Kwa hali halisi Dr. Mwakyembe anahitaji backup ya wananchi, polisi hawataweza kutenda haki

nimekuwa nikifuatilia kwenye vyombo vya habari jinsi suala la ugonjwa wa mh. Mwakyembe jinsi linavyopelekwa ni dhahili inaonekana kuna namna wananchi tunalazimisha tuwe wepesi wa kuamini giza ni mwanga.
Waziri huyu anasema hili mwingine anasema vile utafikili wanafanya kazi ktk serikali tofauti, ndugu wana jf kwa sakata hili nimejikuta nakosa imani kabisa na taarifa zilizosababisha vifo vya waheshimiwa wengine kwa mfano.
Mh. Kolimba.
Mh. Chacha wangwe.
Mh. Kambona.
Mh.kombe.
Mh.balali.
Na wengineo !
Hivyo basi kwa kuwa serikali yetu imekuwa na tabia ya kupotosha ukweli, naomba mwenye kujua ukweli na uhalisia wa vifo vya hawa ndugu zetu basi naomba auweke hapa.
Pia unaweza ongeza na mtu mwingine ambaye kifo na taarifa ya kifo chake havikwenda sawia.
Asanteni......!


Hakuna haja ya kuongezea. Lakini unatakiwa ukumbuke kuwa sometimes watu wanauawa kwa ajili ya amani na utulivu wa nchi. Hata kile kikosi tulichoambiwa kuwa kimemuua Osama Bin Laden, nacho kimeuawa kwa sababu ya kiusalama. Inaelekea hao jamaa uliowataja hapo juu wana siri nzito na walikuwa hawaaminiwi saana na watawala. Watu kama Kolimba, Balali, Kombe na wengineo, walikuwa na siri nzito saana.
 
Kwani ameomba msaada kwa wananchi akanyimwa? Ila mimi nitampa msaada kama akitoka CCM,kwasababu itakuwa ni ujinga kukaa kwenye sehemu ambayo wanatamani roho yako halafu unalalamika.Hatumuelewi.
 
Hata kama Sitta hakusema. Kwa mtu yoyote mwenye akili anajua kabisa Mwakyembe amelishwa sumu.
 
Mkuu, hapo kwenye red ingesomeka nawasilisha ndio ingekaa vizuri. Ok, turudi kwenye hoja.
Support unayotaka wapewa ipo ila wao ndio wanashindwa kui-unleash kutokana na circle wanayojihusisha nayo. Kwanza watoke huko walipo ili waungane na hao wapenda haki na wanaharakati. Hili likifanyika, hayo unayoyataka yatatokea tu

They want to eat their cake and still have it!!
 
Kwani ameomba msaada kwa wananchi akanyimwa? Ila mimi nitampa msaada kama akitoka CCM,kwasababu itakuwa ni ujinga kukaa kwenye sehemu ambayo wanatamani roho yako halafu unalalamika.Hatumuelewi.
I agree with u
 
nimekuwa nikifuatilia kwenye vyombo vya habari jinsi suala la ugonjwa wa mh. Mwakyembe jinsi linavyopelekwa ni dhahili inaonekana kuna namna wananchi tunalazimisha tuwe wepesi wa kuamini giza ni mwanga.
Waziri huyu anasema hili mwingine anasema vile utafikili wanafanya kazi ktk serikali tofauti, ndugu wana jf kwa sakata hili nimejikuta nakosa imani kabisa na taarifa zilizosababisha vifo vya waheshimiwa wengine kwa mfano.
Mh. Kolimba.
Mh. Chacha wangwe.
Mh. Kambona.
Mh.kombe.
Mh.balali.
Na wengineo !
Hivyo basi kwa kuwa serikali yetu imekuwa na tabia ya kupotosha ukweli, naomba mwenye kujua ukweli na uhalisia wa vifo vya hawa ndugu zetu basi naomba auweke hapa.
Pia unaweza ongeza na mtu mwingine ambaye kifo na taarifa ya kifo chake havikwenda sawia.
Asanteni......!


badilisha kidogo make kwenye list umeweka hata watu walio hai kama dk balali!
 
Ikiwa kuna wanaotuhumiwa kwa vifo hivyo, iwe changamoto kwa usalama wa raia. Vinginevyo labda na wenyewe ni watuhumiwa.
 
Hakuna haja ya kuongezea. Lakini unatakiwa ukumbuke kuwa sometimes watu wanauawa kwa ajili ya amani na utulivu wa nchi. Hata kile kikosi tulichoambiwa kuwa kimemuua Osama Bin Laden, nacho kimeuawa kwa sababu ya kiusalama. Inaelekea hao jamaa uliowataja hapo juu wana siri nzito na walikuwa hawaaminiwi saana na watawala. Watu kama Kolimba, Balali, Kombe na wengineo, walikuwa na siri nzito saana.
Toa chai zako za vijiweni hapa! Unafikiri kijiwe cha gahawa hiki? Eti kikosi kilichomuua Osama nacho kimeuawa!! Ama kweli vijana mnapenda porojo uchwara!
 
....

MWENZETU ANAHITAJI BACKUP YA WAPENDA HAKI WOTE NA WANAHARAKATI ILI HAKI ITENDEKE NA VITENDO KAMA HIVYO VISITOKEE TENA.

NAWAKILISHA

Sawa lakini kumbuka huyu ni mwanasheria aliyebobea kama ulivyosema. Na ni kiongozi wa serikali. Sasa kama yeye anahitaji backup ya wapenda haki. Na wapenda haki wnanchi wa kawiada back up wataipata wapi.

Kama mtu ambaye nina uhaika hata bila uwaziri hana shida ya mlo basi anatakiwa ajiback yeye mwenywe kwanza. Aonyeshe hajaridhishwa na utendaji wa vyomo husika atika suala lake .... si tu kwa maneno bali kwa vitendo......... alafu waanchi watampa hiyo backup
 

Sawa lakini kumbuka huyu ni mwanasheria aliyebobea kama ulivyosema. Na ni kiongozi wa serikali. Sasa kama yeye anahitaji backup ya wapenda haki. Na wapenda haki wnanchi wa kawiada back up wataipata wapi.

Kama mtu ambaye nina uhaika hata bila uwaziri hana shida ya mlo basi anatakiwa ajiback yeye mwenywe kwanza. Aonyeshe hajaridhishwa na utendaji wa vyomo husika atika suala lake .... si tu kwa maneno bali kwa vitendo......... alafu waanchi watampa hiyo backup

Nafikiri alichokifanya ni ishara tosha kuwa haridhishwi na utendaji wa serikali yetu
Labda Wewe uwe clear kidogo unaona ingekuwa vema kama angefanya nini ?

Tatizo sis wa Tz sio watu wa action tumezoea mineno mineno tu.....
 
Back
Top Bottom