Kwa ambao hawajaoa, walimu ni wake wazuri...

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).

Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?
 
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).

Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?

Sijaoa, mwambie shemeji yangu aniunganishe kwa mwalimu mwenzake ambaye hajaolewa! Tafadhali!
 
NIMEJARIBU KUWAULIZA BAADHI WANAKUUNGA MKONO. anyway thanks
 
Ndugu wana JF ambao mnatafuta wachumba wa kuoa, nawashauri muoe wanawake wenye taaluma ya ualimu. Kina mama walimu, wengi wao, ni watulivu na ni walezi wazuri wa familia. Wanavaa mavazi ya heshima na ni wavumilivu sana katika ndoa.

Hata hivyo, sisemi kuwa wanawake wa taaluma nyingine hawafai kuoa; la hasha. Vivyo hivyo, si kila mwalimu wa kike anakuwa mwanandoa mzuri, ila nasema wengi wao taaluma yao huwapa maadili yanayowafanya wawe wake wazuri.

Kama kuna mwanamke mwalimu asiye na sifa nilizozitoa naomba atoe ushuhuda wake. Mliooa walimu kama mimi mnasemaje? I love my wife (Teacher).

Kina mama mliolewa na walimu, je nao ni baba wazuri?
nimilisikia hili mara kadhaa... nikikaaa na weledi wa mambo wengi wana mtazamo kama huu... huenda kuna ukweli fulani, kumbuka mwalimu ndo mlezi namba 2 ukiondoa wazazi!!
 
Mkuu nimekugongea na lisenkyu kabisa, naunga mkono hoja yako. Hebu tusubiri wengine nao waseme
 
acha kudanganya wenzako ..
..kanuni IYO ilikuwa zaman ..cz mwalimu alikuwa na sifa za ualimu lakin nw days apana nooooooooo ualimu umekuwa km oltenatv job vile ata km ukichek udsm mtu akipangiwa/akipata education ananuna na anahangaika kuchanmge coz sasa mtu km uyo atakuwa na maadili ya ualimu?

chek walimu wa UPE..je wale nao walimu by preofsional na maadili?je atakuwa ni sawa na mwalimu yule wa mwaka 1970-80?
walimu wa siku izi hawana maadili km zaman so usijiodanganye kuchukua mwalimu ukajigamba umepata mke bora ..
.....kwanza walimu wa siku izi kwa KUCHUKUA WAUME ZA WATU HAWAFAI+tabia zote mbaya anazo cz upeo umemuishia pale alikosa credt za kuendelea au alipata four kabisa.. so akaenda kusomea ualimu then wat do u xpect?...

... kanuni yako ilikuwa inatumika looooooong tym nt nw ma dear walimu na manes hawana maadili wala contet ya malezi ni sawa tu km umeoa muimbaji vile...amka chunguza then come bak

bora tu ujiolee MWANASHERIA,MWANASIASA UJUE BORA NA SIYO KUJIDANGANYA MWALIMU SJUI NES NI MKE BORA WATAKUNYONGEA WATOTO KIUHAI NA KIMAADILI PIA.
MKE BORA ANATOKA KWA BWANA..usijidanganye kabila ,fani i ,rangi i inabeba wake wazuri.
 
mmmh ss tusio walimu tutadoda mwaka huu,sijui nibadili taaluma!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
nimilisikia hili mara kadhaa... nikikaaa na weledi wa mambo wengi wana mtazamo kama huu... huenda kuna ukweli fulani, kumbuka mwalimu ndo mlezi namba 2 ukiondoa wazazi!!
walimu awa wanaobaka wanafunzi?
walimu awa waliofanya ualimu km oltenatv job?
awa waliofel ndo wakaenda ualimu?
KM UKIZUNGUMZIA WALIMU WWA ZAMAN APO SAWA NAKUBALI..CZ WALIKUWA NA MAADILI YAO ..lakin si leo ambapo mtu kauza bar miaka kadhaa kachoka zake ndo anaenda ualimu do u thk atakuwa na contet za ualimu ili AWE MKE BORA?
KWA SASA NOOOOOOOOOOOOOO walimu wa zaman YEEEEEEEEES
nawasilisha.
 
acha kudanganya wenzako ..
..kanuni IYO ilikuwa zaman ..cz mwalimu alikuwa na sifa za ualimu lakin nw days apana nooooooooo ualimu umekuwa km oltenatv job vile ata km ukichek udsm mtu akipangiwa/akipata education ananuna na anahangaika kuchanmge coz sasa mtu km uyo atakuwa na maadili ya ualimu?

chek walimu wa UPE..je wale nao walimu by preofsional na maadili?je atakuwa ni sawa na mwalimu yule wa mwaka 1970-80?
walimu wa siku izi hawana maadili km zaman so usijiodanganye kuchukua mwalimu ukajigamba umepata mke bora ..
.....kwanza walimu wa siku izi kwa KUCHUKUA WAUME ZA WATU HAWAFAI+tabia zote mbaya anazo cz upeo umemuishia pale alikosa credt za kuendelea au alipata four kabisa.. so akaenda kusomea ualimu then wat do u xpect?...

... kanuni yako ilikuwa inatumika looooooong tym nt nw ma dear walimu na manes hawana maadili wala contet ya malezi ni sawa tu km umeoa muimbaji vile...amka chunguza then come bak

bora tu ujiolee MWANASHERIA,MWANASIASA UJUE BORA NA SIYO KUJIDANGANYA MWALIMU SJUI NES NI MKE BORA WATAKUNYONGEA WATOTO KIUHAI NA KIMAADILI PIA.
MKE BORA ANATOKA KWA BWANA..usijidanganye kabila ,fani i ,rangi i inabeba wake wazuri.

Rose,

Hapo kwenye bluu unamaanisha muimba kwaya wa kanisani au wa Twanga Pepeta?
 
walimu awa wanaobaka wanafunzi?
walimu awa waliofanya ualimu km oltenatv job?
awa waliofel ndo wakaenda ualimu?
KM UKIZUNGUMZIA WALIMU WWA ZAMAN APO SAWA NAKUBALI..CZ WALIKUWA NA MAADILI YAO ..lakin si leo ambapo mtu kauza bar miaka kadhaa kachoka zake ndo anaenda ualimu do u thk atakuwa na contet za ualimu ili AWE MKE BORA?
KWA SASA NOOOOOOOOOOOOOO walimu wa zaman YEEEEEEEEES
nawasilisha.


Rose yaelekea una bifu na walimu eeeh?
 
nani anafahamu chuo kizuri cha ualimu......naomba anijulishe mara moja tafadhali....bila kuchelewa.
 
acha kudanganya wenzako ..
..kanuni IYO ilikuwa zaman ..cz mwalimu alikuwa na sifa za ualimu lakin nw days apana nooooooooo ualimu umekuwa km oltenatv job vile ata km ukichek udsm mtu akipangiwa/akipata education ananuna na anahangaika kuchanmge coz sasa mtu km uyo atakuwa na maadili ya ualimu?

chek walimu wa UPE..je wale nao walimu by preofsional na maadili?je atakuwa ni sawa na mwalimu yule wa mwaka 1970-80?
walimu wa siku izi hawana maadili km zaman so usijiodanganye kuchukua mwalimu ukajigamba umepata mke bora ..
.....kwanza walimu wa siku izi kwa KUCHUKUA WAUME ZA WATU HAWAFAI+tabia zote mbaya anazo cz upeo umemuishia pale alikosa credt za kuendelea au alipata four kabisa.. so akaenda kusomea ualimu then wat do u xpect?...

... kanuni yako ilikuwa inatumika looooooong tym nt nw ma dear walimu na manes hawana maadili wala contet ya malezi ni sawa tu km umeoa muimbaji vile...amka chunguza then come bak

bora tu ujiolee MWANASHERIA,MWANASIASA UJUE BORA NA SIYO KUJIDANGANYA MWALIMU SJUI NES NI MKE BORA WATAKUNYONGEA WATOTO KIUHAI NA KIMAADILI PIA.
MKE BORA ANATOKA KWA BWANA..usijidanganye kabila ,fani i ,rangi i inabeba wake wazuri.
huku si ndo pasua kichwa mrembo au?
 
acha kudanganya wenzako ..
..kanuni IYO ilikuwa zaman ..cz mwalimu alikuwa na sifa za ualimu lakin nw days apana nooooooooo ualimu umekuwa km oltenatv job vile ata km ukichek udsm mtu akipangiwa/akipata education ananuna na anahangaika kuchanmge coz sasa mtu km uyo atakuwa na maadili ya ualimu?

chek walimu wa UPE..je wale nao walimu by preofsional na maadili?je atakuwa ni sawa na mwalimu yule wa mwaka 1970-80?
walimu wa siku izi hawana maadili km zaman so usijiodanganye kuchukua mwalimu ukajigamba umepata mke bora ..
.....kwanza walimu wa siku izi kwa KUCHUKUA WAUME ZA WATU HAWAFAI+tabia zote mbaya anazo cz upeo umemuishia pale alikosa credt za kuendelea au alipata four kabisa.. so akaenda kusomea ualimu then wat do u xpect?...

