TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
[h=3][/h]
Ukiwa na buku tu unafika popote na shemeji ukiwa umepanda na mpambe mnaenda kumfuata dada mtu mitaa ya kati.
Kwa hali hii mikebe sasa kupanda watu tutakuwa tukipanda kipindi cha masika kiangazi hivi huna haja ya kupanda mkebe unachana mitaa na boda boda unawahi appointment maeneo ya kati hapo iwe guest au bar kitu mwake mwake haina foleni. Wadau wa MMU usafiri huu tumia kwenye barabara za vumbi usitumie kwenye lami tunaweza kukusahau.
Ukiwa na buku tu unafika popote na shemeji ukiwa umepanda na mpambe mnaenda kumfuata dada mtu mitaa ya kati.
Kwa hali hii mikebe sasa kupanda watu tutakuwa tukipanda kipindi cha masika kiangazi hivi huna haja ya kupanda mkebe unachana mitaa na boda boda unawahi appointment maeneo ya kati hapo iwe guest au bar kitu mwake mwake haina foleni. Wadau wa MMU usafiri huu tumia kwenye barabara za vumbi usitumie kwenye lami tunaweza kukusahau.