Kwa graduates msio na ajira ....faraja..

unathink in a negative way ,yaani unatry to act victim kumbuka you are responsible for everything in you and solution will come from you ,mimi naacha kazi nilikuwa na laki 5 tuuu na ilitokana na kuugua kurudi bushi na raki tano zangu nikajikuta ni don kjjn naweza thro laki kulimisha watu hata ekari 5,unataka kusema huwez tafuta 5 kwell ,mkono mtupu haulambwi,tatizo unataka utoke chuo uwe director u must nill down to the mudd you wake up with diamond,ningesema nina uza vitu graduate waniuzie ungesapot hujui hiyo yampasa mmachinga

Sa hv kuna climate change' mvua hazieleweki umepigia na hio gharama pia we jamaa
 
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.

Husna una akili sana mpenzi
 
mkuu mtaji hata wa mil5 watu wangejiajiri, tatizo hata mahali pakuishi wengine hawana, leo akila kwa aunt, kesho kwa mjomba, keshokutwa kwa masela, watu wanasafa wewe unaongelea mitaji?
 
Kweli mdau kilimo kinalipa sana mi mwenyewe na boom nilianza kulima moro/turiani na handeni tanga tangia nikiwa mwaka wa pili wala sina haja saaana na ajira japo ikija nzuri na-apply. Ok subiri niwape mbuzi wangu maji alafu nitawapa tips za ukulima na ufugaji
 
mkuu mtaji hata wa mil5 watu wangejiajiri, tatizo hata mahali pakuishi wengine hawana, leo akila kwa aunt, kesho kwa mjomba, keshokutwa kwa masela, watu wanasafa wewe unaongelea mitaji?
= kabisa
 
Asalam aleikhum waungwana ! leo The only naona nibadilishane nanyi juu ya hili.

Ni wazi hali ya ajira kwa sasa ni ngumu unaweza tuma barua 100 usijibiwe hata moja na ukijibiwa ni kukushukuru kwa kuomba na kukupotezea kulinda reputation yao ,kwa hili mwenzenu nina ushauri tofauti.

mimi naona kilimo ndo iwe focus yenu sisemi muwe wakulima mazima ila naamini graduate angepata mtaji wa warau 10 million anaweza kujipanga akatumi taaluma yake kujiajiri na after miaka 10 akawa milionea mwenye mchango mkuu kwa familia,ndoa,jamii na taifa kwa ujumla.

Mfano ukilima tangawizi gharama yake ni 1.5 kwa ekar at maxmum ila ata minimum mavuno ni tani 6000x1500=milion 9 tayari unaweza kulipia eneo mwaka ukaanzisha biashara ,au ukipanda miti ekari nzima kwa mbeya iringa

mchanganuo
Kununua ekari 5 200000
kulima na kupanda 100000
miti 2000@500 100000
uasafiri ,accomodatin fro DAR 200000

other 200000

Total capital 800000

Sales 2000@30000 60000000(mil 60) hii ni current price na ina appreciate ndani ya miaka minne tuu.


AIDHA MIMI NAEONGE NILIWAHI KUAJIRIWA BENKI NIKALIMA NDO KUVUNA NIKARESIGN TENA 24 HRS NA HATA PPF SIJAENDA KUCHUKUA MAFAO.

Tatizo letu tuna husisha utozi na usomi ,hakuna sheria kuwa eti msomi lazima avae tai huo ni upuuzi sisi ni nchi masikini tukumae.

Baada ya kuvuna tatizo linakuja serikali ndiyo inayokupangia bei ya kuuzia mazao pia itakulazimisha usiuze nje ya nchi kwa maslahi yao binafsi.Hivyo kuna uwezekano mkubwa kabisa ukashindwa kutimiza malengo yako.Kitu cha msingi ni kuishauri Serikali iruhusu free market ktk mazao ya kilimo kwa kufanya hivyo naamini graduates wengi wanaweza kujiajiri.
 
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.

Ni kweli kabisa uko sahihi ulichokisema kiukweli imewalenga graduates walio makazini namna gani wataongeza kipato chao pasi kutegemea mushahara wanayopewa kumbuka jamaa hiyo laki tano aliyoanza nayo imetokana na kazi aliyokuwa nayo,kwa wale je wasio ajirani wapi watatoa hiyo capital,kiukweli ni ngumu .Nakubaliana naye juu ya ushauri alioutoa lakini nahisi watafanikisha walio makazini tu
 
wakuu sioni tatizo la muanzisha mada, tatizo liko kwetu wenyewe.

1. Cc tunaongoza kwa kukatishana tamaa

2. C c kabla hata mtu hajaanza ameisha shindwa, yaani tunashindwa kabla ya kuanza.

Tukubali tunapenda sana kuajiliwa, na mtu asikudanganye kwamba unatafuta kazi ili upate mtaji then uache kazi uanzishe biashara, ukisha ingia kwenye kazi za kuajiliwa huwezi toka, na ndo mwisho wa kulemaa.