... kanuni yako ilikuwa inatumika looooooong tym nt nw ma dear walimu na manes hawana maadili wala contet ya malezi ni sawa tu km umeoa muimbaji vile...amka chunguza then come bak

bora tu ujiolee MWANASHERIA,MWANASIASA UJUE BORA NA SIYO KUJIDANGANYA MWALIMU SJUI NES NI MKE BORA WATAKUNYONGEA WATOTO KIUHAI NA KIMAADILI PIA.
MKE BORA ANATOKA KWA BWANA..usijidanganye kabila ,fani i ,rangi i inabeba wake wazuri.

Rose natumia kimchina, ila nataka kukugongea seksi. Lakini naomba ipokee tu. Thanks 4 useful post. Mke mwema hutoka kwa bwana, na tabia unazozitaka kagua kwanza kama wewe unazo. Happy new year all.
 
Rose natumia kimchina, ila nataka kukugongea seksi. Lakini naomba ipokee tu. Thanks 4 useful post. Mke mwema hutoka kwa bwana, na tabia unazozitaka kagua kwanza kama wewe unazo. Happy new year all.

Happy New Year beb.....he he....mambo!!
 
walimu awa wanaobaka wanafunzi?
walimu awa waliofanya ualimu km oltenatv job?
awa waliofel ndo wakaenda ualimu?
KM UKIZUNGUMZIA WALIMU WWA ZAMAN APO SAWA NAKUBALI..CZ WALIKUWA NA MAADILI YAO ..lakin si leo ambapo mtu kauza bar miaka kadhaa kachoka zake ndo anaenda ualimu do u thk atakuwa na contet za ualimu ili AWE MKE BORA?
KWA SASA NOOOOOOOOOOOOOO walimu wa zaman YEEEEEEEEES
nawasilisha.
hivo ni vilema vya mtu namtu na anefata kazi mradi kazi ana matatizo... ila ukiangalia fani ya ualimu na miiko yake.. huoni kama ni imekaa ki-malezi zaidi mama..?
 
Happy New Year beb.....he he....mambo!!
preta jaman iyo chup imenasa apo?manake unaivua sjui unaivaa au ndo imefika?
km kuvua vua au kuvaaa bas ipandshe bt apo si mahala pake unawaumiza watoto wwa watu umu.....missng u mamito m duin gret hpful ur duin da same...much love beibbbbb!!!!!!
 
Yeah mamangu alikuwa mwalimu and she was a good wifee to my dad and a good mother to us all. Ila angalizo, baada ya miaka mitatu to mitano tutaanza kupata walimu walosomea shule zetu za yebo yebo, so tunaweza kuhisi ni walimu gani tutakuwa nao!
 
hivo ni vilema vya mtu namtu na anefata kazi mradi kazi ana matatizo... ila ukiangalia fani ya ualimu na miiko yake.. huoni kama ni imekaa ki-malezi zaidi mama..?

IMEKAA KIMALEZ SKATAI..ILA AO WALIMU WANA MAADILI/WANAZINGATIA MAADILI KM IPAASAVYO? THATS MA CONCERN SLP ON
WA ZAMAN WALIKUWA WANAFATA MAADILI N THAST Y WALIKUWA WAMAMA BORA BT NW mmh mmh apana nagoooooooooooooooma nakataa..uzuri wa mtu for nw hauzngatiii fani yake ni bahat tu umpate mke bora...hasa km umemshiriksha mungu.THNGS DO CHANGE NWDAYS.
 
preta jaman iyo chup imenasa apo?manake unaivua sjui unaivaa au ndo imefika?
km kuvua vua au kuvaaa bas ipandshe bt apo si mahala pake unawaumiza watoto wwa watu umu.....missng u mamito m duin gret hpful ur duin da same...much love beibbbbb!!!!!!

he he...chankyuu.....ninaongea na cm mammy...nikimaliza nitaamua niivue au niivae......kwani kuna mtu anaona?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom