Kila kitu.
ufuta, hautakiwi kabisa.
ufuta ndo nini?
Naomba niwaulize dada zangu hivi ni vitu gani hamvipendi kwa akina kaka?
Sipendi gubu.
kujisifu kwingi,kumbe huna lolote,kufuga madevu kama obama,kujisifu kwa watu umemfanyia hivi mpenzi wako kumbe uwongo mtupu.list ni ndefu,ila kwa ufupi tu ni hayo
una dread.... HAPANA au umenyoa zungu.... NDIYO
una kifua kipana.... NDIYO...six pack abs je.... ZIPO
unavaaje kwanza....TISHETI NA JINZI ..viatu vyako vikoje....VIZURI
Mwajei gubu ndo nini?