Kwa Anaefahamu NGO yeyote Arusha...

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Aug 6, 2009
5,101
1,946
...inayojishughulisha na masuala ya Kilimo na/au Elimu tuwasiliane tafadhali.
 
Mkuu nafahamu mbili za kilimo lakini.

1. Faida market link- inafanya marketing linkage kwa wakulima wadogo wadogo
2. Recoda- ina wafundisha wakulima kilim o cha kisasa na ufugaji wa kisasa
 
Mkuu nafahamu mbili za kilimo lakini.

1. Faida market link- inafanya marketing linkage kwa wakulima wadogo wadogo
2. Recoda- ina wafundisha wakulima kilim o cha kisasa na ufugaji wa kisasa

Shukrani mkuu!
 
kuna TRIAS- Tanzania wao wana manage fund kwa hizo NGO zinazo husika na kilimo
Savanna Forever wanajihusisha na research
nikikumbuka nyingine nitakwambia
 
kuna PATHFINDER, WORLD VISION, HEIFER, TAHA, TAPP, MAARIFA NI UFUNGUO, etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom