Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Hakika kijana huyu aliweza kusimama imara kupigania maslai ya wanaUDSM bila woga, tena aliweza kusimama mbele ya jengo la utawala na kupaza sauti hadi mh.mkandara akaja kusikiliza kilio chetu...
Lakini viongozi hawakupendezwa na hoja zake,harakati zake na jitiada zoote za kuwatetea wanaUDSM...wakamuondoa...hakafukuzwa chuo...
Sasa hivi mambo yanaenda hovyo bila wa kuyakemea..bei za chakura zimepanda lakini ubora wa chakura unapungua..na watu wote kimya kama hawaoni...wameanza kutucheleweshea boom hisivyo kawaida...najua wakati wa field tutaenda huko bila pesa..na tutakaa kimya!
Kwa ujumla hakuna tena mtu wa kusimama rev square na utawala na kupaza sauti..
Tunakukumbuka Al-shabaab..
Lakini viongozi hawakupendezwa na hoja zake,harakati zake na jitiada zoote za kuwatetea wanaUDSM...wakamuondoa...hakafukuzwa chuo...
Sasa hivi mambo yanaenda hovyo bila wa kuyakemea..bei za chakura zimepanda lakini ubora wa chakura unapungua..na watu wote kimya kama hawaoni...wameanza kutucheleweshea boom hisivyo kawaida...najua wakati wa field tutaenda huko bila pesa..na tutakaa kimya!
Kwa ujumla hakuna tena mtu wa kusimama rev square na utawala na kupaza sauti..
Tunakukumbuka Al-shabaab..