Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Wamarekani wameamua kuiangusha serikali za mitaa za Chama cha Obama, na wanaahidi Obama kutorudi madarakani kwa sababu ameshindwa kuwatimizia alivyowaahidi...! Iwapo watanzania tumemchagua JK kwa ahadi zake alizoahidiwa naye na Obama, na sasa Obama yupo mbioni kuondoka madarakani, hatima ya ahadi za JK ni nini? Mimi ningeomba uchaguzi wa Tanzania urudiwe kwa sababu hali tulioitegemea inabadilika...!