Nimeshtushwa na kauli za Mh. chiligati kuwa chadema wanahubiri fujo. Chadema wanadai haki za msingi za watanzania na kuomba utekelezaji na haki yake. Na si vinginevyo. Moja ya mambo hayo ni elimu duni na miundo mbinu duni. Je hilo ni tusi. Hushaidi huu hapa na chiligati aibuke tena, watoto wa madarasa mawilli tofauti wanasoma darasa moja.
source : Madarasa mawili wasomea chumba kimoja
source : Madarasa mawili wasomea chumba kimoja