Boney E.M.
JF-Expert Member
- Jan 22, 2007
- 425
- 35
Hajasema usafi wa mwili au wa roho? Anazo pesa kiasi gani tuchanganye na zangu?
ni yeye mwenyewe, anatunga visa kufurahisha jamvi................... we endelea kuburudika kwa raha zako..................
Akikusikia!Mwanakijiji si yupo huko huko.Je hamfai?
Ndo hivyo awasiliane tu na Mwanakijiji dili liishe.GS bana! sijui huwa unawaza nn
umenifurahisha.....
Wadau kuna mtanzania aishie Marekani anahitaji kupata mwanaume wakitanzania mwenye uwezo wakumpa raha kwauhakika yeye ana umri wa miaka 43 lakini mwonekano wake ni kama miaka 23.
Anapenda:
Napenda night life and fine things in life.
Alizaliwa masikini lakini sasa ana pesa.
Sifa za mwanaume anayemwihitaji:
Nataka mtu anayetaka kufanya kazi, sitaki mzembe. Sitaki mtu anaye taka kugombana or controlling. Hata kama ana mtoto (watoto), ni sawa tu. Napenda mtu mrefu kunipita mimi. Mimi ni 5 foot tall, and niko mwembamba mwenye shape nzuri.
Nataka mtu anayependa kufanya mapenzi mara nyingi na mimi. Sitaki mtu anaye vuta sigara ama bangi or street drugs. Sitaki mtu anaye kunywa pombe nyingi kila siku.
Dini yoyote ni sawa tu. Sitaki mwanaume mwembamba sana ama manene sana. Lazima awe mtu msafi sana kwa sababu mimi ni msafi sana.
Nataka mtu between miaka 35 na 53. Akiwa na nwyele ama kipara ni sawa tu.
The main thing is he must be able to make love to me......and know how to use his tools......!
Ndo hivyo awasiliane tu na Mwanakijiji dili liishe.
Why not me? au tatu kwake ni kidogo sana?
mmh! Lisa hawa watu unawatoa wapi?
Corruption is worse than prostitution,the latter endangers the morals of an individual,the former invariably endangers the morals of the entire country.