Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Nina maswali mawili tu kwa leo nilyoyatohoa kwenye gazeti la wiki hii la Mwanahalisi kwa wenye mapenzi bado na Mheshimiwa huyu ambae kwa maoni yangu naona kama vile heshima yake inaanza kushuka.
1. Ni kweli kwamba mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Sumri? Maana taarifa zinasema hisa za Pinda zinamilikiwa kupitia kampuni ya One Move Transport.
2. Huko nyuma Pinda aliwahi kunukuliwa akisema hakuna kuiogopa Kagoda. Badae akanukuliwa akisema Kagoda ngumu. Kwa nini mkuu ana kauli mbili tofauti kwenye "inshu" moja???
Naomba kuwasilisha.
1. Ni kweli kwamba mheshimiwa huyu ni mmiliki wa mabasi ya Sumri? Maana taarifa zinasema hisa za Pinda zinamilikiwa kupitia kampuni ya One Move Transport.
2. Huko nyuma Pinda aliwahi kunukuliwa akisema hakuna kuiogopa Kagoda. Badae akanukuliwa akisema Kagoda ngumu. Kwa nini mkuu ana kauli mbili tofauti kwenye "inshu" moja???
Naomba kuwasilisha.