Kwa akili hii ya wazanzibari hatufiki na muungano wetu

oba

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
310
65
Wadau, hivi ukifuatilia mijadala iliyoko kwenye ka JF ka wazenji- mzalendo.net unajifunza nini?
ebu soma hiyo attachment ya moja ya thread za administrotor wao, imejaa upungufu wa fikra, mfano nanukuu
"Wazanzibar ni watu waliokuwa wakisifika kwa ukarimu wao na ustaarabu wenye utamaduni wa kiislamu ambao ndio ulioleta tabia nzuri, uislamu haupingiki ndio ulioleta yote haya."

"Na asili ya Kiswahili ni lugha ya waislamu watu wa mwambao wa pwani ya afrika ya mashariki na hili halipingiki"
"...hapo hapo kuna kundi kubwa la wabara na wengineo limekuwako zanzibari na kusahau kwamba zanzibari ni nchi ya kiislamu yenye heshima na ustaarabu wake wakiislamu wenyeji wamekuwa na tamaduni zao hizi kwa zaidi ya miaka elfu iliyopita,isije ikawa wao waliokuja miaka kumi ,ishirini iliyophapo hapo kuna kundi kubwa la wabara na wengineo limekuwako zanzibari na kusahau kwamba zanzibari ni nchi ya kiislamu yenye heshima na ustaarabu wake wakiislamu wenyeji wamekuwa na tamaduni zao hizi kwa zaidi ya miaka elfu iliyopita,isije ikawa wao waliokuja miaka kumi ,ishirini iliyopita,kuingiza mila zao za kishenzi zinazokwenda kinyume na maaadili ya kizanzibari,ita,kuingiza mila zao za kishenzi zinazokwenda kinyume na maaadili ya kizanzibari..."
"Tunakuomba Mheshimiwa Rais Jakaya kikwete wewe ni mswahili wa pwani na muislamu mwenzetu, sina haja ya kusema mengi,...."

"Tunakuomba kama Muislamu mwenzetu utusimamie tupate haki yetu kwa salama na amani,na kama ni muungano uwe na usawa kwa pande zote mbili na kwa makubaliano yatakayokubalika na wazanzibari kwa njia za busara na amani,
Zanzibari ni nchi ya kiislamu waachiliwe wazanzibr waingoze katika alaqa za kiislamu.na kwamba suala la muungano lisijadiliwe kama ni suala ni la kisiasa,lakini litizamwe kama ni suala zanzibar ni nchi."
Mwisho wa kunukuu ukitaka zaidi soma attachment au ingia kwenye mzalendo .net
My take; msimamo wa wazanzibari umejaa udini na ubaguzi wa kutubagua wabara, kwa nini tuwanganaganie wakati hawatutaki?
Nawasilisha!
 

Attachments

  • Zanzibar.docx
    16 KB · Views: 101
Pole,unasumbuka kusoma maoni ya wazenj?utapasua kichwa maana wenyewe wanajadili kwa mtazamo wa kijima zaidi
 
Wadau, hivi ukifuatilia mijadala iliyoko kwenye ka JF ka wazenji- mzalendo.net unajifunza nini?
ebu soma hiyo attachment ya moja ya thread za administrotor wao, imejaa upungufu wa fikra, mfano nanukuu
"Wazanzibar ni watu waliokuwa wakisifika kwa ukarimu wao na ustaarabu wenye utamaduni wa kiislamu ambao ndio ulioleta tabia nzuri, uislamu haupingiki ndio ulioleta yote haya."

"Na asili ya Kiswahili ni lugha ya waislamu watu wa mwambao wa pwani ya afrika ya mashariki na hili halipingiki"
"...hapo hapo kuna kundi kubwa la wabara na wengineo limekuwako zanzibari na kusahau kwamba zanzibari ni nchi ya kiislamu yenye heshima na ustaarabu wake wakiislamu wenyeji wamekuwa na tamaduni zao hizi kwa zaidi ya miaka elfu iliyopita,isije ikawa wao waliokuja miaka kumi ,ishirini iliyophapo hapo kuna kundi kubwa la wabara na wengineo limekuwako zanzibari na kusahau kwamba zanzibari ni nchi ya kiislamu yenye heshima na ustaarabu wake wakiislamu wenyeji wamekuwa na tamaduni zao hizi kwa zaidi ya miaka elfu iliyopita,isije ikawa wao waliokuja miaka kumi ,ishirini iliyopita,kuingiza mila zao za kishenzi zinazokwenda kinyume na maaadili ya kizanzibari,ita,kuingiza mila zao za kishenzi zinazokwenda kinyume na maaadili ya kizanzibari..."
"Tunakuomba Mheshimiwa Rais Jakaya kikwete wewe ni mswahili wa pwani na muislamu mwenzetu, sina haja ya kusema mengi,...."

"Tunakuomba kama Muislamu mwenzetu utusimamie tupate haki yetu kwa salama na amani,na kama ni muungano uwe na usawa kwa pande zote mbili na kwa makubaliano yatakayokubalika na wazanzibari kwa njia za busara na amani,
Zanzibari ni nchi ya kiislamu waachiliwe wazanzibr waingoze katika alaqa za kiislamu.na kwamba suala la muungano lisijadiliwe kama ni suala ni la kisiasa,lakini litizamwe kama ni suala zanzibar ni nchi."
Mwisho wa kunukuu ukitaka zaidi soma attachment au ingia kwenye mzalendo .net
My take; msimamo wa wazanzibari umejaa udini na ubaguzi wa kutubagua wabara, kwa nini tuwanganaganie wakati hawatutaki?
Nawasilisha!
Wewe utaumia sana ndugu yangu kwani ni uwongo hayo tunayasema ? Kama huijui history ya zanzibar njoo tukusomeshe huku,kwa kumalizima hiyo document ilioweka nakurahisishia ili iwepo wazi kabisa.

Jengine ni kwamba wazanzibari huu muungano umeshatutoka katika nyoyo zetu,hatuutaki tena.
 
Barua ya wazi kwa viongozi wa Zanzibar kuhusu muungano



Asallam Aleikum,
Mheshimiwa Rais wa Zanzibar Dr Mohammed Shein,Makamo wa kwanza Maalim Seif Sharif,Makamo wa pili Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi,mawaziri,Wawakilishi na wabunge wa Zanzibar, viongozi wote pamoja na wananchi kwa ujumla,
Kwanza natuma shukurani zangu za dhati kwa aliyekuwa Rais wa mwazo wa serikali ya umoja wa kitaifa mstaafu Dk Amani Karume kwa juhudi zake thabiti zilizotuwezesha kufikia hapa hadi kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa.
Wazanzibar ni watu waliokuwa wakisifika kwa ukarimu wao na ustaarabu wenye utamaduni wa kiislamu ambao ndio ulioleta tabia nzuri, uislamu haupingiki ndio ulioleta yote haya.
Zanzibar ndio iliyokuwa mtawala wa mwambao wa Afrika ya mashariki,kuanzia kusini mwa msumbiji hadi ukanda wa Somalia,na wenyeji kwenye ukanda huu wa mwambao ni waswahili na ambao tabia zao zikishabihiyana kwa karibu zaidi kama ni ndugu wakijininasibu na kushikamana na uislamu ndio uliojenga uungwana huu,
Na asili ya Kiswahili ni lugha ya waislamu watu wa mwambao wa pwani ya afrika ya mashariki na hili halipingiki
hadi walipokuja wazungu ambao mwambao huu kwao ni ugeni kisilka,utamaduni na tabia katika mbinu zao za kutaka kugombania kugawana kutawala kwa njia ya makoloni
Kuwaingia wenyeji waswahili ilikuwa ni vigumu,kwa hiyo wallivamia sehemu za ndani za bara na nyika,ambako dini ya kiislamu ilikuwa mbali nao,ambako watu walikua katika itikadi zao za kienyeji,huko ndiko walipopeleka wamisionari kwa kusambaza ukristo ambao ulikosa kukubalika na watu wa mwambao, kama mbinu ya mwanzo kuanzisha makoloni yao na tamaduni mpya kwa watu ambao,jamii zao zilikosa ustaarabu wa kufahamu hata stara zao na dini ya mwenyenzi Mungu ,ilikuwaje hata ikafikia hivyo?,anayajua ni M Mungu,aliyeuumba ulimwengu mbingu na ardhi,akamuumba Adam na ikafuatia mitume yake na kama vitabu vinavyosema,na akatujaalia makabila,na ambayo yalitawanyika katika ardhi ya M Mungu
TUSIKUBALI KUGAWANYWA, TUTUMIE HEKIMA NA BUSARA
Kwanza wazanzibari kama ni waislamu asilimia 99 tushikamane tuache tofauti zetu na tusahau yaliyopita,tushikamane tujenge visiwa vyetu na tusafishe yale mabaya na machafu ambayo yameharibu au kupotosha kwa kutugawa na tusiwape nafasi maadui kutuingia au kutuchezea na tujenge nchi yetu,viongozi wetu watumie mbinu zenye hekima na busara.
Viongozi wawe makini kuifahamu na kuisoma hali ya kisiasa ya wakati huu inayoendelea ulimwenguni ambayo imekaaa kimtego mtego wa kudhulumiana .Dunia tunayoishi imejaa DHULMA. Kuna wenye kudhulumu na hao hujifanya Majabari mithili ya Firauni na kuna wenye kudhulumiwa likiwa ni kundi kubwa kabisa.
WAZANZIBARI HAWANA CHUKI ,WANADAI HAKI ZA KISHERIA ZA UTAIFA WAO
Sifikirii kama wazanzibari wana chuki na watanganyika lazima watu wafahamu,Zanzibar kuna watanzania bara wanaoishi wakifanya shughuli zao zamaisha za kila siku bila ya kubughudhiwa na wamekaa na wenyeji kwa miaka mingi,kuna mafundi wa kila aina wakitokea bara kufanya kazi za kila aina na wenyeji wakiwapenda na kushirikiana nao wabara hawa wengi wao wakiwa wamekubali kuheshimu mila na desturi za watu wa visiwani,lakini hapo hapo kuna kundi kubwa la wabara na wengineo limekuwako zanzibari na kusahau kwamba zanzibari ni nchi ya kiislamu yenye heshima na ustaarabu wake wakiislamu wenyeji wamekuwa na tamaduni zao hizi kwa zaidi ya miaka elfu iliyopita,isije ikawa wao waliokuja miaka kumi ,ishirini iliyopita,kuingiza mila zao za kishenzi zinazokwenda kinyume na maaadili ya kizanzibari,kwa hili la wazanzibari kuibiwa haki zao za kiuzawa na wageni wa muda mfupi hii sio haki na haliwezi kuvumiliwa,,
kuna mambo mengi yaliachiwa na kuachwa yaparaganye kwa makusudi kuchafua na kuiba haki ya wazanzibari,kama vile ardhi ya zanzibari imetolewa thamani na imekuwa ikivamiwa na kujengwa bila vibali,Zanzibar ni visiwa vidogo iweje leo ivamiwe na malaki ya watu kutoka nje bila ya kuwa sheria maalumu itakayopima kwa uangalifu idadi ya watu wanaoingia na kutoka,leo katika jela za zanzibari kuna wageni na haswa watanganyika zaidi ya asilimia 70,wengi wao wakiwa wamewekwa ndani kutokana na vitendo vyao vya uhalifu kama vile wizi wa mifugo,mazao nakadhalika,leo watu wanashindwa kulima au kufuga kutokana na wingi wa vitendo hivi vya uhalifu,tunawaomba viongozi wa serikali ya zanziibari kuanza mkakati mpya wa kutungwa sheria kwenye baraza la wawakilishi ya kuwapiga marufuku,kuwatoa nje ya nchi wale wote wasiokuwa wazanzibari,ambao wanafanya uhalifu wakishamaliza vifungo vyao iwe marufuku wasiingie visiwani maisha na wakifanya kurudi visiwani,wapewe vifungo vikali sana.


Vilevile kuna tabia mbaya ambayo imeshamiri ya wageni kutoka bara na haswa wenyeji wa mikoa ya shinyanga,ambao wamekuwa wakiitana kwa wingi na kuvamia mashamba na nyumba za wenyeji ambazo zipo tupu ama hazijamaliza ujenzi au wenyewe hawapo na kuzikaliya bila ya idhini ya wenyewe,na wanapoondoshwa hawakubali kutoka mpaka walipwe pesa,mtiririko mambo haya umekithiri zanzibari visiwani na wenyeji wakiwa wamechoshwa na uvamizi huu,tunaiomba serikali na wawakilishi wake watunge sheria za haraka sana za kuwachukulia hatua wavamizi hawa,ambao wanaficha wakhalifu na ipitishwe sheria kali na haraka sana za vifungo na kuwarejesha makwao,na kupigwa marufuku tena kuingia zanzibari.

Tunawaomba ndugu zetu wa Tanzania bara wanaoishi na ndugu zao wa Zanzibari kwa wema na ihsani wasiwe na wasi wasi na haya,wazanzibari ni watu wakarimu na wenye busara na wawe tayari na kushirikiana na ndugu zao.
Tunaiomba serikali pamoja na baraza la wawakilishi lipitie sheria na kutunga sheria mpya,katika vibali na umilikaji wa mabaa na uuzaji wa pombe ,isiwe kama hivi ilivyo sasa pombe zinauzwa popote hata nje ya msikiti,kuwepo na udhibiti na itungwe sheria ya kuomba kibali maalum katika mambo hayo,na sio maduka yote yawe na haki ya kuuza pombe.

Tunataka zanzibari waishi watu wenye kufuata mila na desturi za kistaarabu za wenyeji na hiyo ndio itakuwa dawa. wageni ni kidogo iweje leo wafanye fujo ya kujenga makanisa kwa ushindani wa makusudi kuleta wakristo kwa wingi,leo tumeona kwenye mtandao wakiristo wakifanya propaganda mbaya kabisa kwa kuipaka matope zanzibari ya kwamba inafunza maalqaida,huu wote ni uzushi wa hawa jamaa ,lingine zaidi ni kwamba ati hivi sasa bado kuna utumwa zanzibari na mabinti wadogo wadogo bado wanachukuliwa kwa nguvu na kupelekwa uarabuni kufanywa watumwa,ndugu zangu wazanzibari na waisilamu wote kwa ujumla wa afrika mashariki propaganda hizi za uzushi,zinazo tengenezwa na hawa wasiokuwa waislamu ni kutugawa na kututawala kimawazo waislamu lazima tusome kwa mifano inayotokea kila upande katika ulimwengu wa sasa hivi ,sisi watu wa pwani,waswahili ,waislamu ama wa zanzibari, dare s salaam,tanga au mombasa au kilwa wakati umefika wakati tuamke tuungane tulindane,na tulizilinde tamaduni zetu za asili.zile propaganda za ukabila zinazotumiliwa na baadhi ya jamaa wakikristo kutugawa na kututawala .

Tunaipongeza Serikali ya umoja wa kitaifa kwa kushiriana na wananchi kwa hatua ambazo tayari imeshazichukua,kama kwa kuendesha mikakati ya kuwapiga vita kila kona vijana watumiaji madawa ya kulevya,kupigwa vita mitaani na kukamatwa na kuhifadhiwa mwahala maalum,sasa hivi wananchi wamefaidika na kampeni hizi na vitendo vya uhalifu vinavyohusiana na makundi haya vimeondoka kwa kiasa kikubwa,
Vile vile tunaipongeza serikali kwa kupigania kuondosha matatizo ya umeme kwa kiasi kikubwa,juhudi zaidi zinatakiwa ,vilevile inasikitisha kuona suala la maji linaleta usumbufu mkubwa kwa wananchi katika visiwa hivi vidogo kama ambavyo vimejaa mikondo ya maji chini ya miamba ya ardhi
Tunakuomba Mheshimiwa Rais Jakaya kikwete wewe ni mswahili wa pwani na muislamu mwenzetu, sina haja ya kusema mengi,tunakushukuru vilevile kwa kuunga mkono umoja wa ndugu zako wazanzibari,Gorvement of national unit(GNU)Serikali ya umoja wa kitaifa .

Kuna baadhi ya jamaa wa huko hawakukupenda katika uchaguzi uliopita ulikuwa unapigwa vita kila upande,vilikuwa vita vya udini,message za kwamba unawapendelea watu fulani na huyu si mwenzetu ,tumpigie huyu ndie mwezetu zilikua nyingi,hakuna asiyeziona,kwenye mtandao ndio usiseme,zilikuwa kampeni za kukupiga vita waziwazi,lakini M Mungu hakuwa nao,ulishinda kwa uwezo wake,
Tunakuomba kama Muislamu mwenzetu utusimamie tupate haki yetu kwa salama na amani,na kama ni muungano uwe na usawa kwa pande zote mbili na kwa makubaliano yatakayokubalika na wazanzibari kwa njia za busara na amani,
Zanzibari ni nchi ya kiislamu waachiliwe wazanzibr waingoze katika alaqa za kiislamu.na kwamba suala la muungano lisijadiliwe kama ni suala ni la kisiasa,lakini litizamwe kama ni suala zanzibar ni nchi.
Tunawambia ndugu zetu waislamu wa bara na ulimwenguni kwa ujumla wanaoitakia Zanzibar kila la kheri tuko pamoja nao katika kuusafisha uchafu huu ambao umeingizwa kwa makusudi ili kugharibu mila na utamaduni wa watu wa visiwa hivi,pamoja na mwambao wa Afrika mashariki kwa ujumla, Mwenyenzi Mungu atatufikisha kwa salama na amani tuendako,
Mola wetu mtukufu tunakuomba uibariki Zanzibar na watu wake na uwalinde dhidi ya maadui wandani na nje.Amin
Inshaallah Iwe nuru ya kutuongoza pale tulipo potea AMIN.
 
[h=3]ARABS IN AFRICA By NAIWU OSAHON[/h]
Egypt is still so intimidated by its glorious Black African past that its Arab government would not allow thorough research into Egypt's past. President Gamal Abdel Nasser falsified Egyptian history when he declared Egypt an Arab Republic. Egyptian authorities refused to allow American film makers to make a film on the life of Anwar Sadat in Egypt on the ground that the actor chosen for Sadat's role was black. When Morocco left the OAU in 1984, it aspired to become a member of the European Union.In Egypt, Tunisia, Morocco, Algeria, Libya, Sudan, Somalia, Eritrea, Mauritania and the rest of the Arab world, Africans are treated as the scum of the earth. They are second-class citizens at the very best in their own countries. Blacks in these countries cannot aspire to positions of respect or authority. There are hardly Africans in high government positions in Arab governed African countries. Like Brazil, which is just as racially cruel against their black natives, there is no legislation favouring slavery (except in Mauritania). It is simply a way of life that's all. Blacks do not really exist or at best are not humans.Mauritania left the Economic Community of West African States to join the union formed by the Arab North African States. A few years ago, Mauritania sacked all black natives from their civil service positions. Black Mauritanians protest their plight to the African Union (AU) without receiving attention, because AU black leaders fear offending their Arab colleagues in the AU. In Mauritania, they have had to declare an end to slavery six times in this century alone, and still nothing has changed for the captive majority African natives. African slavery is still in their statute books. African slavery in Mauritania is what the on going quarrel between Mauritania and Senegal is about. The quarrel forced black African refugees to pour across the border from Mauritania into Senegal.In Algeria, Arabs throw stones at black people, including diplomats, in markets and other public places. To quote Prof. Clarke, "Arabs always act as though they are not in Africa. Once when I was visiting Egypt, I told my Egyptian Arab host to get a cab ready for the next morning that I was going to Kenya. ‘So you are going to Africa to visit your people? We got no diseases here, why are you leaving us?" the host asked. Even across the Red Sea, in Mecca, Saudi Arabia, blacks are treated worse than animals, after using their life's savings to go there on pilgrimage.Hundreds of blacks who have lived all their lives in Saudi Arabia are being repatriated daily right now, after loosing an arm or leg for some minor or trumped up offense and without regard for their comfort, welfare or rights. Racism towards black Moslems in Saudi Arabia is so strong it makes one wonder if making pilgrimage to Mecca should be one of the five pillars of the Muslim faith, and why blacks bother to be Muslim.Col. Gadhafi saw vicious white racism in the tragic death in August 1997, of Princess Diana of Wales, the mother of a future king of England, and her Arab lover. What no one remembered to ask Gadhafi was whether he himself was disposed to allowing any daughter of his to marry even the richest black man in the world let alone a black Libyan. If one were to ask Gadhafi why Africans are not high up in his government, he might balk that all Libyans are Africans. In that case, one should go and find out the truth for oneself in the poor sections of town. One would be shocked by the plight of our African kith and kin that constitute the bulk of the population in oil rich Libya and other Northern African countries similarly afflicted with Arab racism. While pretending to champion pan-African interest, he is busy getting rid of black immigrants from Libya.On 9 May, 1997, in flagrant defiance of a UN embargo on flights in and out of Libya, Col. Gadhafi invaded Nigeria with his planes carrying 1,000 members of his rag-tag army, plus 500 journalists. They strategically occupied the Kano airport and his other reception facilities, with the connivance of the Nigerian Muslim dictator host. The purpose was to launch a jihad in supposedly religiously secular Nigeria, or at least precipitate a serious schism between the predominantly Moslem north of the country and the Christian and animist south. Right now the Moslem world is trying to use ‘Sharia' to dismember Nigeria. Pakistan, Libya and Saudi Arabia, to name a few, have pumped substantial funds into Zamfara, the first of Nigeria's Sharia states, to start the process of Islamizing, (or at least trigger mayhem and civil war), in Nigeria as in Sudan.No nation in Africa has suffered more in the hands of the Arabs than Ethiopia. It has been going on since Arabs first invaded Africa in the 7th century CE. Recently, with Libya supporting the people of Eritrea, they destroyed the basic structure of Ethiopia, to cut her from the sea and weaken this section of Africa, and eventually all of Africa, for further Arabization. They did this mercilessly with religion.In the last 38 years, Gadhafi at one time or the other, tried to force Libya's unification with Egypt, Algeria etc, and has continued the effort since with Sudan. He forcibly annexed the Auzon Strip from Chad, and sponsored destabilization in Liberia, Sierra Leone, Uganda, Mali, Cote d' Ivoire, Niger, etc in pursuance of his Arabization of Africa policy, laced with inordinate imperial personal ambition. In 1998, his strategy got a fillip with the founding of his community of Sahel-Savannah States (CEN – SAD), which he was hoping to use to control the envisaged African Union (AU). The CEN – SAD, at the moment, ropes in 25 African states from West, East, and Central Africa, and includes Senegal, Cote d "Ivoire, Chad, Sudan, Somalia, Comoro Islands etc. Most of these unsuspecting African countries were stable until they joined CEN – SAD.Col. Muammar Gadhafi pushed desperately for a United States of Africa government to be approved, set up, and launched right there and then, at the 9th ordinary Session of the Assembly of the heads of states of the African Union (AU), held in July 2007, in Accra, Ghana.He has heightened his Arabization policy pursuit at the AU level since 2001, pretending to be promoting the Pan-African agenda of Kwame Nkrumah. Chinweizu, the renowned scholar, described Gadhafi's Arab-Black Africa government plan at the time, "as unification of nigger monkey with python." Arabs themselves divide Africa into North Africa and sub-Saharan Africa to instigate a division and as long as the invaders continue to occupy our land and treat us as slaves in North Africa, the two segments of the continent cannot cohabit.
In a paper presented at the meeting of the Arab league in Amman, Jordan, in 2001, Muammar Gadhafi spelt out the Arabization agenda against Africa in language reminiscent of Adolph Hitler's Lebensraum, (Hitler's sick obsession to secure a living space for political and economic expansion in Europe) for the Germans, (the superior race). Gadhafi in his address during the Amman's Arab conference invited his Arab brothers outside of Africa to come to Africa in the following words. "The third of the Arab community living outside Africa should move in with the two-thirds (about 250 million) on the continent, and join the African Union, which is the only space we have."Gadhafi's unbridled urge in modern times to enlarge Arabia inside Africa, is a continuation of the Arab war against Africans and the Arabization of African lands that started in the 7th century CE. Arabs have since settled on one-third of Africa, pushing continuously southwards towards the Atlantic Ocean. Arabs' racial war against black Africa started with their occupation and colonization of Egypt between 637 and 642 CE, decimating the Coptic or black population.
Between 642 and 670 CE, more Arab invaders poured into Africa and occupied areas known today as Tunisa, Libya, Algeria and Morocco, where they physically eliminated most of the native (Berber) inhabitants. The Berbers that escaped death ran westwards and southwards towards the Sahara. In the 11th century CE, fresh Arab migrants of nomadic origin, migrated into North Africa to displace and drive the remaining pastoral Berbers deeper into the Sahara desert. With Arab consolidation and backing in Northern Africa, new waves of Arab invaders and migrants pushed deeper into the Nile banks, inhabited then by the Nilotic Shiluk, and continued all the way down to where Dueim stands today, belonging then to the Dinka and Furnawi autochthons. The entire territory was known at the time as Bilad as-Sudan (the Arabic for land of the Blacks), and currently includes the Republic of Sudan. Continuing with their Arabization of African land policy through elimination, displacement, separation, marginalization and suppression, the Arab invaders of Bilad as-Sudan, over the passage of time, decimated the population of (the Nilotic Shiluk, Dinka and Furnawi autochthons) , owners of the land, and pushed to restrict the rest waiting for elimination to Darfur area and the South of the country, which the Arab invaders are now intent on taking from the native Black Africans. This is the genesis of the war in Sudan. It is a racial war. The Arabs want the Republic of Sudan, which by land mass is the largest country in Africa, to be an entirely Arab state, by exterminating the Black native population gradually to the last person.The war in Sudan is our modern day Haiti war in terms of black liberation, and our recent fight against apartheid. Arabs are carrying out ethnic cleansing right now in Southern Sudan, with the financial support of the Arab world, particularly Libya and Saudi Arabia. China is backing them against Africa. The Janjaweed, with Sudanese and Arab governments' backing, are trying to wipe out the black population so as to expropriate their lands, but Africans, including Nigerians, do not know where their interests should reside. The Arabs succeeded in doing the same thing in Northern Africa where the original Nubian African owners of the land have almost all been wiped out and the rest marginalized (enslaved) by their Arab invaders/settlers since 642 CE.Islamization is not the problem in Sudan because the majority Furnawi people of Darfur are Moslems. Arabs do not consider Black Moslems authentic or of consequence. At best, they concede to blacks, the role of ordained slaves or animals, to be used as beasts of burden by the "superior Arab race." The rule applies to all blacks, whether Moslems or non-Moslems and whether of Nigerian (Hausa/Fulani or Yoruba extractions) , Tanzanians, Ugandans, Malians or African-Americans.A traveller in Sudan observed in 1930 that "In the eyes of the Arab rulers of Sudan, the black slaves were simply animals given by Allah to make life of Arabs comfortable." Osama Bin Laden, in a discussion with the Sudanese-American novelist, Kola Boof, in Morocco in 1996 said, "when next you meet an Arab, you should ask what is the Arabic word for slave, you'll discover that the words are the same "abeed." Which is why, when an Arab looks at a black African, what he sees is a slave."In 1962, the Arab Sudanese General, Hassan Beshir Nasr, while flagging off his troops to the war front against black Africans in South Sudan, declared: "We don't want these black slaves…….what we want is their land." Arabs' attitude to blacks derives from Genesis' racist fiction of the three sons of Noah – Ham, Japheth and Shem. Arabs claim that "the accursed Ham was the progenitor of the black race; that Japheth begat the full-faced, small eyes Europeans, and that Shem fathered the handsome of face with beautiful hair Arabs," of course.A coalition of 50 charities in Darfur, Sudan, published a study in mid December, 2008, confirming what the world already knew that the Janjaweed and the Sudanese army, with the backing of their government, during joint or individual attacks, raped, tortured and killed Sudanese Africans and razed their villages to repopulate them with Arab nomads. They rounded up and abducted escapees from hide-outs in the bush, and at other times raided refugee camps to kidnap Africans as sex and labour slaves, working them to the bones as domestic and farm labour. The army flew their captives in planes to Khartoum at night and shared them among soldiers, like you allocate bags of commodities, and used them as sex and domestic servants. Kidnapped victims interviewed, said their captors told them that ‘they were not human beings and that they were there to serve them.'In the five years between 2003 and 2008, over 300,000 Sudanese Africans were killed, 100,000 abducted and 2.7 million rendered homeless refugees, with their land appropriated by Arabs. The Khatoum government admitted 14,000 kidnaps. You can imagine what happened when the world turned a blind eye on Sudan, in the twenty years between 1983 when the conflict began, and 2003. You have to ask yourself what African leaders are doing in AU with Arabs. Arabs are Africans' mortal foes.Al Qaeda's bombing of the American Embassies in Kenya and Tanzania, left 260 black civilians that included 12 Americans, dead. Over 4,000 Kenyans and Tanzanians were wounded. A remorseless top Arab journalist justified the attack by quoting Stalin: "You can't make an omelet without breaking eggs."
Ibn Sina (Avicenna 980–1037), Arab's most famous and influential philosopher/ scientist in Islam, described blacks as "people who are by their very nature slaves." He wrote: "All African women are prostitutes, and the whole race of African men are abeed (slave) stock." He equated black people with "rats plaguing the earth."
Ibn Khaldum, an Arab historian stated that "Blacks are characterized by levity and excitability and great emotionalism," adding that "they are every where described as stupid."
al-Dimashqi, an Arab pseudo scientist wrote, "the Equator is inhabited by communities of blacks who may be numbered among the savage beasts. Their complexion and hair are burnt and they are physically and morally abnormal. Their brains almost boil from the sun's heat….."Ibn al-Faqih al-Hamadhani painted this no less horrid picture of black people, "…..the zanj (the blacks) are overdone until they are burned, so that the child comes out between black, murky, malodorous, stinking, and crinkly-haired, with uneven limbs, deficient minds, and depraved passions….."NAIWU OSAHON Hon. Khu Mkuu (Leader, Pan-African Movement world-wide); Ameer Spiritual (Spiritual Prince) of the African race; MSc. (Salford); Dip.M.S; G.I.P.M; Dip. I.A (Liv.); D. Inst. M; G. Inst. M; G.I.W.M; A.M.N.I.M.Awarded: Key to the City of Memphis, Tennessee, USA; Honourary Councilmanship, Memphis City Council; Honourary Citizenship, County of Shelby; Honourary Commissionership, County of Shelby, Tennessee and a silver trophy from Morehouse College, Atlanta, USA for his contributions to the unity and uplift of his race.
 
