Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thread ya mabibi hapa,napita tu!
Uwe na hekima na busara kijana. Hata kama unataka kuwasilisha mawazo yako, kwanini usiweke kistaarabu tu? heading yako haina heshima. Jifunzeni ku-cope na JF na jitahidi kuitofautisha na FB.
CCM hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA Angalia wanavyopitisha budget kwa wingi wao
2. Kupinga vyama vingine kufanya mikutanorefer bomu la ARUSHA kwenye mkutano wa CDM
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni,zaidi huongelea na kukitetea chama chao,serukambo,mkamia etc
4. kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo,zaidi ya kuwapigia nyimba za komba na kucheza miduara
5. Kupiga mabomu na kuzuia maandamano yaliyopewa vibali na kuruhusiwa,na kutumia vitu vyenye ncha kali kuumiza na kuuwa raia wake refer Mwangosi
Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CCM_____________
Ndo maana bado unatembea na kamasi.na wewe pia nakuchukia kama ccm
Uwe na hekima na busara kijana. Hata kama unataka kuwasilisha mawazo yako, kwanini usiweke kistaarabu tu? heading yako haina heshima. Jifunzeni ku-cope na JF na jitahidi kuitofautisha na FB.