watu wote wanalikubali, muungano upi unaofanyika kwa vitu viwili na kutoa viwili, wakati kitu cha pili kikiuliwa jalalani na ukithubutu kutamka hiyo nafsi ya kitu kilichotupwa ati wewe ni mhaini. Kama watanzania walikataa siasa ya vyama vingi CCM walikubali vya nini? watanzania walisema wanahitaji vyama vingi ila ninyi magamba mkataka kutuaminisha kuwa ati wananchi wamesema hawataki vyama vingi, bahati nzuri late Nyerere akasoma alama za nyakati na kuwasihi kuacha ujambazi wenu.
 
MPUMBAVU ni wewe katika hili. Akili isiyo na uchambuzi ni janga linaloendelea kuitafuna TAIFA. Wewe ngojea uangukie na hilo jumba bovu CCMAJAMBAZI kabla ya 2015. Ridhaa yako ni sumu kwetu CDM

...kwa akika chadema hamuwezi kutuongoza sisi, mpaka leo hakuna chama chenye welekeo wa kuongoza labda kina mwamunyange ndo wakabidhiwe dola ili tueshimiane, chadema mna visasi hamuwezi kuongoza, na kwa taarifa yenu mpaka inafika 2015 mtakuwa mmemeguka vipandevipande, hii issue ya muungano ni ya kitaifa si ya kisiasa mlipashwa kuudhulia kama wenzenu walivyofanya
 
Mtoa mada anaujua muungano? kama anaujua kaujua wapi? ikiwa hata PM mwenyewe haujui, na viongozi wengi serikalini hawujui. Mimi naunga mkono kwa viongozi wa CDM kutohuzuria, maana hata Wazanzibar wenyewe wanalazimishwa, kiukweli hawaupendi
 
Nilimuona lipumba, Maalim Seif pamoja na CCM- C Cheyo, vipi mliadhimisha muungano wa CCM na CUF au upi huo?. Kama ni ule wa Tanganyika na Zenji mbona hakuna aliyewahi kuona hiyo hati ya muungano?. Au muungano ni ule wa mchanganyiko wa mchanga wa unguja na ule wa DSM?. Na tukichukua mchanga mwingine kule Nairobi tukachanganya na wa kutoka Tanga hiyo nayo utaita muungano?.

Nao utakuwa ni muungano kwa vigezo vya mchanga vilivyotumika mwaka 1964....
 
hivi huu mkataba wa muungano cjawahi uona umewekwa hadharani tho baadhi ya cintent zake huwa naona wana publish kiaina
 
Jamani hata sisi wa bara tumeuchoka. hasa kwa kulalamka kwa wazenji wakati wao wanapata hata umeme wa kutoka bara kwa bei chee wakati mtu kidatu ananunua expensive. hatuutaki kabisa wala hatutaki kutumia rasilimali zetu kuwanufaisha wazenji. Muungano huu wanaoutaka ni ccm na chama chake tu. Ukitazama bunge wao kila siku ni kulalamika tu, wanataka mgao wa fedha za mendeleo za jimbo wapate sawa na majimbo ya bara, wakati ubungo ina wapiga kura mara 10 ya jimbo moja la zenji, mikoanii wana maeneo makubwa na watu wengi zaidi kuliko majimbo ya zenji. EALA wanataka nafasi sawa za ubunge.
tumechoka sie na muungano kwa kweli. Hauna Tija kwa yeyote.
 
kama kungalkuwa na kitufe cha likes kwa wa2miaji wa simu, leo mi sjui ingekuwaje..nakubaliana na mtoa mada kwamba sio sahh kwa cdm kutohudhuria "mazishini "aaa samahan kwenye maazmisho ya muungano LAKINI ninaamin, kutohudhuria ni jambo moja na sababu za kutohudhuria ni jambo jingine. HIVI KWA NINI SIRI NYUMA YA MUUNGANO INAFICHWA HIVYO??? Mara, hairuhusiwi kuijadil. Viongoz wenyewe hawasemi kinachoeleweka. Shida ni nin? Kwa nin wanzanzibar wanaandamana kuupinga? Sio kwamba wanaona wakoloni wamerud kwenye ardhi yao? Wabara mnautakia nin? Kunaagenda gan nyuma ya pazia?......kunavitu vingi vinanichanganya moja wapo ni hili- kuna rais wa serekali ya mapinduz ya zanzbar na rais wa tanzania wakat muungano ni wa tanganyika na zanzibar. Huyo rais wa tanganyika kapotelea wap?
 
kama kungalkuwa na kitufe cha likes kwa wa2miaji wa simu, leo mi sjui ingekuwaje..nakubaliana na mtoa mada kwamba sio sahh kwa cdm kutohudhuria "mazishini "aaa samahan kwenye maazmisho ya muungano LAKINI ninaamin, kutohudhuria ni jambo moja na sababu za kutohudhuria ni jambo jingine. HIVI KWA NINI SIRI NYUMA YA MUUNGANO INAFICHWA HIVYO??? Mara, hairuhusiwi kuijadil. Viongoz wenyewe hawasemi kinachoeleweka. Shida ni nin? Kwa nin wanzanzibar wanaandamana kuupinga? Sio kwamba wanaona wakoloni wamerud kwenye ardhi yao? Wabara mnautakia nin? Kunaagenda gan nyuma ya pazia?......kunavitu vingi vinanichanganya moja wapo ni hili- kuna rais wa serekali ya mapinduz ya zanzbar na rais wa tanzania wakat muungano ni wa tanganyika na zanzibar. Huyo rais wa tanganyika kapotelea wap?
Hivi nani anamtawala nani? kuwa na cheo haina maana kuwa unatawala, wote tunajua kuwa Putin alipokuwa wazir mkuu bado alikuwa anaitawala Russia, pamoja na kuwa na rais wao. naona kama bara tunatawaliwa na Zanzibar. ni kwamba bara tumenyamaza kijinga tu lakini muungano kwetu hauna tija kabisa!
 
Kusherekea ujinga ni ujinga zaidi huu muungano ni wawanasiasa tula tu,wazenji wanapata vyeo vya bure hebu angalia kinchi kama kata tunalinganishwa nacho Uchumi wa Kinodnoni ni mara mia ya zanzibar !CDM wako bize hawana muda wa kuangalia ngoma..........na wezi wanavaa suti kuangalia gwaride na jeshi linalowalinda wakiiba!
 
Hebu niambie Tanzania = Tanganyika + Zanzibar NOW tell me WHY Tanzania - Zanzibar IS NOT EQUAL to Tanganyika?????????
 
Mimi binafsi nakubali kuwa zipo kero nyingi katika muungano huu na si kero za kutoka upande mmoja bali pande zote mbili zinazo malalamiko tena ya msingi juu ya muundo na hata mfumo mzima wa muungano wetu lakini hili halina maana kuwa watu hawa hawana haja na muungano huu.,ni kawaida katika historia na hata sasa kuwa sehemu nyingi zenye muungano zinakuwa na kero mbalimbali lakini ni kweli kuwa sehemu zote hizo wanapigania kutunza muungano wao lakini pia wanapigania kumaliza kero zao katika miungano yao. Ni sawa hapa kwetu pia tukajadili na kutafuta namna bora ya kudumisha muungano usio na kero za msingi lakini si kweli kuwa tunayo matatizo mengi katika muungano wetu kiasi cha kufikiria kuvunja muungano huu.,Matatizo ya Muungano kama wa UK ni mabaya zaidi, na hata UAE hawana ahueni, ila wanajua kwamba Muungano wao ni wa msingi na lazima na kwa kulifahamu hili ndipo miezi miwili iliyopita kule UK, hoja ya kujitoa kwa scotland ilipingwa vikali si tu na viongozi wa siasa lakini na wanaharakati na wananchi kwa ujumla na ikafa kifo cha kawaida (ingawa challenge za muungano wao ni kubwa kuliko zetu). Wamarekani wanapambana na watu wenye mawazo haya ya kuvunja miungano kwenye majimbo ya Alaska, Hawaii na Texas na mwisho wameamua kuweka kambi kubwa ya jeshi la nchi kavu Texas; utitiri wa kambi za anga Alaska; na vituo vikubwa kupindukia vya majini kule Hawaii. Na hawa ni vinara na mabingwa wa demokrasia lakini wanaamua kulinda umoja wao kwa namna hii, unafikiri ni wajinga? tukijadili muungano tujadili kwa umakini mkuu acheni ushabiki wa kisiasa katika hili...!
 
...kwa akika chadema hamuwezi kutuongoza sisi, mpaka leo hakuna chama chenye welekeo wa kuongoza labda kina mwamunyange ndo wakabidhiwe dola ili tueshimiane, chadema mna visasi hamuwezi kuongoza, na kwa taarifa yenu mpaka inafika 2015 mtakuwa mmemeguka vipandevipande, hii issue ya muungano ni ya kitaifa si ya kisiasa mlipashwa kuudhulia kama wenzenu walivyofanya

Umenena vyema mkuu, kula like kwanza ndo baadae niendelee. Ngoja sasa niendelee, chadema ni chama mfu, yaani ni sawa na kusema kuwa, Chadema ni sawa na ng'ombe asiye na bei sokoni, Chadema wanapendwa na wavuta bangi tu tena wengi wao hawapigi hata kura.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
Wala Nchi hii haihitaji jambo moja kubwa kuliko yote UNAFIKI niambie maana ya utaifa. Muungano ambao hati yake inafichwa! Muungano ambao kuujadili ni Uhaini!

Muungano ambao ni kama ndoa iliyolazimishwa na wazazi, muungano ambao unatumika kuua demokrasia. Suala la msingi hapa siyo kuusherehekea ila kuujadili. Sijawahi ona NDOA ambayo wanandoa hawajadili mapungufu yao ili kuimarisha ndoa. HUU NI UNAFIKI CDM haihutaki.

UNAFIKI NA WOGA VINAUA NCHI!!
Muungano waulizeni waliotaka kuujadili enzi za mwalimu nini kiliwapata!? Kamuulizeni Mzee AJ anayo habari yake!!!

sasa na nyie mmeanza tena eeeh? subirieni awamu hii ya VD ipite mje muujadili ile awamu ya utawala mpya!!
 
Hivi huyu anayeandika kila saa 'wasiosoma ni chakula cha wasomi' ana akili timam kweli na hata kama anajidai anaelim anadhan amesoma kuliko nani, mtu kama huyo unategemea awe mtetezi wa wanyonge kwa kauli yake hiyo afu anajiona yuko sahihi sana, kweli binadamu tunatofautiana lakini kwa hili ni zaidi ya kutofautiana, huy u ni kenge si mtu.
 
unapopinga jambo lazima uwe na mbala wa hilo jambo. Mind set za wengi humu wanadhani kila mtanzania ni Chadema au kinachofanywa na chadema ni sahihi wakati wote. Ndg
 
...kwa akika chadema hamuwezi kutuongoza sisi, mpaka leo hakuna chama chenye welekeo wa kuongoza labda kina mwamunyange ndo wakabidhiwe dola ili tueshimiane, chadema mna visasi hamuwezi kuongoza, na kwa taarifa yenu mpaka inafika 2015 mtakuwa mmemeguka vipandevipande, hii issue ya muungano ni ya kitaifa si ya kisiasa mlipashwa kuudhulia kama wenzenu walivyofanya

keep dreaming. 80% ya waliokuwepo ni chadema. Chadema si Mbowe wala Slaa.
 
Back
Top Bottom