Wewe utaumia sana ndugu yangu kwani ni uwongo hayo tunayasema ? Kama huijui history ya zanzibar njoo tukusomeshe huku,kwa kumalizima hiyo document ilioweka nakurahisishia ili iwepo wazi kabisa.Jengine ni kwamba wazanzibari huu muungano umeshatutoka katika nyoyo zetu,hatuutaki tena.
Na bado watazidi kuumia. Big up Ghibuu waeleweshe hao Wadanganyika. Vichwa vyao vimejaa mavi, wanajitia hamnazo hawataki kuelewa ukweli. MKATAA KWAO MTUMWA. IDUMU ZANZIBAR. Na huo ndio ukweli japo unauma.
 
yaah hatuhitaji muungano na watanganyika washenzi tu kuanzia tokea rangi zao, sura zao na roho zao mbaya. wao kwa wao walana wanaleteana samaki wa mionzi ya nyuklia kutoka japani, ivi hawa ni watu kweli hawa? mie siwahisabu hawa ktk watu. washenzi tu eti wanasherehekea uhuru wa tanzania barawajinga kweli kweli, nina usongo nao nikiwapatia sawa tu.
 
kwa kweli Zanzibar kuna mengi
kuna kundi ambalo wao wanaamini muungano ndio kikwazo cha kumea na kunawiri uislam, kwa hio wanafanya kila juhudi kuona muungano unaondoka ili wapate fursa ya kuimarisha uislam na ikiwezekana waibadili zanzibar iwe islamic state
kuna kundi la wazanzibari wao wanaangalia kwenye uchumi, wanaona maisha ya wazanzibari kuwa magumu kunatokana na muungano, muungano umeibinya zanzibar haifurukuti, hali za watu zimekuwa mbaya, njia ni kujitoa kwenye muungano na kujipanga upya


kuna kundi ambalo linaaamini kwenye utawala wao wanaona zanzibar inashindwa kujikita kwenye utawala na kujitambulisha nje na na ndani ya afrika. kiutawala wenzetu hawatuchukulii kama nchi na wao wanadau juu ya muungano uondoke au uwepo mgawano ulio sawa.