- kwani ni mtaji kiasi gani unatosha kujiajili wewe?
- umeisha jalibu kujiajili ukiwa na angalau10,000 ukashindwa?
Au ndo mambo ya kushindwa kabla ya hata kujaribu.

Mimi nampongeza mtoa maada ila chaguo ni lako wewe, ufanyie kazi mawazo ayke au utemane nayo
 
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.

yah nadhan alikua anamaanisha hivyo!ni kwa magadruate walioingia tu kazin wavtunze vjifedha vyao kuja kufanya issue hiyo,pia mazngira ya kijijn kwao yalimruhusu,issue ya kilimo inategemea mazngira bwn!
 
dahh jamani hii nadhani inaendana na mimi
mi ndo nimemaliza hv sasa na hata matokeo bado kwahiyo hata hiyo ajira bado ni ndoto ila nimekuwa niiktumia fani yangu kufanya kazi kwa watu na sasa nina mil 5 na nimeshindwa nifanye shughuli gani jamani na imekaaa tu kwani hela ya kula napata.
nahitaji kufanya hiyo kazi jamani na wiki ijayo nitakuwa nimelipwa zingine zitakuwa 7m,sasa huu mtaji sijui nifanye nini?
naomba msaada wako juu ya hilo dili ili niangalie km naweza fanya au nichunguze inshu zingine
 
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.

jamaa anaongea jambo la ukweli kabisa ila ameropoka kidogo. ni kwamba angesema kuwa sie graduets tukipata kazi tuuache utozi tutafute mtaji wa project kama hiyo yake, maana magraduets hatuna kitu hata kama nina hiyo laki tano ntaitumia kujitunza ili niondoe aibu ya kutunzwa baada ya kugraduate huku nikitumia pesa kutoa kopy cvs.
 
dahh jamani hii nadhani inaendana na mimi
mi ndo nimemaliza hv sasa na hata matokeo bado kwahiyo hata hiyo ajira bado ni ndoto ila nimekuwa niiktumia fani yangu kufanya kazi kwa watu na sasa nina mil 5 na nimeshindwa nifanye shughuli gani jamani na imekaaa tu kwani hela ya kula napata.
nahitaji kufanya hiyo kazi jamani na wiki ijayo nitakuwa nimelipwa zingine zitakuwa 7m,sasa huu mtaji sijui nifanye nini?
naomba msaada wako juu ya hilo dili ili niangalie km naweza fanya au nichunguze inshu zingine

unajiita msani au msanii, maana wasiwasi wangu ni kuwa umetumia usanii kuandika hayo maelezo, ila kama ni kweli unazo hizo pesa basi nakuomba uendelee kuzitunza huku ukiangalia ni jambo gani unalopenda kulifanya na litazalisha zaidi, maana unaweza ukasubiri kazi na usije kuukusanya kiasi hicho cha pesa mapema hivo
 
Mkuu ni wazo zuri sana! na mi ni mmoja mwenye mawazo ya kuwa mkulima tena mkubwa! mimi ardhi ninayo lakini ni kwa hapa dar na mkoani ninayo. tatizo mkuu ni capital, sasa wewe mkuu umeishatoka kimtindo unaonaje km ukatupa c wengine capital tukaanza kidogo kidogo mi niko tayari tuonane tuongee vzr..... kwani we utakuwa mfano mzuri sana..
 
wapi huko yanakopatikana mashamba kwa ekari 5 laki mbili(200,000)?
 
uliwahi kuajiriwa. ukafanya saving, ukawa na access na mikopo.....vyovyote vile lakini b'dae ndio ukapata mtaji wa kulima. Sasa hao mafresh from school watatoa wapi capital? Ushauri wako bado hautowasaidia.

Kweli!! another alternative jamani............................
 
amesema yeye wakati anaacha kazi alikuwa na laki tano. Sababu iliyomfanya aache kazi ni kuugua. Hajasema laki 5 alizipataje ila kwasbb alikuwa kazini tunajua zilitokana na mshahara.
Huko bush alikuwa analilimisha watu ekari 5 kwa laki moja that means kila ekari moja ni elf 20. Tumejifunza kuwa mafanikio yake yametokana na unyonyaji aliouwafanya kwa wakulima, mtaji wake ulitokana na kazi aliyokuwa anafanya.
Nafikiri thread yake ingelenga graduates ambao wameshapata kazi wasijibweteke na kutegemea mshahara tu, wafanye kazi ila wakumbuke kuwekeza na kwenye kilimo kwa kipato zaidi.
u are a person i can talk u think systematically
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom