chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Aah! Nilikuwa sijaambiwa hili kwenye kitchen party.
Huwa hamuambiwi yote, mengine changanya na yako....
Aah! Nilikuwa sijaambiwa hili kwenye kitchen party.
mwanaume wa ukweli maishani mwako sharti ufumaniwe (angalao mara moja),sharti udaiwe (utaishije bila madeni?) na sharti ukumbwe na visanga (kufukuzwa kazi,kuibiwa,kudhulumiwa,kufumwa na hausgel etc),huo ndo uanaume na ukipitia visanga ndo unakomaa ati.
mwanaume wa ukweli
maishani mwako sharti ufumaniwe (angalao mara moja),sharti udaiwe
(utaishije bila madeni?) na sharti ukumbwe na visanga (kufukuzwa
kazi,kuibiwa,kudhulumiwa,kufumwa na hausgel etc),huo ndo uanaume na
ukipitia visanga ndo unakomaa ati.
mwanaume wa ukweli maishani mwako sharti ufumaniwe (angalao mara moja),sharti udaiwe (utaishije bila madeni?) na sharti ukumbwe na visanga (kufukuzwa kazi,kuibiwa,kudhulumiwa,kufumwa na hausgel etc),huo ndo uanaume na ukipitia visanga ndo unakomaa ati.
mwanaume wa ukweli maishani mwako sharti ufumaniwe (angalao mara moja),sharti udaiwe (utaishije bila madeni?) na sharti ukumbwe na visanga (kufukuzwa kazi,kuibiwa,kudhulumiwa,kufumwa na hausgel etc),huo ndo uanaume na ukipitia visanga ndo unakomaa ati.
Kaunga,do not take life seriously,you will never get out of it alive.Mnaharibu vijana bila hata kujijua!
They are looking up to you guys.
you think so?Huyu ni mwanaume wa hovyo kuliko!!
jeneneke,housegirl sio mwanamke?
kilicho kawaida ni kipi?
Hii hainihusu mimi kabisaaaa.....................
Kaunga,do not take life seriously,you will never get out of it alive.
bishanga ndo mana najikaliaga chi chat,majamvi mengine mauzauza tu,mfano mi sijawahi ona mwanaume asiye na madeni au mfanyabiashara asiyefurumushana na TRA au mahusiano yasiyo na kero,labda mimi naishi sayari nyingine.Hivi ni kosa to tell it as it is?
mwanaume wa ukweli maishani mwako sharti ufumaniwe (angalao mara moja),sharti udaiwe (utaishije bila madeni?) na sharti ukumbwe na visanga (kufukuzwa kazi,kuibiwa,kudhulumiwa,kufumwa na hausgel etc),huo ndo uanaume na ukipitia visanga ndo unakomaa ati.