Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Tumekua tukishuhudia kila kukicha katika vyombo vya habari minyukano na kupigana vikumbo ndani ya chama tawala CCM kuhusiana na mbio za uraisi 2015.Shughuli zote za kutatua kero za wananchi zimewekwa likizo,hakuna muda wa kuzishugulikia,kwani kwa chama tawala CCM na serikali kero za wananchi HAZIWAHUSU kutokana na mfumo waliojiwekea katika vipindi vya awamu mbili zilizopita.
Kwa utawala huu wa CCM kero kubwa ni kulinda matumbo yao na familia zao,kwa wale ambao hawatagombea nafasi za uongozi ni wakati wa kujiandalia kiinua mgongo kwa ufisadi zaidi na kwa wale wanaotegemea kuwania nafasi za uongozi ni wakati wa kukusanya pesa za ziada kwa ufisadi kwa ajiri ya kununua kura wakati wa uchaguzi ujao.
Kwani wengi bado wanaamini ya kua katika uchaguzi chini ya chama tawala CCM kinachohitajika ni fedha kunua shahada za wapiga kura,fulana,kangha vyakula,ahadi hewa n.k+wizi na kugushi kura.
Wengi bado wanaimani hiyo ingawa nadhani wanakosea.Kwa viongozi wa chama tawala CCM kujinadi kwa kutatua kero za wananchi
HAIWEZEKANI ,kwa sababu zifuatazo kwanza gharama yake ni kubwa na pesa za kutatua kero za wananchi zimeisha tafunwa kifisadi {HAITEKEREZEKI) Na muda hautoshi.
Pili kama katika uchaguzi wa 2010 kwa utamaduni wa chama tawala mgombea urais anagombea kwa vipindi viwili,kwa kipindi cha kwanza cha miaka 5 vikumbo na minyukano ilikua midogo na kama kwa kipindi hicho walishindwa kutatua kero nyingi za Wananchi itakua MIUJIZA AU UWENDAWAZIMUB kutegemea chama tawala CCM kitatue kero za wananchi katika kipindi hiki cha miaka 5.
Muda hautoshi kwa wanaomaliza muda wao kujitenezea viinua mgongo na kwa wanaotegemea kugombea kukusanya pesa kwa ajili ya kampeni zao.TUTENGEMEE MAISHA MAGUMU ZAIDI,ARI NGUMU ZAIDI!
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Kwa utawala huu wa CCM kero kubwa ni kulinda matumbo yao na familia zao,kwa wale ambao hawatagombea nafasi za uongozi ni wakati wa kujiandalia kiinua mgongo kwa ufisadi zaidi na kwa wale wanaotegemea kuwania nafasi za uongozi ni wakati wa kukusanya pesa za ziada kwa ufisadi kwa ajiri ya kununua kura wakati wa uchaguzi ujao.
Kwani wengi bado wanaamini ya kua katika uchaguzi chini ya chama tawala CCM kinachohitajika ni fedha kunua shahada za wapiga kura,fulana,kangha vyakula,ahadi hewa n.k+wizi na kugushi kura.
Wengi bado wanaimani hiyo ingawa nadhani wanakosea.Kwa viongozi wa chama tawala CCM kujinadi kwa kutatua kero za wananchi
HAIWEZEKANI ,kwa sababu zifuatazo kwanza gharama yake ni kubwa na pesa za kutatua kero za wananchi zimeisha tafunwa kifisadi {HAITEKEREZEKI) Na muda hautoshi.
Pili kama katika uchaguzi wa 2010 kwa utamaduni wa chama tawala mgombea urais anagombea kwa vipindi viwili,kwa kipindi cha kwanza cha miaka 5 vikumbo na minyukano ilikua midogo na kama kwa kipindi hicho walishindwa kutatua kero nyingi za Wananchi itakua MIUJIZA AU UWENDAWAZIMUB kutegemea chama tawala CCM kitatue kero za wananchi katika kipindi hiki cha miaka 5.
Muda hautoshi kwa wanaomaliza muda wao kujitenezea viinua mgongo na kwa wanaotegemea kugombea kukusanya pesa kwa ajili ya kampeni zao.TUTENGEMEE MAISHA MAGUMU ZAIDI,ARI NGUMU ZAIDI!
MUNGU IBARIKI TANZANIA.