Nina duka la vifaa vya ujenzi ila mtaji wangu mdogo nahitaji mtu mwenye duka la vifaa vya ujenzi anayeuza Kwa bei ya jumla anisaidie vifaa niuze faida nabakia nayo, na hela yake namrudishia katokana na makubaliano mimi niko hapa dar maeneo ya Kitunda
Mkuu vifaa vya ujenzi ni
very broad,sema unahitaji cement,mbao,nondo au vifaa gani?funguka
ufunguliwe mkuu.
mimi nauza nondo na misumari,je utahitaji kwa jumla na tukubaliane??kama vp ni PM wapatikana wapi na nama yako ya simu