Du mkuu una uhakika kuwa kila anayehitaji service hizo e.g kuhama na kupanda madaraja lazima atoe rushwa? Wanaume je wanafanyaje wakitaka hiyo kitu? kama ulioa housewife ni uamuzi wako tu si kwa sababu ni mwaminifu. Unataka kusema hujawahi tembea na mwanamke asiye Mwalimu?ndio maana niliamua kuoa housewife...yaani kabla sijaoa niliwatafuna walimu wengi. na walikuwa very simple kupata. hata badhi walikuwa married...baada ya kuona hivyo, nkaona hao sio watu wa kuoa maana they are simple to sneak out of marriage. wanatembea sana na maafisa elimu hasa pale wanapotaka uhamisho na wakiwa na shida mbalimbali zinazohusu kazi zao hata kupandishwa madaraja. na hii ni kwa kuwa hawana hela ya kuhonga basi wanaishia kuwahonga ngono hao maafisa i wa ver disapointed to get married to a teacher.
naungana moja kwa moja na Rose!!! mke wangu alitoka kwa mungu. kwishnei!!!