Kwa anayejiamini anaweza

Anatafuta mme kweli?, au anatafuta mwanaume yeye ndio awe bwana na huyo mwanaume awe kama ndio bibi. Kwa maelezo yake sielewi kama ni mtu makini. Mpaka amefika umri wa miaka 43 hajapata. Aliokuwa wanammega je wako wapi?
 
LISA mimi sizani kama kutakua na mapenzi hapo au utumwa ndo unajongea?ok wanaoweza nawatakia safari njema but they must think logically before wajajitokeza.
 
ni yeye mwenyewe, anatunga visa kufurahisha jamvi................... we endelea kuburudika kwa raha zako..................

sawa kabisa ni yeye mwenyewe lisa halafu anajifanya kuna mtu, mwanzoni alianza kama vile anafikisha ujumbe kupitia mtu mwingine kwa kusema anataka hiki na kile halafu amemalizia na nataka hivi na vile kuwa wazi mama usaidike
 
Wadau kuna mtanzania aishie Marekani anahitaji kupata mwanaume wakitanzania mwenye uwezo wakumpa raha kwauhakika yeye ana umri wa miaka 43 lakini mwonekano wake ni kama miaka 23.

Anapenda:
Napenda night life and fine things in life.

Alizaliwa masikini lakini sasa ana pesa.

Sifa za mwanaume anayemwihitaji:
Nataka mtu anayetaka kufanya kazi, sitaki mzembe. Sitaki mtu anaye taka kugombana or controlling. Hata kama ana mtoto (watoto), ni sawa tu. Napenda mtu mrefu kunipita mimi. Mimi ni 5 foot tall, and niko mwembamba mwenye shape nzuri.

Nataka mtu anayependa kufanya mapenzi mara nyingi na mimi. Sitaki mtu anaye vuta sigara ama bangi or street drugs. Sitaki mtu anaye kunywa pombe nyingi kila siku.

Dini yoyote ni sawa tu. Sitaki mwanaume mwembamba sana ama manene sana. Lazima awe mtu msafi sana kwa sababu mimi ni msafi sana.

Nataka mtu between miaka 35 na 53. Akiwa na nwyele ama kipara ni sawa tu.

The main thing is he must be able to make love to me......and know how to use his tools......!

mmmmm I love MILF pm me I can hndle up to 6 times a day .but I wanna see the pic first
 
Tumuombee atapata tu amtakaye, inaonyesha hapendi wastaafu na yuko ki kazi zaidi. Suppose I am 54 will I be considered?
 
I would surely like to try on a 43 y.o lakini kwa wakti huu naogopa ngoma kuliko. Na mtu mwenyewe kajisema ni wa ma-night life, hapo najua condom huwa haiheshimiki kwao, most post-booze sex huwa ni vitu kama vilivyozaliwa! Inatisha kiaina. Condom naamini zinasaidia, au labda nina uzoefu huo, lakini zinahitaji cooperative partner. Watu wanaopenda zile ngono za mara nyingi hawaziwezi condom kamwe. Ukifanya na condom si rahisi uende round zaidi ya 2, maana tendo linachukua muda mrefu sana kumalizika hadi wahusika mnachoka. Wengine wakifikia hapo akili yote inahamia kinenani wanaamua kuvua condom ili wamalize tu, come what may! Ni balaa tupu.

Kifupi:
Night life + booze+ ngono mara nyingi=balaa
 
Back
Top Bottom