na kuna makundi zaidi ya hayo, kiukweli zanzibar kuna mambo, yako ya udini, ukabila, umajimbo, ukanda na mengineo. ila yote hayo yanaonyesha ukuwaji wa kifikra na mtazamo katika jamii. maana jamii iliokuwa lazima itofautiane lakini kwa nji za kistaarabu
 
yaah hatuhitaji muungano na watanganyika washenzi tu kuanzia tokea rangi zao, sura zao na roho zao mbaya. wao kwa wao walana wanaleteana samaki wa mionzi ya nyuklia kutoka japani, ivi hawa ni watu kweli hawa? mie siwahisabu hawa ktk watu. washenzi tu eti wanasherehekea uhuru wa tanzania barawajinga kweli kweli, nina usongo nao nikiwapatia sawa tu.
<br />
<br />
Umesemaje??? Sura mbaya...!!! Kwa hiyo mkishamaliza la muungano mtawatafuta wenye sura mbaya zanzibar?! Halafu mtawafanyaje? Siupendi muungano huu lakini siyo kwa sababu ya wazanzibar wenye sura mbaya ambao tukianza kuwaorodhesha hapa ni wengi mno!! Rangi zao?? Sasa naanza kuelewa kwa nini wengine wanaung'ang'ania muungano... Kumbe kuna rangi inayoudai, hivi wazanzibar wana rangi gani??? Dah...
 
Nafikiri wenzangu JF tumuone mtoa mada kama mchonganishi na mgombanishi na kwa lugha nyingine nyepesi tungemwita MZANDIKI.

Kilichoelezwa kwenye attachment yake ni maoni tu ya baadhi ya waZnz lakini sio waZnz wote. Japo hata mimi nakubalina kwa zaidi ya 60% kuwa ni ya uonevu na yamewekwa chini ya kero za Muungano lakini sasa yamekuwa kama mwiba mkuu kuwachoma waZanzibar.

Sasa kwa kuwa wa Znz ni wakweli na wawazi sio wanafiki wanayaweka bayana mchana kweupeeeeee ili kila mtu alijue hilo na kudai haki zao.

Naomba ufahamu baadhi ya watu sio watu wote. Hicho ni kiswahili rahisi sana kukielewa.

Pole sana
 
kwa kweli Zanzibar kuna mengi
kuna kundi ambalo wao wanaamini muungano ndio kikwazo cha kumea na kunawiri uislam,
kwa hio wanafanya kila juhudi kuona muungano unaondoka ili wapate fursa ya kuimarisha uislam na ikiwezekana waibadili zanzibar iwe islamic state
kuna kundi la wazanzibari wao wanaangalia kwenye uchumi, wanaona maisha ya wazanzibari kuwa magumu kunatokana na muungano, muungano umeibinya zanzibar haifurukuti, hali za watu zimekuwa mbaya, njia ni kujitoa kwenye muungano na kujipanga upya


kuna kundi ambalo linaaamini kwenye utawala wao wanaona zanzibar inashindwa kujikita kwenye utawala na kujitambulisha nje na na ndani ya afrika. kiutawala wenzetu hawatuchukulii kama nchi na wao wanadau juu ya muungano uondoke au uwepo mgawano ulio sawa.



na kuna makundi zaidi ya hayo, kiukweli zanzibar kuna mambo, yako ya udini, ukabila, umajimbo, ukanda na mengineo. ila yote hayo yanaonyesha ukuwaji wa kifikra na mtazamo katika jamii. maana jamii iliokuwa lazima itofautiane lakini kwa nji za kistaarabu

Nafikiri ndugu yangu inakupasa uisome vizuri sanaa historia ya Zanzibar au hata hiyo attachment imejipambanua vizuri sana,

Naomba sana nikukumbushe kuwa Zaidi ya 99% ya waZnz ni waislam. Hivyo Zanzibar hakuna udini kabisaaaa kwani wote hao ni waislam.Kwa zaidi ya 99.9% ya baraza lake la mawaziri na viongozi wake wa kada mbalimbali ndani ya Serikali na hata vyama vya siasa bila kusahau wawakilishi na wabunge wake ni waislam.

Zanzibar hakuna ukabila hata kidogo labda tuseme kuna uunguja na upemba kitu amcho kwa sasa kimeweza kuwa controlled na kimetulia.
Suala la UDINI lipo Bara na Ukabila na ukanda ndio unashamiri huko Bara ambako hawajaweza kuli control na kila wakati wanafunika kombe mwnaharamu apite.

Tafadhali liangalie hilo na litafakari
 
Wadau, hivi ukifuatilia mijadala iliyoko kwenye ka JF ka wazenji- mzalendo.net unajifunza nini?
ebu soma hiyo attachment ya moja ya thread za administrotor wao, imejaa upungufu wa fikra, mfano nanukuu
"Wazanzibar ni watu waliokuwa wakisifika kwa ukarimu wao na ustaarabu wenye utamaduni wa kiislamu ambao ndio ulioleta tabia nzuri, uislamu haupingiki ndio ulioleta yote haya."

"Na asili ya Kiswahili ni lugha ya waislamu watu wa mwambao wa pwani ya afrika ya mashariki na hili halipingiki"
"...hapo hapo kuna kundi kubwa la wabara na wengineo limekuwako zanzibari na kusahau kwamba zanzibari ni nchi ya kiislamu yenye heshima na ustaarabu wake wakiislamu wenyeji wamekuwa na tamaduni zao hizi kwa zaidi ya miaka elfu iliyopita,isije ikawa wao waliokuja miaka kumi ,ishirini iliyophapo hapo kuna kundi kubwa la wabara na wengineo limekuwako zanzibari na kusahau kwamba zanzibari ni nchi ya kiislamu yenye heshima na ustaarabu wake wakiislamu wenyeji wamekuwa na tamaduni zao hizi kwa zaidi ya miaka elfu iliyopita,isije ikawa wao waliokuja miaka kumi ,ishirini iliyopita,kuingiza mila zao za kishenzi zinazokwenda kinyume na maaadili ya kizanzibari,ita,kuingiza mila zao za kishenzi zinazokwenda kinyume na maaadili ya kizanzibari..."
"Tunakuomba Mheshimiwa Rais Jakaya kikwete wewe ni mswahili wa pwani na muislamu mwenzetu, sina haja ya kusema mengi,...."

"Tunakuomba kama Muislamu mwenzetu utusimamie tupate haki yetu kwa salama na amani,na kama ni muungano uwe na usawa kwa pande zote mbili na kwa makubaliano yatakayokubalika na wazanzibari kwa njia za busara na amani,
Zanzibari ni nchi ya kiislamu waachiliwe wazanzibr waingoze katika alaqa za kiislamu.na kwamba suala la muungano lisijadiliwe kama ni suala ni la kisiasa,lakini litizamwe kama ni suala zanzibar ni nchi."
Mwisho wa kunukuu ukitaka zaidi soma attachment au ingia kwenye mzalendo .net
My take; msimamo wa wazanzibari umejaa udini na ubaguzi wa kutubagua wabara, kwa nini tuwanganaganie wakati hawatutaki?
Nawasilisha!


Waswahili walisema "asiejuwa neno haambiwi maana". Hivyo kinachokushangaza wewe nini? Huu ukweli uliozungumzwa?

Unajuwa hapo hakutukanwa mtu wala hapakutajwa dini zaidi ya hiyo ya Kiislamu. Utamadunui wa Kizanzibari umejengwa kwa misingi ya Kiislamu , pale nilipokwambia kuwa maadam hujui neno inakuwa tabu kuambiwa maana. Uislamu kwa misingi yake hautenganishi chochote katika maisha ya kawaida ya Muislamu na kwa vile Zanzibar ni nchi ya Kiislamu "inatarajiwa" kutotafautisha tamaduni zake na za Kiislamu. Iwe upendavyo lakini tamaduni za Kiislamu "zinategemewa" kuepuka machafu mengi ambayo poengine wasio na tamaduni za Kiislamu huwa wanayafanya.
Kuwalaumu Wazanzibari kwa kulalamikia uletwaji wa tamaduni zilizo ngeni ni upuuzi kwani hivyo wewe hujawahi hata kusikia iwapo wewe mwenyew hujasema kuwa maadili yanamongonyoka? Sasa Zanzibar zamani kulewa ilikuwa inaonekana kioja kikubwa lakini "wastaarabu " wanaleta mabaa hadi mitaani. Hapa tena ule msemo unakuja tena. Iwapo wewe unaona ni kitu cha kawaida ulevi, madanguro ,ujambazi basi kwa Wazanzibari wanaona ni kuchafuliwa utamaduni wao, na kwa vile mwenye chake ndie mwenye haki basi sijuwi kwanini unalaumu ?
 
kwa kweli Zanzibar kuna mengi
kuna kundi ambalo wao wanaamini muungano ndio kikwazo cha kumea na kunawiri uislam, kwa hio wanafanya kila juhudi kuona muungano unaondoka ili wapate fursa ya kuimarisha uislam na ikiwezekana waibadili zanzibar iwe islamic state
kuna kundi la wazanzibari wao wanaangalia kwenye uchumi, wanaona maisha ya wazanzibari kuwa magumu kunatokana na muungano, muungano umeibinya zanzibar haifurukuti, hali za watu zimekuwa mbaya, njia ni kujitoa kwenye muungano na kujipanga upya


kuna kundi ambalo linaaamini kwenye utawala wao wanaona zanzibar inashindwa kujikita kwenye utawala na kujitambulisha nje na na ndani ya afrika. kiutawala wenzetu hawatuchukulii kama nchi na wao wanadau juu ya muungano uondoke au uwepo mgawano ulio sawa.



na kuna makundi zaidi ya hayo, kiukweli zanzibar kuna mambo, yako ya udini, ukabila, umajimbo, ukanda na mengineo. ila yote hayo yanaonyesha ukuwaji wa kifikra na mtazamo katika jamii. maana jamii iliokuwa lazima itofautiane lakini kwa nji za kistaarabu

Si rahisi kuisemea Zanzibar na si rahisikusema kuwa Zanzibar inataka kutawaliwa Kiislamu. Wazanzibari hawana tabu na uongozi wa Serikali yao kwani wana uhuru wote kuabudu dini yao na kufuata maagizo ya dini yao. Si kweli kuwa Wazanzibari wanachukia dini nyengine bali hichi kilichomo ndani ya Muungano ndio kinatia mushkeli.

Kwa kupitia Muungano Zanzibar imekusudiwa kuw wiped out kama nchi na kwa kupitia Muungano baadhi ya watu wasio na akili wanatumia njia ya kutaka kubadilisha imani za kidini za Wazanzibari. Wazanzibari kabla ya hili wimbi la kudai haki ya dini nyengine walikuwa wakiishi vizuri bila kujali tofauti zao za Kiimani. Makanisa hayakubughudhiwa na Wakristo waliishi kwa amani na haki zote za kuabudu. Wazanzibari wakiishi bila kuangalia imani. Kwa kisingizio cha Muungano watu wengine wamewachonganisha Wazanzibari kwa misingi ya dini na hata hivyo wanaopshiriki kwenye mgongano huo ni wale "Wakuja tu" kwani Wazanzibari hasa wasio Waislamu wanajuwa kuwa wao Wazanzibari na Uzanzibari si Uislamu wala si Ukristo na wala si wapi unatoka bali ni kukubali kuwa wewe ni Mzanzibar na kuipenda Zanzibar.
 
Back
Top Bottom