Kwa flow, nilimkubali zaidi Big kuliko 2pac...

Kwamex

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
378
96
Tukiachilia mbali suala la ujumbe waliokuwa wanautoa na tutege sikio kusikiliza muziki wao na hasa flow, naona BIG alikuwa mkali zaid ya PAC....Kiukweli wangekuwepo had kizazi hiki cha rap, kwa 'swagger' za kuflow BIG angestahili heshima ya nyota 5 na PAC * 4, Heshima kwao...R.I.P to all the great hip hop legends!
 
Biggie is so gifted that he has no flaws at all...2pac is just a very serious compser and charsmatic speaker and leader...ila tukisema music art as art,Biggie is rated as number one G.O.A.T...flow yake huipati kokote even on this generation...Biggie would last longer in the market than 2pac,seriously.......yaani kama ni darker,gangstarr stuff,ni doper than Pac,kama ni smoother stuff ni doper than Pac..R.I.P Biggie and Pac
 
Biggie is so gifted that he has no flaws at all...2pac is just a very serious compser and charsmatic speaker and leader...ila tukisema music art as art,Biggie is rated as number one G.O.A.T...flow yake huipati kokote even on this generation...Biggie would last longer in the market than 2pac,seriously.......yaani kama ni darker,gangstarr stuff,ni doper than Pac,kama ni smoother stuff ni doper than Pac..R.I.P Biggie and Pac

Appreciate 100%, Big deserves 5* kila idara.
 
Pac ni mfalme kwa kila kona ya hiphop,alitimiza nguzo zote za hiphop big ni boya tu kwa pac!

Biggie mkali wewe, hebu ckiliza player's anthem au ten crack commandments au.....halafu kwa michano ile uniambie ka kuna mjinga anatia maguu, Biggie ana sauti ya mamlaka! Biggie ni numero uno.
 
kama ku flow tu fine sasa mie nafikiri hiyo ni category ndogo sana ukitaka kuwalinganisha watu,pac was much in lyrics and other kind of staff......ukisikiliza interview ya biggie baada ya kifo cha pac anakiri mwenyewe kuwa pac anasema nimemwibia tungo zake ukweli ni kwamba" ushauri alokuwa ananipa ndo niliotumia kutengeneza biggie small ready to die"naye namkubali pia
 
kama ku flow tu fine sasa mie nafikiri hiyo ni category ndogo sana ukitaka kuwalinganisha watu,pac was much in lyrics and other kind of staff......ukisikiliza interview ya biggie baada ya kifo cha pac anakiri mwenyewe kuwa pac anasema nimemwibia tungo zake ukweli ni kwamba" ushauri alokuwa ananipa ndo niliotumia kutengeneza biggie small ready to die"naye namkubali pia

YAP! kweli Pac kwa lyrics mkali ,ila michano Big no. 1.
 
daah, its 15 years down the memory lane now, but you havent been forgotten at all,.
RIP PAC.!!
 
daah, its 15 years down the memory lane now, but you havent been forgotten at all,.
RIP PAC.!!

Talkn bout Greatest rappers of all tym... they are unforgetable, but Biggie!!! should be nr one no doubt. R.I.P Biggie, r.i.p Pac.
 
Tukiachilia mbali suala la ujumbe waliokuwa wanautoa na tutege sikio kusikiliza muziki wao na hasa flow, naona BIG alikuwa mkali zaid ya PAC....Kiukweli wangekuwepo had kizazi hiki cha rap, kwa 'swagger' za kuflow BIG angestahili heshima ya nyota 5 na PAC * 4, Heshima kwao...R.I.P to all the great hip hop legends!

Ah wewe pac habari nyingine kabisa. Nini biggie kwa pac bana.

1. Nani alikua ana hit singles nyingi zaidi?

2. Nani aliuza nakala nyingi zaidi?

Nadhani ukijibu haya utajua nani alikua na flow ya hatari zaidi. Jibu liko wazi ni pac.

Afu wasema flow ya big huipati kwa mtu yeyote yule, kivipi? Kwamba ilikua unique sana? Wamkumbuka shine? Mbona katembelea flow ya biggie kwa sana tu?
 
Tukiachilia mbali suala la ujumbe waliokuwa wanautoa na tutege sikio kusikiliza muziki wao na hasa flow, naona BIG alikuwa mkali zaid ya PAC....Kiukweli wangekuwepo had kizazi hiki cha rap, kwa 'swagger' za kuflow BIG angestahili heshima ya nyota 5 na PAC * 4, Heshima kwao...R.I.P to all the great hip hop legends!

Heshima yako mkubwa kweli we mdau wa hiphop,me mwenyewe napenda sana BIGflows kuliko PACflows.All in all wote ni malegends R.I.P big,pac
 
Ah wewe pac habari nyingine kabisa. Nini biggie kwa pac bana.

1. Nani alikua ana hit singles nyingi zaidi?

2. Nani aliuza nakala nyingi zaidi?

Nadhani ukijibu haya utajua nani alikua na flow ya hatari zaidi. Jibu liko wazi ni pac.

Afu wasema flow ya big huipati kwa mtu yeyote yule, kivipi? Kwamba ilikua unique sana? Wamkumbuka shine? Mbona katembelea flow ya biggie kwa sana tu?

Sawa, hit singles na kuuza nakala nyingi its ok..lakini kwa flow kali Biggie ni noma na ndo maana hata Shyne akacopy style, Pac kipaji cha kuandika ni mkali thats y alkuwa na ngoma nyingi zaidi na personality ilimuuza zaidi ila kuchana heshima kwa Biggie.
 
Heshima yako mkubwa kweli we mdau wa hiphop,me mwenyewe napenda sana BIGflows kuliko PACflows.All in all wote ni malegends R.I.P big,pac

We ni mkaree, kiukweli heshima kwao zinakuja big G nyingi kwenye hip hop tunatafuna, tunatema ila hawa majamaa hawatemeki.
 
Tukiachilia mbali suala la ujumbe waliokuwa wanautoa na tutege sikio kusikiliza muziki wao na hasa flow, naona BIG alikuwa mkali zaid ya PAC....Kiukweli wangekuwepo had kizazi hiki cha rap, kwa 'swagger' za kuflow BIG angestahili heshima ya nyota 5 na PAC * 4, Heshima kwao...R.I.P to all the great hip hop legends!

kwa flow big alikuwa mtamu nakubaliana na wewe ila usitafute dhambi za kumfananisha nguli tupac na bonyenye katika kigezo kingine chochote!na pia usijidanganye kama swagger za flowing ndo zinampa mwana hip hop heshima ya nyota tano....tupac hakutegemea vionjo vya r n b kunogesha nyimbo zake alivyokuwa anafanya biggie au kutumia sampling hits za malegend! alikuwa anatumia beat ngumu lakini hata wasiyopenda ngumu walipenda nyimbo zake,ujumbe katika nyimbo zake uliitoa hip hop mtaani na kufanya serikali warecognize hip hop,alikuwa anaweza kuteka hisia ya msikilizaji wa nyimbo zake pindi haki inapokesana na kumpa maumivu ya hisia msikilizaji.....tupac made biggie!bila beef na tupac,biggie ni kimada katika hip hop!
 
Back
Top Bottom