Kwa hali inayoendelea UDSM tutamkumbuka Al - Shaabab

Tatizo la kumtegemea Mtu mmoja ndilo hilo.
Katika mapambano yeyote TEAM work ndiyo SIRI kubwa.
Pia siku zote mpambano ni lazima uwe na plan A,B na C

A chain is a strong as its weakest link.

CCM wanalijua sana hili ndiyo maana mara zote humwandama sana kiongozi wa mpambano hata kumzushia uongo wa kufa.
Nia ya kumuandama kiongozi si kwamba wanamchukiaa kuliko wengine ila ni kwa sababu wanajua yeye ndiye strong link na wengine mliobaki ndo weakest.
Wakisha ivunja strong link weakest link mara nyingi huanguka zenyewe kwa woga.

Bend together and learn how to raise spirits and strength of each individual in the team.

Watu wote wanyonge duniani wana nguvu nyingi za ajabu kiasi cha kuweza kufanikisha jambo lolote lile.
Tatizo kubwa ni namna ya kutumia nguvu za wanyonge katika umoja wao na kwa faida yao wenyewe.

Siku zote nguvu nyingi za wanyonge hutumiwa katika kuhakikisha kwamba wanyonge hawatumii nguvu zao katika kuleta mabadiliko ya kweli ya kuwaondoa katika unyonge wao, bali katika kuongeza mfarakano baina ya wanyonge.

Ukitaka kummaliza mnyonge kiulaini unamtumia mnyonge mwenzake.

If diamond is the hardest natural material on earth, that means it takes a diamond to shape a diamond.

Ukiona Mapambano kati ya wanyonge na wenye nguvu yazidi kupamba moto jua jambo moja tu, wenye nguvu wameshindwa kuwapata wanyonge wa kupambana na wanyonge wenzao.

Wale wapiga virungua FFU na Polisi wakivaa mashati ya Dukani ni CHOKA MBAYA ni wanyonge wa kutupwa.

Ndiyo maana mmoja wa watu wenye Hekima katika karne hii anatambua nguvu kubwa walizo nazo wanyonge na jinsi ambavyo mnyonge yeyote hatakiwi kusahau kwamba nguvu za wanyonge ndiyo hatari yenyewe.

This is a Quote from Nelson Mandela;
"Our deepest fear is not that we are inadequate. Our deepest fear is that we are powerful beyond measure "

tukitumia falsafa hii,twaweza kuushinda utawala huu wa chuo cha mkandara, hakika mgaya anatumia lugha ya vitisho kwenye matangazo yake kutisha watoto wa wakulima akijua ni waoga wa kufukuzwa chuo..
Nazani tukiweza kuunganisha nguvu yetu iliyopotea,na hapa ndipo watu kama akina Al-shabaab wenye moyo wakujitoa..na kusimama bila kuteteleka wanaitajika.. Najua UDSM haiwezi kukubali hali hii ata kidogo..
 
hakika kijana huyu aliweza kusimama imara kupigania maslai ya wanaudsm bila woga, tena aliweza kusimama mbele ya jengo la utawala na kupaza sauti hadi mh.mkandara akaja kusikiliza kilio chetu...
Lakini viongozi hawakupendezwa na hoja zake,harakati zake na jitiada zoote za kuwatetea wanaudsm...wakamuondoa...hakafukuzwa chuo...
Sasa hivi mambo yanaenda hovyo bila wa kuyakemea..bei za chakura zimepanda lakini ubora wa chakura unapungua..na watu wote kimya kama hawaoni...wameanza kutucheleweshea boom hisivyo kawaida...najua wakati wa field tutaenda huko bila pesa..na tutakaa kimya!
Kwa ujumla hakuna tena mtu wa kusimama rev square na utawala na kupaza sauti..
Tunakukumbuka al-shabaab..

we mwanachuo kwenye chakura ni chakula, tena umekosea mara mbili, nilidhani ni makosa ya typing. Na huyo el-shabaab ni nani mbona jina linaogopesha ?? Jf ni ya watu wote sio wanachuo tu, unapotoa mada uwe unaeleweka
 
Hakika kijana huyu aliweza kusimama imara kupigania maslai ya wanaUDSM bila woga, tena aliweza kusimama mbele ya jengo la utawala na kupaza sauti hadi mh.mkandara akaja kusikiliza kilio chetu...
Lakini viongozi hawakupendezwa na hoja zake,harakati zake na jitiada zoote za kuwatetea wanaUDSM...wakamuondoa...hakafukuzwa chuo...
Sasa hivi mambo yanaenda hovyo bila wa kuyakemea..bei za chakura zimepanda lakini ubora wa chakura unapungua..na watu wote kimya kama hawaoni...wameanza kutucheleweshea boom hisivyo kawaida...najua wakati wa field tutaenda huko bila pesa..na tutakaa kimya!
Kwa ujumla hakuna tena mtu wa kusimama rev square na utawala na kupaza sauti..
Tunakukumbuka Al-shabaab..

someni kwanza katiba ya DARUSO, by-laws, na prospectus ikiwezekana na taratibu zote za mikopo halafu pale ambapo utawala au/ na DARUSO wamechemsha basi ndio mfanye kweli bila kuwa victimised!
 
engine wamezoea mapambano ya kwenye keyboard tuu jamani duu!
 
we mwanachuo kwenye chakura ni chakula, tena umekosea mara mbili, nilidhani ni makosa ya typing. Na huyo el-shabaab ni nani mbona jina linaogopesha ?? Jf ni ya watu wote sio wanachuo tu, unapotoa mada uwe unaeleweka

nimekupata mkuu...umesema chakura ni chakula...kwetu herufi.. Hizi hazina tofauti..pia nimeelewa kwanini umeanza na neno mwanachuo kabla ya kunikosoa..
 
someni kwanza katiba ya DARUSO, by-laws, na prospectus ikiwezekana na taratibu zote za mikopo halafu pale ambapo utawala au/ na DARUSO wamechemsha basi ndio mfanye kweli bila kuwa victimised!

Daruso ilipitisha mgomo kipindi fulani,mgaya akawatisha eti hawana mamlaka kisheria kufanya hivyo,mwisho wa siku wakafukuzwa viongozi kadhaa akiwemo raisi wa chuo..
 
Ndugu yangu unataka kumjua Al-shabaab,mbona nimeeleza kwa kifupi hapo juu,pia kuna uzi humu ndani unamuelezea vizuri utafute..
 
The man who stands alone for what he believes to be true is a real man although there is price to pay.
At the same time kumbuka, huwezi kudai haki ya watu wote wewe binafsi, aidha tjitoe kuwa mbuzi wa sherehe. Nadhani, that AL SHABAAB has paid his price kilichobaki ni nyie kuangalia kipi cha muhimu, nadhani pigeni shule kiugumu tu mmalize hali ya hapo ni toka muda mrefu.
Wengi wamepita kwa shida hivyohivyo, hakuna haja ya kugombana.
Sasa ndugu unawaambia wapigie shule hivyo wamalize waondoke, kumbuka hao ndiyo mawaziri, wabunge, makatibu wakuu n.k wako wa kesho. Unategemea nini kitoka kwa viongozi wa namna hii?
 
Back
Top Bottom