Elections 2010 Kwa data hizi kikwete lazima ashinde kwa kishindo

Today 12:21 PM #1

vuvuzelaorigina
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact

user-offline.png

Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join Date Fri Aug 2010
Posts 5
Thanks : 4
Thanked 0 Times in 0 Posts

Naona kijana unahangaika sana
 
Zamani ulikuwa unamaliza la saba unafaulu lakini huchaguliwi... kwa sababu shule zilikuwa chache na wenye pesa walikuw wanahonga watoto wao waingie shule...

Sasa hivi hizi shule za kata hazina qualifications, kila anayemaliza la saba lazima ajiunge na shule ya kata... amefaulu au amefeli...
 
Kuna msemo mmoja unasema " the dog who is about to die, will never listen to his masters whistle", Vuvuzela origina na watanzania wengine ambao pamoja na juhudi zote ambazo zinafanywa na watu mbalimbali humu JF kuwafungua macho na kujaribu kuwaonesha picha halisi ya shule za kikwete ( kambi za kuwa MIMBA mabinti), lakini bado hawataki kuona ni sawa na Mbwa atakye kufa , hawezi sikia mluzi wa bwana wake! na CCM ndio inawapenda watu kama huyu!
 
Wasomi utumia asilimia sio idadi. tuambie hao ni asilimia ngapi ya waliofanya mitihani.

Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete alizaliwa Oktoba 7, mwaka 1950 katika Kijiji cha Msoga, Wilaya ya Bagamoyo/Sumbawanga Mkoani Pwani. Ni mtoto wa sita katika familia ya watoto tisa. Wazazi wake ni Halfani Mrisho Kikwete (Baba) na Asha Kayaka (Mama) ambao wote wametangulia mbele ya haki. Alipata elimu ya msingi (darasa la kwanza hadi la nne) mwaka 1958-1961 katika Shule ya Msingi Lugoba na katika Shule ya Kati ya Lugoba (darasa la tano hadi la nane) mwaka 1962-1965.
 
Shekhe dubo bwana
Suala la usomi linaingiaje hapa? And who is msomi according to your standards?

Msomi is a person who can can explain things intelligently, the one who analyses data not just presenting them like a lay man.

Gazeti la alnuur haliwezi kuwa gazeti la CUF, CUF is much more smart than that.
 
Wasomi utumia asilimia sio idadi. tuambie hao ni asilimia ngapi ya waliofanya mitihani.

Nimekuelewa ila kuwa makini na asilimia pia. Ndio maana nakubaliana na wewe aseme wangapi walifanya mtihani. Kwa mfano wagekuwa wanafunzi 4 darasani, 3 wakafaulu. Hapa kwa ujanja mtu angekwambia asilimia 75% bila kukuwekea namba. So muhimu akupe namba alafu wewe uanalyse mwenyewe. Big up!
 
What's happening?We are having a lot of replies which are so incomplete for further arguments.Mfano,if the failures where 65,000 ( a record since independence as the member said,tell us what percentage is that,and also what major factors led to such results!Are we becoming so dumb to believe that if our children fail there exams it's a 100% governemnt responsibility?Is there any party/government out there that's claiming to hold a 100% of the futures of the children of this country??Let's not be biased.Passing exams or excelling in life is a no and will never be a sole government issue9and if there's any party out there saying if it comes to power no child will fail exams then we better look twice at their faces).The government has tried with all it could and it's only in the ballot box when the voters of this country will speak cleary that "YES,WE STILL NEED YOU AND WE'LL BE WITH YOU ON THAT WAY."





3.jpg
 
Taarifa iliyotolewa na Mwalimu Mkuu wa shule ya Manzese inaonesha kuwa watoto 78 katika wale waliofanya mtihani 2004 shuleni hapo walifaulu lakini waliochaguliwa ni 12 tu.

hali hii imeleta mapinduzi makubwa kwenye elimu nchini. toka pale zilipokuwa zikisikika Umbwe,Ilboru n.k hadi kufikia watoto wa Tandale,Tandika na Yombo nao wanapata elimu.

N.B kwenye kikao cha bunge cha mwisho waziri magembe alisema kuwa asilimia 50 ya waliochaguliwa kwenda High School wametoka shule hizi za awamu ya nne.

As the name of a person means, so the person.
 
mtoto aliyefaulu shule za msingi dar es salaam ni yule anayepelekwa katika sekondary zifuatazo: jangwani, azania, zanaki,kibasila, kisutu. the rest wanapelekwa dampo schools kuondoa usumbufu mitaani.
wasema ni wangapi waliokwenda shule hizo ndipo nitakubaliana nao!
 
What's happening?We are having a lot of replies which are so incomplete for further arguments.Mfano,if the failures where 65,000 ( a record since independence as the member said,tell us what percentage is that,and also what major factors led to such results!Are we becoming so dumb to believe that if our children fail there exams it's a 100% governemnt responsibility?Is there any party/government out there that's claiming to hold a 100% of the futures of the children of this country??Let's not be biased.Passing exams or excelling in life is a no and will never be a sole government issue9and if there's any party out there saying if it comes to power no child will fail exams then we better look twice at their faces).The government has tried with all it could and it's only in the ballot box when the voters of this country will speak cleary that "YES,WE STILL NEED YOU AND WE'LL BE WITH YOU ON THAT WAY."

Are you living in Tanzania? Schools without teachers whom should we blame when students fail? Those awkward Voda Fasta teachers sometimes none, in Mushroom schools, no electricity, desks and other services, What the hell! Claiming every student will be having a computer in those kind of shit, Ashkhum si matusi.

Back to the thread, all those data (Raw data) are compared amongst CCM regime. Wake up people, we want an overhaul of the whole system (CCM) but not Kikwete. The fight is for real and we are determined if not 2010 one day yes we will win the battle and enjoy the "Independent and True Tanzania". We are tired of illusions. God Bless us All.
 
Hizi shule za kata ni kichekesho kitupu. Nadhani ni mahali ambapo watoto wanapelekwa wakazuge ili nao waonekane wapo shule. Kuna dogo moja ndugu yangu alikuwa darasa la saba nilikuwa nikikutana nae kwao nampiga maswali ya kumchemsha bongo. maswali kama, 25X5 ngapi? Ziwa Manyara liko upande gani TZ? Yote hayo anachemsha. Shangazi yangu akashauri arudishwe darasa lakini yule mtoto alikataa. Na nasikia amefaulu shule ya kata! Kudadeki..
 
Back
Top Bottom