kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,943
Nimekua nikizirekodi kauli na hotuba mbalimbali wanazozitoa wabunge wa CCM pamoja na viongozi wao. Na leo Bungeni ndo nimepata mambo mengi sana ambayo yataiua CCM kwa kasi zaidi 2015. Mwaka 2015 tutaziwakilisha kwa wananchi wazisikilize. Hapo sidhani kama bomu hili litawakosa